Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi anateuliwa na anayeenda kugombea urais.hapo ni tume huru au geresha?Kwasababu ccm hawataki tume huru ya UCHAGUZI na wanaiba kura kwa kutumia vyombo vya dola.
🤣Hata kama ingekuwa unaweza kula ndizi yenye haijamenywa...
Na kwako pia usisahau kusali😃
nilishakuonya utulie lkn wapi unakinini wewe..?Hata kama ingekuwa wewe unaweza kula ndizi yenye haijamenywa...?
Mbona matango mnajisokomezea na maganda yake bila kumenya?Hata kama ingekuwa wewe unaweza kula ndizi yenye haijamenywa...?
Kipanya anasema hivi 👇Utaskia hua inaniwasha, mara ooh huwa inanisababishia fangas, ooh nina aleji na harufu yake ntapata mafua sasahivi n.k,
nini kifanyike ili jamiii hii ya wanawake na wanaume pia wapende kutumia kondomu wakati wa kufanya mapenzi?
huenda leo hii asubuh, kuna mtu kaamka na maambukizi ya vvu kizembe tu.
UKIMWI UPO NA HAUNA DAWA, TUMIA KONDOMU AU BAKI NJIA KUU KUJIEPUSHA NA FEFHEHA ZA U.T.I SUGU, KASWENDE AU GONO.🐒
Mungu Ibarki Tanzania
Wana siri nyingi haokwamba wanapenda ajali ziwapate wakiwa hawajavaa helmet?, dah!🐒
Muanze veggies kupeana huo ushauri mana mnapenda ngono zembe 😹My lady,
mimi ni kiongozi mtaalamu na mtafiti wa mambo mengi kidogo, ila sihusiki kabisa na songombingo hizo,
bali huo ni baadhi tu ya ushuhuda wa wahusika waliopitia kwenye daraja hiyo.
Hata hivyo,
matumizi ya kondom ni muhimu sana unapofanya mapenzi.
Kama unampenda utamlinda. Baki njia kuu au tumia kondom 🐒
Jasiri haachi asiri😁nilishakuonya utulie lkn wapi unakinini wewe..?
Haya yote wewe umeyajuajeUtaskia hua inaniwasha, mara ooh huwa inanisababishia fangas, ooh nina aleji na harufu yake ntapata mafua sasahivi n.k,
Kwani haya hayahusu nchiHaya ndiyo mambo ambayo wana CCM mna ustadi nayo na mnaweza kuyajengea hoja ila sio maswala yanayo husu nchi
Katika kufanya tafiti kuna namna nyingi za kukusanya taarifa zikiwemo participant methord na questionnaire method. Tunaomba kujua wewe umetumia njia ipi kati ya izo kufika hitimisho.mimi ni mtafiti mwandamizi gentleman,
na huo ni ushuhuda wa miongoni mwa matokeo ya utafiti![]()
hiyo si muhimu sana, kwasababu its not for academic purposes,Katika kufanya tafiti kuna namna nyingi za kukusanya taarifa zikiwemo participant methord na questionnaire method. Tunaomba kujua wewe umetumia njia ipi kati ya izo kufika hitimisho.

Nikipaka mafuta mengi kuna ubaya???Hamna mtu anaye enjoy sex akitumia condom (na hili halina jinsia) ila hali ya dunia ndio inalazimisha watu watumie.
Ukiona mtu analeta sababu nyingi ili asitumie kinga na hamjawahi kupima pamoja kujua afya zenu, wewe kimbia tu kuokoa maisha yako.