Unadhani ni kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia kinga?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Utaskia hua inaniwasha, mara ooh huwa inanisababishia fangas, ooh nina aleji na harufu yake ntapata mafua sasahivi n.k,

nini kifanyike ili jamiii hii ya wanawake na wanaume pia wapende kutumia kondomu wakati wa kufanya mapenzi?

huenda leo hii asubuh, kuna mtu kaamka na maambukizi ya vvu kizembe tu.

UKIMWI UPO NA HAUNA DAWA, TUMIA KONDOMU AU BAKI NJIA KUU KUJIEPUSHA NA FEFHEHA ZA U.T.I SUGU, KASWENDE AU GONO.πŸ’

Mungu Ibarki Tanzania
 
Haya ndiyo mambo ambayo wana CCM mna ustadi nayo na mnaweza kuyajengea hoja ila sio maswala yanayo husu nchi
 
Ukishaupata we zama mstuni mbn miti kibao unatibika
 
Hamna mtu anaye enjoy sex akitumia condom (na hili halina jinsia) ila hali ya dunia ndio inalazimisha watu watumie.

Ukiona mtu analeta sababu nyingi ili asitumie kinga na hamjawahi kupima pamoja kujua afya zenu, wewe kimbia tu kuokoa maisha yako.
 
Wanasema kwenye maambukizi ya VVU mbadala wa condom ni vilainishi. Condom laaabda kwenye magonjwa mengineyo na mimba.
Nimewai kutana na huyu kaniambia kilainishi ndio kila kitu nikamwambia hakuna cha kilainishi apa nikucheki afya tu kama utaki jokatae kwer kajikataaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
viongozi wa chama wameamkaje gentleman? mwashambwa nae?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…