Unadhani ni kwanini Godbless Lema na wanaomuunga mkono tundu lisu wana hali ya kuchanganyikiwa na kuweweseka kuelekea uchaguzi wa chadema jan.21.2025?

Unadhani ni kwanini Godbless Lema na wanaomuunga mkono tundu lisu wana hali ya kuchanganyikiwa na kuweweseka kuelekea uchaguzi wa chadema jan.21.2025?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Leo ni pres conference ya 3 ya Godbless Lema akihaha kujieleza na kumuelezea Tundu Lisu kwa umma ambao hauna kura katika mkutano mkuu wa chadema taifa, watakao piga kura Jan.21.2025, kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Lema na wanao muunga mkono Lisu hawaminiki na wala hawakubaliki kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, lakini mbona wanalazimisha kibaraka achaguliwe hali ya kua haaminiki na wala hakubaliki kwa wajumbe?

Hali hii ya kukosa utulivu kwa timu ya Lisu, badala ya kusambaa kisayansi kwa wajumbe mojamoja mahususi, wenye kura na kuwaomba waungane nao kwa kura siku ya uchaguzi Jan.21.2025. Undhani haya mayowe ya press conference na tweets zisizo na tija mitandaoni ni ishara ya kukiri kushindwa mapema au kukata tamaa ya kisiasa kuelekea uchaguzi?

Maana my friends, ladies and gentleman,
uchaguzi ni numbers of votes, na sio numbers of press conference, makelele na tweets.

unamshauri Tundu Lisu achukue uamuzi gani baada ya kushindwa uchaguzi huu muhimu sana wa chadema Taifa Jan.21.2025, maana numbers za wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa hana yeye ispokua zinamfavor zaidi mbowe.:pulpTRAVOLTA:


Mungu Ibariki Tanzania
 
Wasio elewa mchezo uliopo ni kwamba kwanini mangi yule ale peke yake asinigawie mangi mimi?
 
Leo ni pres conference ya 3 ya Godbless Lema akihaha kujieleza na kumuelezea Tundu Lisu kwa umma ambao hauna kura katika mkutano mkuu wa chadema taifa, watakao piga kura Jan.21.2025, kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Lema na wanao muunga mkono Lisu hawaminiki na wala hawakubaliki kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, lakini mbona wanalazimisha kibaraka achaguliwe hali ya kua haaminiki na wala hakubaliki kwa wajumbe?

Hali hii ya kukosa utulivu kwa timu ya Lisu, badala ya kusambaa kisayansi kwa wajumbe mojamoja mahususi, wenye kura na kuwaomba waungane nao kwa kura siku ya uchaguzi Jan.21.2025. Undhani haya mayowe ya press conference na tweets zisizo na tija mitandaoni ni ishara ya kukiri kushindwa mapema au kukata tamaa ya kisiasa kuelekea uchaguzi?

Maana my friends, ladies and gentleman,
uchaguzi ni numbers of votes, na sio numbers of press conference, makelele na tweets.

unamshauri Tundu Lisu achukue uamuzi gani baada ya kushindwa uchaguzi huu muhimu sana wa chadema Taifa Jan.21.2025, maana numbers za wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa hana yeye ispokua zinamfavor zaidi mbowe.:pulpTRAVOLTA:


Mungu Ibariki Tanzania
Wanafanya uharakati siyo siasa
 
Wasio elewa mchezo uliopo ni kwamba kwanini mangi yule ale peke yake asinigawie mangi mimi?
kazi ya uongozi ni ya kujitolea gentleman,

hakuna chakula cha kugawana uongozini, hasa kwa chama kisicho na miradi kama chadema:pedroP:
 
Leo ni pres conference ya 3 ya Godbless Lema akihaha kujieleza na kumuelezea Tundu Lisu kwa umma ambao hauna kura katika mkutano mkuu wa chadema taifa, watakao piga kura Jan.21.2025, kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Lema na wanao muunga mkono Lisu hawaminiki na wala hawakubaliki kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, lakini mbona wanalazimisha kibaraka achaguliwe hali ya kua haaminiki na wala hakubaliki kwa wajumbe?

Hali hii ya kukosa utulivu kwa timu ya Lisu, badala ya kusambaa kisayansi kwa wajumbe mojamoja mahususi, wenye kura na kuwaomba waungane nao kwa kura siku ya uchaguzi Jan.21.2025. Undhani haya mayowe ya press conference na tweets zisizo na tija mitandaoni ni ishara ya kukiri kushindwa mapema au kukata tamaa ya kisiasa kuelekea uchaguzi?

Maana my friends, ladies and gentleman,
uchaguzi ni numbers of votes, na sio numbers of press conference, makelele na tweets.

unamshauri Tundu Lisu achukue uamuzi gani baada ya kushindwa uchaguzi huu muhimu sana wa chadema Taifa Jan.21.2025, maana numbers za wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa hana yeye ispokua zinamfavor zaidi mbowe.:pulpTRAVOLTA:


Mungu Ibariki Tanzania
Lisu na genge lake waende Ubeligiji
 
Leo ni pres conference ya 3 ya Godbless Lema akihaha kujieleza na kumuelezea Tundu Lisu kwa umma ambao hauna kura katika mkutano mkuu wa chadema taifa, watakao piga kura Jan.21.2025, kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Lema na wanao muunga mkono Lisu hawaminiki na wala hawakubaliki kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, lakini mbona wanalazimisha kibaraka achaguliwe hali ya kua haaminiki na wala hakubaliki kwa wajumbe?

Hali hii ya kukosa utulivu kwa timu ya Lisu, badala ya kusambaa kisayansi kwa wajumbe mojamoja mahususi, wenye kura na kuwaomba waungane nao kwa kura siku ya uchaguzi Jan.21.2025. Undhani haya mayowe ya press conference na tweets zisizo na tija mitandaoni ni ishara ya kukiri kushindwa mapema au kukata tamaa ya kisiasa kuelekea uchaguzi?

Maana my friends, ladies and gentleman,
uchaguzi ni numbers of votes, na sio numbers of press conference, makelele na tweets.

unamshauri Tundu Lisu achukue uamuzi gani baada ya kushindwa uchaguzi huu muhimu sana wa chadema Taifa Jan.21.2025, maana numbers za wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa hana yeye ispokua zinamfavor zaidi mbowe.:pulpTRAVOLTA:


Mungu Ibariki Tanzania
 

Attachments

  • 5927761-923bfedf7199215fcdcc6c189769be73.mp4
    5.2 MB
Leo ni pres conference ya 3 ya Godbless Lema akihaha kujieleza na kumuelezea Tundu Lisu kwa umma ambao hauna kura katika mkutano mkuu wa chadema taifa, watakao piga kura Jan.21.2025, kumchagua mwenyekiti wa chadema Taifa. Lema na wanao muunga mkono Lisu hawaminiki na wala hawakubaliki kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema taifa, lakini mbona wanalazimisha kibaraka achaguliwe hali ya kua haaminiki na wala hakubaliki kwa wajumbe?

Hali hii ya kukosa utulivu kwa timu ya Lisu, badala ya kusambaa kisayansi kwa wajumbe mojamoja mahususi, wenye kura na kuwaomba waungane nao kwa kura siku ya uchaguzi Jan.21.2025. Undhani haya mayowe ya press conference na tweets zisizo na tija mitandaoni ni ishara ya kukiri kushindwa mapema au kukata tamaa ya kisiasa kuelekea uchaguzi?

Maana my friends, ladies and gentleman,
uchaguzi ni numbers of votes, na sio numbers of press conference, makelele na tweets.

unamshauri Tundu Lisu achukue uamuzi gani baada ya kushindwa uchaguzi huu muhimu sana wa chadema Taifa Jan.21.2025, maana numbers za wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa hana yeye ispokua zinamfavor zaidi mbowe.:pulpTRAVOLTA:


Mungu Ibariki Tanzania
MTakunywa dawa hata kama hamtaku, lisu shikilia hapohapo
 
Dodoma Tumeuzwa Kama Gulioni.
NI VIZURI KUA MAKINI SANA KAMA TAIFA, VINGINEVYO KIBARAKA WA MABWENYENYE YA MAGHARIBI ANAJIPENYEZA KINYEMELA NA KUINGIZA UFIRAUNI NCHINI KANAKWAMBA NI HAKI YA VIJANA WAKIKE NA KIUME KUOANA WAO KWA WAO KULINGANA NA JINSIA ZAO. CHADEMA YAFAA KUA MAKINI ZAIDI :pulpTRAVOLTA:
 
MTakunywa dawa hata kama hamtaku, lisu shikilia hapohapo
infedhehesha sana,
ndani ya mwaka moja wanaume wa bavicha mathalani watajikuta wanaoana kana kwamba ni haki yao ya msingi. Ni aibu na fedheha kibaraka kua mwenyekiti wa chadema taifa:NoGodNo:
 
Wajumbe wanatakiwa wapige kura sio kwa kumpenda mtu bali kwa kuangalia umma wa wanachama na mashabiki wa chama wanamtaka nani.
Baada ya huo uchaguzi hao wajumbe watakuwa hawana nguvu dhidi ya wanachana wala mashabiki wa chama.
Usishangae chama kikaishia hapo
 
Wajumbe wanatakiwa wapige kura sio kwa kumpenda mtu bali kwa kuangalia umma wa wanachama na mashabiki wa chama wanamtaka nani.
Baada ya huo uchaguzi hao wajumbe watakuwa hawana nguvu dhidi ya wanachana wala mashabiki wa chama.
Usishangae chama kikaishia hapo
Lema yuko live anabwabwaja na kuweweseka maskini dah :pedroP:
 
Back
Top Bottom