Unadhani nani anafaa kumrithi Kassim Majaliwa endapo akiachia nafasi yake?

Unadhani nani anafaa kumrithi Kassim Majaliwa endapo akiachia nafasi yake?

Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.

Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!

Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.

View attachment 2403590
Niwaulize wajameni nani ametangaza nafasi ya Waziri Mkuu iko wazi
 
Msomali aweje waziri mkuu kwenye nchi huru ya Tanzania? Mtoeni Kasimu kwanza tuone!
 
Bashe ni type ya magufuli hafaii kuongoza ,hapo kilimo panamtosha....... kwani ZNZ hawajawai kutoa PM ? Kuna kina Masauni,mbarawa,Vuai Naodha wapo na ni wtendaji wazuri tu
 
Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.

Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!

Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.

View attachment 2403590
NCHI IMEISHIWA KABISA WATU WA KUSHIKA NAFASI HIYO MPAKA MNATAFUTA WAHUNI?
 
Naona Rostam Aziz akizudi kupanga timu yake vizuri ili aikamate Ikulu vizuri.

Ikulu ameishika kupitia remote ya Msoga!

Wizara ya Nishati tayari.

Wizara ya habari Tayari

Sasa anataka waziri mkuu!

Haya bhana!

Alamsikhi!
 
Bashe huyu huyu ambaye kilo ya chenga za mchele imetoka shilingi 700/- mpaka 1900/- au mwengine? Kumbuka hapo hanufaiki mkulima na hilo ongezeko la bei wanao nufaika ni madalali wa mazao. Bashe kashindwa kwenye mnyoyoro wa bei za soko la mazao.
 
Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.

Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu.
Mkuu Lipijema, kwanza naunga mkono Bashe anauweza sana u PM na mimi binafsi, namkubali sana, Wapinzani msione aibu kushirikiana na CCM kwenye hoja zenye maslahi ya Taifa! Bashe ni mzalendo, aungwe mkono na wote!, ila nafasi ya Uwaziri Mkuu haiko wazi! na Waziri Mkuu yupo na bukheri wa afya, sio vema, sio fresh,;sio haki kuijadili nafasi yake, huku ni kama kumchuria fulani.
P
 
Band aiding a leg which needs amputation...
 
Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.

Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!

Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.

View attachment 2403590
Kwani huyu tuliyenaye sasa ana shida gani?
 
Back
Top Bottom