Unadhani ni matokeo yapi ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA yatakuwa na tija kwa chama na Taifa?

Unadhani ni matokeo yapi ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA yatakuwa na tija kwa chama na Taifa?

Fundi Mchundo

Platinum Member
Joined
Nov 9, 2007
Posts
10,448
Reaction score
8,705
Mimi ningependa Lissu ashinde ingawa simuungi mkono. Sababu zangu ni hizi:
1. Ushindi wake utaondoa dhana ya CDM kuwa ya mtu mmoja ambayo sio kweli
2. Najua Mbowe atakubali matokeo na kumpongeza mshindani wake. Hii itamuongezea yeye na chama chake sifa ya kuwa kweli ni cha kidemokrasia. Aidha, Mbowe ana uwezo wa kuwatuliza wafuasi na kuwashauri nao wakubali matokeo.
3. Kama Wenje atashinda nafasi ya Makamu Mwenyekiti ajiuzuru mara moja ili kuondoa kiwingu katika uongozi. Heche anaweza kukaimu nafasi hiyo mpaka uchaguzi mwingine utakapofanyika.
4. Lissu amteue mwanamke kuwa Katibu Mkuu wa CDM. Mtu kama CPA Ruge atafaa katika nafasi hiyo. Suzan Kiwanga nae apewe nafasi ya uongozi. Hii italeta balance kidogo ya kijinsia.
5. Manaibu KM waendelee kama ilivyo.
6. Kaimu Mwenyekiti wa Bawacha achaguliwe kuwa Mwenyekiti Kamili wa Bawacha.
7. Mbowe aende nchi za nje akapumzike. Asijihusishe na mambo ya CDM ili isionekane anataka kuongoza kwa remote. Ataweza kuhudhuria vikao vya Kamati Kuu online.
8. Lissu atangaze kufukia yale yote yaliyopita na kuanza safari mpya. Hii itasaidia kuponya vidonda.
9. Lissu aanzishe taratibu za kutambua juhudi zinazofanywa na wanachama wake walio mikoani na wa kawaida. Watu kama Husna wa Chato, Aidan, yule dada aliyewekwa ndani baada ya kujigalagala nje ya ubalozi wa Marekani, Mdude Nyangali na wengine.
10. Aijenge idara ya communication kwa kuweka watu mahiri katika social media n.k.

Amandla...
 
Asingeweza kukataa kugombea baada ya maneno, matusi na upakaji wa matope uliofanywa dhidi yake. Asingegombea ingefanya maneno yale yaonekane kuwa ni ya kweli. Tofauti na Lissu, hata akishindwa ana guarantee ya kuwa katika Kamati Kuu.
Sijui nani atashinda lakini haya ndio mawazo yangu.

Amandla...
 
..Lissu apewe miaka mitano akishindwa apigwe chini.
 
Mimi ningependa Lissu ashinde ingawa simuungi mkono. Sababu zangu ni hizi:
1. Ushindi wake utaondoa dhana ya CDM kuwa ya mtu mmoja ambayo sio kweli
2. Najua Mbowe atakubali matokeo na kumpongeza mshindani wake. Hii itamuongezea yeye na chama chake sifa ya kuwa kweli ni cha kidemokrasia. Aidha, Mbowe ana uwezo wa kuwatuliza wafuasi na kuwashauri nao wakubali matokeo.
3. Kama Wenje atashinda nafasi ya Makamu Mwenyekiti ajiuzuru mara moja ili kuondoa kiwingu katika uongozi. Heche anaweza kukaimu nafasi hiyo mpaka uchaguzi mwingine utakapofanyika.
4. Lissu amteue mwanamke kuwa Katibu Mkuu wa CDM. Mtu kama CPA Ruge atafaa katika nafasi hiyo. Suzan Kiwanga nae apewe nafasi ya uongozi. Hii italeta balance kidogo ya kijinsia.
5. Manaibu KM waendelee kama ilivyo.
6. Kaimu Mwenyekiti wa Bawacha achaguliwe kuwa Mwenyekiti Kamili wa Bawacha.
7. Mbowe aende nchi za nje akapumzike. Asijihusishe na mambo ya CDM ili isionekane anataka kuongoza kwa remote. Ataweza kuhudhuria vikao vya Kamati Kuu online.
8. Lissu atangaze kufukia yale yote yaliyopita na kuanza safari mpya. Hii itasaidia kuponya vidonda.
9. Lissu aanzishe taratibu za kutambua juhudi zinazofanywa na wanachama wake walio mikoani na wa kawaida. Watu kama Husna wa Chato, Aidan, yule dada aliyewekwa ndani baada ya kujigalagala nje ya ubalozi wa Marekani, Mdude Nyangali na wengine.
10. Aijenge idara ya communication kwa kuweka watu mahiri katika social media n.k.

Amandla...
Bado Chama kinamhitaji Mbowe.
 
Mimi ningependa Lissu ashinde ingawa simuungi mkono. Sababu zangu ni hizi:
1. Ushindi wake utaondoa dhana ya CDM kuwa ya mtu mmoja ambayo sio kweli
2. Najua Mbowe atakubali matokeo na kumpongeza mshindani wake. Hii itamuongezea yeye na chama chake sifa ya kuwa kweli ni cha kidemokrasia. Aidha, Mbowe ana uwezo wa kuwatuliza wafuasi na kuwashauri nao wakubali matokeo.
3. Kama Wenje atashinda nafasi ya Makamu Mwenyekiti ajiuzuru mara moja ili kuondoa kiwingu katika uongozi. Heche anaweza kukaimu nafasi hiyo mpaka uchaguzi mwingine utakapofanyika.
4. Lissu amteue mwanamke kuwa Katibu Mkuu wa CDM. Mtu kama CPA Ruge atafaa katika nafasi hiyo. Suzan Kiwanga nae apewe nafasi ya uongozi. Hii italeta balance kidogo ya kijinsia.
5. Manaibu KM waendelee kama ilivyo.
6. Kaimu Mwenyekiti wa Bawacha achaguliwe kuwa Mwenyekiti Kamili wa Bawacha.
7. Mbowe aende nchi za nje akapumzike. Asijihusishe na mambo ya CDM ili isionekane anataka kuongoza kwa remote. Ataweza kuhudhuria vikao vya Kamati Kuu online.
8. Lissu atangaze kufukia yale yote yaliyopita na kuanza safari mpya. Hii itasaidia kuponya vidonda.
9. Lissu aanzishe taratibu za kutambua juhudi zinazofanywa na wanachama wake walio mikoani na wa kawaida. Watu kama Husna wa Chato, Aidan, yule dada aliyewekwa ndani baada ya kujigalagala nje ya ubalozi wa Marekani, Mdude Nyangali na wengine.
10. Aijenge idara ya communication kwa kuweka watu mahiri katika social media n.k.

Amandla...
Salama ya Chadema ni Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti.

Tunzeni post yangu hii.
 
Matokeo yatakayotokana na maamuzi ya wapiga kura halali 1200 wa Mkutano Mkuu ndio yatakaokuwa na tija. Wala sio porojo za wapiga porojo mitandaoni.
 
Mbowe atashinda uchaguzi.
Lissu atajitoa Chadema, ataenda fungua chama kipya or jiunga na chama kidogo cha upinzani.
Lissu ataondoka na almost 1/3 ya wafuasi na wanachama wa Chadema.
Chadema itaanza kufa taratibu hadi itavyobaki historia kama ilivyo NCCR Mageuzi.
Kumbuka Mrema aliondoka, akaanzisha TLP, si TLP wala NCCR kina nguvu.

Hii circle itaendelea hivyo kwa miongo hata 5 kabla CCM hajagawanyika na Chama kipya kuchukua dola.
 
TAL hawezi kushinda hiyo nafasi mkuu .

Busara kubwa kuliko zote ilikuwa ni Mbowe kutokugombea .
Kama kundi la Mbkwe halitaharibu uchaguzi, Lisu anashinda kwa urahisi sana.

Kwa mfano, nimeongea na baadhi ya viongozi wa wilaya na mikoa, wa kanda ya Nyasa, wote ni wapiga kura, katika wote nilioongea nao, wanasema wao mgombea wao ni Lisu. Mmoja tu ambayr alisema kuwa, yeyote atakayepita sawa tu.

Kwenye uchaguzi halali, Mbowe hapati hata 30%.
 
Kama kundi la Mbkwe halitaharibu uchaguzi, Lisu anashinda kwa urahisi sana.

Kwa mfano, nimeongea na baadhi ya viongozi wa wilaya na mikoa, wa kanda ya Nyasa, wote ni wapiga kura, katika wote nilioongea nao, wanasema wao mgombea wao ni Lisu. Mmoja tu ambayr alisema kuwa, yeyote atakayepita sawa tu.

Kwenye uchaguzi halali, Mbowe hapati hata 30%.
Hakika Ila mbowe Ana mbinu nyingi Sana za kimkakati ambazo anaweza kuzotumia kupata ushindi.
 
Chadema imeshajichanganya matokeo yoyote bado hayataiacha salama.
Akishinda Lissu (japo hatoshinda) chama kitakuwa ni jukwaa la wanaharakati hakutakuwa tena na wanasiasa hivyo kwa nature ya watanzania watawakataa mapema sana, pia chama kitakosa uwezo wa kipesa, kitakuwa ni taasisi ya wapiga kelele wazuri, kambi ya Mbowe itabaki kwenye chama ila haitakuwa na heshima kwa Lissu na uongozi wake kutakuwa na movement kubwa ya kukirudisha chama kwa wanasiasa chama kitagawanyika sana Lissu atafeli kuongoza. Pale chadema anaeweza kusikilizwa na watu wote ni Mbowe tu na uhenda ili sakata lisingetokea uko mbeleni heche angeweza kuwa na hiyo nguvu ya kusikilizwa ila kina yericko hawawezi kuwa loyal kwa lissu never na ndio chadema hao sasa ataongozaje hicho chama hao diaspora mwisho wao ni mitandaoni hawaendi field.


Akishinda Mbowe ambaye mpaka sasa ndio mshindi chama kitapasuka. Wanaopenda siasa za harakati na watu vocal wanaoaminika mtaani dizain ya heche na mdude wataondoka kwenye chama wataenda chauma, wengine wataacha siasa kabisa. Mbowe atabaki na kundi la wanachadema wasioaminika kina wenje, sugu, bon yai siasa zitakuwa ngumu sana upande wao maana ile support waliyokuwa wanaipata ambayo ndio nguvu yao itapotea kabisa. Ngome zao kuu za propaganda yani twitter na jamiiforum watageuka maadui watu watawashambulia sana. Mbowe atapanga siasa mpya itamgharimu na itachukua muda sana pengine after 2025 ndio ataanza kuchomoza tena na wanasiasa wapya ila atapitia mapigo ambayo hajawai kuyaapta kwenye maisha yake ya kisiasa.
Tatizo kubwa Lissu hana akiba ya maneno hivyo atakichafua chama mpaka anaondoka kimenuka na hana cha kupoteza.
 
Mimi ningependa Lissu ashinde ingawa simuungi mkono. Sababu zangu ni hizi:
1. Ushindi wake utaondoa dhana ya CDM kuwa ya mtu mmoja ambayo sio kweli
2. Najua Mbowe atakubali matokeo na kumpongeza mshindani wake. Hii itamuongezea yeye na chama chake sifa ya kuwa kweli ni cha kidemokrasia. Aidha, Mbowe ana uwezo wa kuwatuliza wafuasi na kuwashauri nao wakubali matokeo.
3. Kama Wenje atashinda nafasi ya Makamu Mwenyekiti ajiuzuru mara moja ili kuondoa kiwingu katika uongozi. Heche anaweza kukaimu nafasi hiyo mpaka uchaguzi mwingine utakapofanyika.
4. Lissu amteue mwanamke kuwa Katibu Mkuu wa CDM. Mtu kama CPA Ruge atafaa katika nafasi hiyo. Suzan Kiwanga nae apewe nafasi ya uongozi. Hii italeta balance kidogo ya kijinsia.
5. Manaibu KM waendelee kama ilivyo.
6. Kaimu Mwenyekiti wa Bawacha achaguliwe kuwa Mwenyekiti Kamili wa Bawacha.
7. Mbowe aende nchi za nje akapumzike. Asijihusishe na mambo ya CDM ili isionekane anataka kuongoza kwa remote. Ataweza kuhudhuria vikao vya Kamati Kuu online.
8. Lissu atangaze kufukia yale yote yaliyopita na kuanza safari mpya. Hii itasaidia kuponya vidonda.
9. Lissu aanzishe taratibu za kutambua juhudi zinazofanywa na wanachama wake walio mikoani na wa kawaida. Watu kama Husna wa Chato, Aidan, yule dada aliyewekwa ndani baada ya kujigalagala nje ya ubalozi wa Marekani, Mdude Nyangali na wengine.
10. Aijenge idara ya communication kwa kuweka watu mahiri katika social media n.k.

Amandla...
Mimi napendekeza John Heche achukue form ya kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti. Wenje hili sakata la Abdul limeshamuondolea sifa ya kuongoza chama ngazi ya Taifa.
 
Kama kundi la Mbkwe halitaharibu uchaguzi, Lisu anashinda kwa urahisi sana.

Kwa mfano, nimeongea na baadhi ya viongozi wa wilaya na mikoa, wa kanda ya Nyasa, wote ni wapiga kura, katika wote nilioongea nao, wanasema wao mgombea wao ni Lisu. Mmoja tu ambayr alisema kuwa, yeyote atakayepita sawa tu.

Kwenye uchaguzi halali, Mbowe hapati hata 30%.
Fanya utafiti upya au labda uzifahamu siasa za Africa. Africa hii hakuna mtu anamshinda mwenyekiti wa chama kirahisi Mbowe ana watu sana. Amejipanga vizuri sana ndio maana alichukua fomu Mbowe awezi kuchukua fomu kama hashindi.
 
Hayo ni matusi kwa mamilioni ya wanachama wa Chadema,kwamba hata leo hii ikitokea Mbowe akipendwa sana na muumba Chadema itakufa?
CDM haitajufa ila Mbowe bado anahitajika sana kwa uhai wa chama. Yapo mengi wasiyoyajua watu.
 
CDM haitajufa ila Mbowe bado anahitajika sana kwa uhai wa chama. Yapo mengi wasiyoyajua watu.
Kwani Mbowe asipokuwa mwenyekiti atahama Chadema? Mimi nakubali kweli Mbowe anahitajika lakini siyo lazima awe mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom