Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Kashauza Mechinaona mrejesho wa valentine umeanza mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashauza Mechinaona mrejesho wa valentine umeanza mapema
mapema sana refa kaweka kati hahahaKashauza Mechi
Tuache kuwa na agenda zenye tija tujadili upuuzi…!! Kwani kuna mtu hajui namna ya kujilinda??hii lazima iwe agenda yenu ya March 8 kwenye siku yenu, na itapendeza zaid, right?🐒
Haya mambo yapo sanaNimewai kutana na huyu kaniambia kilainishi ndio kila kitu nikamwambia hakuna cha kilainishi apa nikucheki afya tu kama utaki jokatae kwer kajikataaaa😂😂😂😂
..hiyo ajenda haihusu nchi😇, basi CDM ni janga kwa nchiHaya ndiyo mambo ambayo wana CCM mna ustadi nayo na mnaweza kuyajengea hoja ila sio maswala yanayo husu nchi
inasikitisha sana na inafedhehesha mno,Tuache kuwa na agenda zenye tija tujadili upuuzi…!! Kwani kuna mtu hajui namna ya kujilinda??
Mwanamke akiwa sexually aroused ni shidaaHamna mtu anaye enjoy sex akitumia condom (na hili halina jinsia) ila hali ya dunia ndio inalazimisha watu watumie.
Ukiona mtu analeta sababu nyingi ili asitumie kinga na hamjawahi kupima pamoja kujua afya zenu, wewe kimbia tu kuokoa maisha yako.
Ila azini na mwanaume? Mbna mnatuchanganyaa?Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Ujinga tu ndio mnauweza kujengea hoja so mambo ya msingi..hiyo ajenda haihusu nchi😇, basi CDM ni janga kwa nchi
Mimi naona wanaume nyie ndio wasumbufu kwenye kutumia kinga. Na hata mkitumia full kulalamika tu inawabana katikati mnataka mvueMwanamke akiwa sexually aroused ni shidaa
Sasa kama inabana tusiseme?!Mimi naona wanaume nyie ndio wasumbufu kwenye kutumia kinga. Na hata mkitumia full kulalamika tu inawabana katikati mnataka mvue
Na kwa ujinga wenu hamtaiona ikuku N'go, na kwa ujinga (ignorance)wenu mnai promote CCM for lifeUjinga tu ndio mnauweza kujengea hoja so mambo ya msingi
Kama katiba mpya....Haya ndiyo mambo ambayo wana CCM mna ustadi nayo na mnaweza kuyajengea hoja ila sio maswala yanayo husu nchi