Unadhani nani anafaa kumrithi Kassim Majaliwa endapo akiachia nafasi yake?

Unadhani nani anafaa kumrithi Kassim Majaliwa endapo akiachia nafasi yake?

Nafasi moja kati ya waziri mkuu inapaswa kufutwa kabisa, ni matumizi yasiyo ya lazima tu ya pesa za walipa kodi.
Tatizo la hii nchi waziri mkuu hana mamlaka kamili ya kuunda na kuendesha serikali, yupo kwenye kivuli cha rais.......katiba mpya ituletee waziri mkuu mwenye mamlaka kamili kiutendaji, siyo geresha.
 
Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.

Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!

Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.

View attachment 2403590
UPM ni mdogo sana kwa Bashe! huyo vasco da gama wa kike mimacho mlegezo anatakiwa amkabithi kijana haraka sana! Bashe is a presidential material!
 
Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.

Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!

Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.

View attachment 2403590
Bashe msomali awe waziri mkuu never hapna apewe ndejembi au mtaka

Naisi mtaaka atakujakuukwaa uwaziri mkuu mbeleni
 
Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.

Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!

Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.

View attachment 2403590
Aachane na walamba asali ajikite kwa wale wa hayati JPM!, hizi akili za ushabiki wa watu binafsi badala ya kutazama uwezo na mchango wao.
 
Kwani Kasim anaenda wapi?

Mnataka kumrestisha in Peace?

MaCCM ni hatari sana.
 
Mtamharibia sasa. Siasa za Kiafrika ni changamoto sana. Ukifanya vizuri sisi wananchi wa kawaida tunakupenda, lakini wanasiasa wenzake watamchukia na kuanza kumfanyia fitina.
 
Kwahiyo Bashe anadhaminiwa na Taifa Gas😁

Wakati umefika sasa wa kumroga,ngoja niende kusini mitaa ya luangwa.
Wewe acha kutuchuria, huku kusini haturogani, mnarogana huko kwenu kaskazini, singida, rukwa, kigoma, nk.
 
Back
Top Bottom