Unadhani ni kwanini siku hizi ni nadra sana kunyimana mapenzi isipokuwa ndani ya ndoa tu ndio unaweza kunyimwa live unajiona?

Unadhani ni kwanini siku hizi ni nadra sana kunyimana mapenzi isipokuwa ndani ya ndoa tu ndio unaweza kunyimwa live unajiona?

Nini hasa kimeingilia hapo katikati kwenye mapenzi, kwamba nje ya ndoa hakuna tena uchoyo wala kunyimana suala la mapenzi, unapewa tu kirahisi hata na mwenye ndoa, ila cha kushangaza ndani ya ndoa hata mwenye ndoa mwenyewe ananyimwa na anaweza kupewa kwa mbinde sana au kwa ratiba na masharti makali.

Lakin nje ya ndoa mtu anatoa au anapewa mapenzi bila hiyana na bila ugumu wala mbambamba yoyote na wengine kwenye mapenzi wanapeana hadi vitu vya ziada.

Nini sababu ya yote haya kutokea kwenye mapenzi ndugu zangu wadau, ukiachilia mbali pesa na magari🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hili la ndani sana mkuu. Umegusa mulemule.....ww umetumia mbinu gani mzee au unatembeza tunje hukooo😁😁
 
Hata ndani ya ndoa unapewa labda tu mke wako hakupendi au Huwa anaipeleka Kwa mhuni Fulani inakandamiza vizuri zaidi Yako ndiyo maana Huwa anakunyima
Sasa si ahamie huko huko kwanini tupeane majaribu ya kuuwana..
 
Back
Top Bottom