Which jobKwani Majaliwa ana shida gani? He is doing good job
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Which jobKwani Majaliwa ana shida gani? He is doing good job
MD,.....Band aiding a leg which needs amputation...
Tatizo la hii nchi waziri mkuu hana mamlaka kamili ya kuunda na kuendesha serikali, yupo kwenye kivuli cha rais.......katiba mpya ituletee waziri mkuu mwenye mamlaka kamili kiutendaji, siyo geresha.
MkuuMsomali aweje waziri mkuu kwenye nchi huru ya Tanzania? Mtoeni Kasimu kwanza tuone!
UPM ni mdogo sana kwa Bashe! huyo vasco da gama wa kike mimacho mlegezo anatakiwa amkabithi kijana haraka sana! Bashe is a presidential material!Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.
Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!
Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.
View attachment 2403590
Mkuu nadhani umenifananisha aiseeMkuu
Si ulisema tarehe MOJA November!?
Si Ndio hii!?
Nadhani umemaanisha mapessa na uzi wake wa mchongo huu Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?Mkuu
Si ulisema tarehe MOJA November!?
Si Ndio hii!?
Bashe mlevi sana hawez pata nilidhan utasema bashungwaNaunga mkono hoja kwa Bashe, endelea mbele kidogo.
Bashe msomali awe waziri mkuu never hapna apewe ndejembi au mtakaHabari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.
Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!
Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.
View attachment 2403590
Aachane na walamba asali ajikite kwa wale wa hayati JPM!, hizi akili za ushabiki wa watu binafsi badala ya kutazama uwezo na mchango wao.Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.
Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!
Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.
View attachment 2403590
Naunga mkono hoja kwa Bashe, endelea mbele kidogo.
HV hi kampuni ya intercom inamilikiwa na nani
Kwani kuna shida gani
Kwani kuna shida gani
Stori ya Bashe kuwa naibu waziri naifahamu.Kwani kuna shida gani
Wewe acha kutuchuria, huku kusini haturogani, mnarogana huko kwenu kaskazini, singida, rukwa, kigoma, nk.Kwahiyo Bashe anadhaminiwa na Taifa Gas😁
Wakati umefika sasa wa kumroga,ngoja niende kusini mitaa ya luangwa.