Unadhani nani anafaa kumrithi Kassim Majaliwa endapo akiachia nafasi yake?

Unadhani nani anafaa kumrithi Kassim Majaliwa endapo akiachia nafasi yake?

Habari wakuu,

Kwa hali inavyoendelea hvi sasa, naona Kuna cheche za chini chini kwamba mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anaweza kujiuzulu uwaziri mkuu au kupigwa chini baada ya mh Rais kusema atabadili Baraza la Mawaziri. Binafsi napendekeza watu wafuatao wanaweza kushika vzuri nafasi yake na wakafanya wonders.

1) JOYCE NDALICHAKO

Huyu Mama ni Ile dizain ya wanawake tunawaita "IRON LADY". Ni chuma na nusu haswa. Katika transformation ya mfumo wa elimu Tanzania huwez kukosa jina lake. Kwanza Ana misimamo, mchapakazi, Mbunifu na nadhan kwa kigezo cha jinsia mama Samia atakuwa na nguvu ya kuongea nae kauli moja sababu Ni mwanamke mwenzake MWISHO huyu Mama Hana makundi ndani ya CHAMA. Na hata umbea wataupiga[emoji16][emoji16]. Changamoto inayojitokeza Ni Elimu yake kamzid muheshimiwa ila for the sake of nation development sidhan Kama Ni changamoto. KWANGU MIMI NAMSHAURI MAMA

2) UMMY MWALIMU

Yeah. Katika watu wenye mvuto wa kisiasa Tanzania kwa upande wa wanawake ukimtoa Jokate mwogelo. Huyu dada ni mmojawapo. Ni mchapa kazi, Mwelevu, Hana mihemko.Nadhan kila mtu anakumbuka kazi yake akiwa Waziri wa afya haswa katika kipind Cha COVID 19. Wasiwasi wangu bado mdgo kiumri na Kama mnavojuwa wadada kuna ishu za maternity (kuzaa kazini). Asee inaweza kuwa changamoto kidgo. Kwangu mm hata akipewa nafasi NNA MUAMINI

3) HAMIS KIGWANGWALA

Yes. Ukitoa udhaifu binafsi. Kama panicking, Hasira, na Kujikombakomba. Binafsi katika watu SMART KICHWANI na CREATIVE "HAMIS KIGWANGWALA" Ni among of them. He is SMART KICHWANI by nature, Mchapakazi, Mbunifu then Sio muoga. Huyu mama akimpa nafasi ya uwaziri mkuu na akapunguza baadhi ya mapungufu yake.TRUST ME. Kigwangwala he is the best. Anacho nikera Ana vitabia vya Udini na ubinafsi. Lakin kwangu mm uyu mwamba namkubali Sana. Tz inahitaji watu wa dizain yake wenye UWEZO wa kuona 9 ndani ya 6

4) MWIGULU NCHEMBA

YES, Narudi Tena. MWIGULU nnampa nafasi kwasababu ya uzoefu aliokuwa nao katka wazifa wa uwaziri lakin pia MWIGULU ukipta nafasi ya kumsikiliza Ni mtu smart sana KICHWANI. Binafsi navutiwa Sana na mtu mwenye UWEZO mzuri wa kuelewa na kupambanua mambo. MWIGULU pia anaonekana Ni kipenz cha mama Samia na wanashirikiama vzuri.nadhan kwa hyo chemistry ikiwa karibu Zaid tunaweza kupata kitu Bora zaidi. Wasi wasi wangu kwa mh MWIGULU Ni Ana kashfa za Mambo mengine mengine out of his field.Lakini for me ni MTU sahihi Sana

NB
Ni mawazo yangu binafsi. NAWASILISHA MAADA.WEW UNAONA NANI ANAFAA NA KWANINI?
Mchawi mkubwa we, Majaliwa ajiuzuru kwa kosa lipi?
 
Nakazia hapa,kama issue anatakiwa awe mwanamke basi Mhagama yule mbunge wa peramiho nadhani yuko vizuri tu.

Ila kwa kuwa issue ni team basi tutarajie Dr Emmanuel Nchimbi

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Nchimbi hana sifa yakua waziri Mkuu kwamujibu ya katiba ya jamhuri ya muunga wa Tanzania
 
Habari wakuu,

Kwa hali inavyoendelea hvi sasa, naona Kuna cheche za chini chini kwamba mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anaweza kujiuzulu uwaziri mkuu au kupigwa chini baada ya mh Rais kusema atabadili Baraza la Mawaziri. Binafsi napendekeza watu wafuatao wanaweza kushika vzuri nafasi yake na wakafanya wonders.

1) JOYCE NDALICHAKO

Huyu Mama ni Ile dizain ya wanawake tunawaita "IRON LADY". Ni chuma na nusu haswa. Katika transformation ya mfumo wa elimu Tanzania huwez kukosa jina lake. Kwanza Ana misimamo, mchapakazi, Mbunifu na nadhan kwa kigezo cha jinsia mama Samia atakuwa na nguvu ya kuongea nae kauli moja sababu Ni mwanamke mwenzake MWISHO huyu Mama Hana makundi ndani ya CHAMA. Na hata umbea wataupiga[emoji16][emoji16]. Changamoto inayojitokeza Ni Elimu yake kamzid muheshimiwa ila for the sake of nation development sidhan Kama Ni changamoto. KWANGU MIMI NAMSHAURI MAMA

2) UMMY MWALIMU

Yeah. Katika watu wenye mvuto wa kisiasa Tanzania kwa upande wa wanawake ukimtoa Jokate mwogelo. Huyu dada ni mmojawapo. Ni mchapa kazi, Mwelevu, Hana mihemko.Nadhan kila mtu anakumbuka kazi yake akiwa Waziri wa afya haswa katika kipind Cha COVID 19. Wasiwasi wangu bado mdgo kiumri na Kama mnavojuwa wadada kuna ishu za maternity (kuzaa kazini). Asee inaweza kuwa changamoto kidgo. Kwangu mm hata akipewa nafasi NNA MUAMINI

3) HAMIS KIGWANGWALA

Yes. Ukitoa udhaifu binafsi. Kama panicking, Hasira, na Kujikombakomba. Binafsi katika watu SMART KICHWANI na CREATIVE "HAMIS KIGWANGWALA" Ni among of them. He is SMART KICHWANI by nature, Mchapakazi, Mbunifu then Sio muoga. Huyu mama akimpa nafasi ya uwaziri mkuu na akapunguza baadhi ya mapungufu yake.TRUST ME. Kigwangwala he is the best. Anacho nikera Ana vitabia vya Udini na ubinafsi. Lakin kwangu mm uyu mwamba namkubali Sana. Tz inahitaji watu wa dizain yake wenye UWEZO wa kuona 9 ndani ya 6

4) MWIGULU NCHEMBA

YES, Narudi Tena. MWIGULU nnampa nafasi kwasababu ya uzoefu aliokuwa nao katka wazifa wa uwaziri lakin pia MWIGULU ukipta nafasi ya kumsikiliza Ni mtu smart sana KICHWANI. Binafsi navutiwa Sana na mtu mwenye UWEZO mzuri wa kuelewa na kupambanua mambo. MWIGULU pia anaonekana Ni kipenz cha mama Samia na wanashirikiama vzuri.nadhan kwa hyo chemistry ikiwa karibu Zaid tunaweza kupata kitu Bora zaidi. Wasi wasi wangu kwa mh MWIGULU Ni Ana kashfa za Mambo mengine mengine out of his field.Lakini for me ni MTU sahihi Sana

NB
Ni mawazo yangu binafsi. NAWASILISHA MAADA.WEW UNAONA NANI ANAFAA NA KWANINI?
Takataka hizo
 
Habari wakuu,

Kwa hali inavyoendelea hvi sasa, naona Kuna cheche za chini chini kwamba mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anaweza kujiuzulu uwaziri mkuu au kupigwa chini baada ya mh Rais kusema atabadili Baraza la Mawaziri. Binafsi napendekeza watu wafuatao wanaweza kushika vzuri nafasi yake na wakafanya wonders.

1) JOYCE NDALICHAKO

Huyu Mama ni Ile dizain ya wanawake tunawaita "IRON LADY". Ni chuma na nusu haswa. Katika transformation ya mfumo wa elimu Tanzania huwez kukosa jina lake. Kwanza Ana misimamo, mchapakazi, Mbunifu na nadhan kwa kigezo cha jinsia mama Samia atakuwa na nguvu ya kuongea nae kauli moja sababu Ni mwanamke mwenzake MWISHO huyu Mama Hana makundi ndani ya CHAMA. Na hata umbea wataupiga[emoji16][emoji16]. Changamoto inayojitokeza Ni Elimu yake kamzid muheshimiwa ila for the sake of nation development sidhan Kama Ni changamoto. KWANGU MIMI NAMSHAURI MAMA

2) UMMY MWALIMU

Yeah. Katika watu wenye mvuto wa kisiasa Tanzania kwa upande wa wanawake ukimtoa Jokate mwogelo. Huyu dada ni mmojawapo. Ni mchapa kazi, Mwelevu, Hana mihemko.Nadhan kila mtu anakumbuka kazi yake akiwa Waziri wa afya haswa katika kipind Cha COVID 19. Wasiwasi wangu bado mdgo kiumri na Kama mnavojuwa wadada kuna ishu za maternity (kuzaa kazini). Asee inaweza kuwa changamoto kidgo. Kwangu mm hata akipewa nafasi NNA MUAMINI

3) HAMIS KIGWANGWALA

Yes. Ukitoa udhaifu binafsi. Kama panicking, Hasira, na Kujikombakomba. Binafsi katika watu SMART KICHWANI na CREATIVE "HAMIS KIGWANGWALA" Ni among of them. He is SMART KICHWANI by nature, Mchapakazi, Mbunifu then Sio muoga. Huyu mama akimpa nafasi ya uwaziri mkuu na akapunguza baadhi ya mapungufu yake.TRUST ME. Kigwangwala he is the best. Anacho nikera Ana vitabia vya Udini na ubinafsi. Lakin kwangu mm uyu mwamba namkubali Sana. Tz inahitaji watu wa dizain yake wenye UWEZO wa kuona 9 ndani ya 6

4) MWIGULU NCHEMBA

YES, Narudi Tena. MWIGULU nnampa nafasi kwasababu ya uzoefu aliokuwa nao katka wazifa wa uwaziri lakin pia MWIGULU ukipta nafasi ya kumsikiliza Ni mtu smart sana KICHWANI. Binafsi navutiwa Sana na mtu mwenye UWEZO mzuri wa kuelewa na kupambanua mambo. MWIGULU pia anaonekana Ni kipenz cha mama Samia na wanashirikiama vzuri.nadhan kwa hyo chemistry ikiwa karibu Zaid tunaweza kupata kitu Bora zaidi. Wasi wasi wangu kwa mh MWIGULU Ni Ana kashfa za Mambo mengine mengine out of his field.Lakini for me ni MTU sahihi Sana

NB
Ni mawazo yangu binafsi. NAWASILISHA MAADA.WEW UNAONA NANI ANAFAA NA KWANINI?
Acha ujinga wewe syo mteuzi.
Wacha mteuzi afanye vetting ndo apatikane
 
Nakazia hapa,kama issue anatakiwa awe mwanamke basi Mhagama yule mbunge wa peramiho nadhani yuko vizuri tu.

Ila kwa kuwa issue ni team basi tutarajie Dr Emmanuel Nchimbi

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Nchimbi hawezi kuwa PM kwasababu si mbunge wa kuchaguliwa. Katiba imeweka sifa ya PM lazima awe mbunge wa kuchaguliwa na si kuteuliwa
 
Antony Mtaka ndio funga kazi,huyo jamaa ni mzalendo na mchapakazi aliyetukuka.
Huyu hana sifa.
Waziri mkuu anatokana mbunge aliyechaguliwa kwenye jimbo
 
Riziwani Kikwete ndo anafaa. Ana hekima, busara na uvumilivu kama mzee Kikwete. Napomuona Riziwani namwona JK.
 
Kama PM Majaliwa inasemwa ataondolewa kwa sababu ya 2025 ndo kile kile Mwigulu anafanya Chini Chini kuelekea 2025.......
 
Wamekulipa sh. ngapi ili kuja kuwapigia pande huku. Umenichekesha kwa Kigwangala
 
Habari ndugu wana jamii wenzangu? Nimepita kwenye mitandao nikakuta taarifa ya kwamba kuna anayepigiwa chapuo la kurithi nafasi ya uwaziri mkuu, hivyo nami nikaona nitoe pendekezo langu kwa kiongozi ninaye onelea kufiti nafasi hiyo.

Kuna mawaziri watatu ambao ni mzigo kwa Taifa hili na bila shaka wanalipwa fadhila kutoka kwa ambao ndiyo mmojawapo wizara anayeiongoza tu imemshinda ila anatajwa kupigiwa chapuo, huyu jamaa atatupeleka pabaya sana!

Mheshimiwa Hussein Bashe ameonyesha juhudi kubwa kwa wizara anayeiongoza ningeshauri na kumuombea Allah amjalie hii nafasi ya uwaziri mkuu. Achana na kile kikosi cha walamba asali.

JamiiForums-1301178036.gif
 
Back
Top Bottom