Unadhani siku 5 za Maombolezo Tanzania kwa kifo cha Malkia Uingereza zinatokana na nini hasa kati ya haya?

Jeuri ya ndugu,hata Ivo hatujawahi kuwa huru mbona
 
Huyo unaemuelimisha ni mkimbizi kutoka kwa Kagame.

Nchi Yao haikutawaliwa wala kuwa chini ya Udhamini wa Uingereza.

Ukitaka ugomvi mtaje kwa ubaya kiongozi wake.
 
Amemiss vita vya maji maji songea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…