Kabla ya muungano wetu isingewezekana kuwauwa watanzania kwasababu Tanzania haikuwepo. Labada watanganyika maana nchi hiyo ya Tanganyika ilikuwepo. Ukiacha mambo ya kiimani watu huitwa kwa kunasibishwa na taifa lao. Yaani Waganda ni wa nchi ya Uganda au Watanzania ni wa nchi inaiyotwa Tanzania. Hivyo nilisema kwa misingi hii si ile ya kufumba macho na kulazimisha ubongo wa wengine kuamini yale yalio nje ya logicUnaweza kuua nchi kweli!!?? mikelele kila kukicha kwamba mmeonewa, acha JPM akaze tu maana hakuna namna.
netanyahu ni waziri mkuu..rais yupo ila si mtendaji na hana mamlaka makubwa kama waziri mkuuRais wao yaani Rais Benjamin Natanyahu ni Rais pekee Duniani aliyerudia kuwaongoza Waisrael baada ya kipindi chake cha mwanzo kumalizika.Rais huyu anaongoza Duniani kwa kuwa na IQ kubwa inayofikia 180 units binadamu anayefuatia ana IQ 165 units.
Nieleweshe kidogo hapa unaposema wanaamini "Israel ni damu popote walipo nyumbani kwanza" asante.1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).
2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.
3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukimbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.
4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.
5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.
6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.
7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.
8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.
Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kibbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu,UN na Uingereza waliliona kama sio kitu.
9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
Ndiyo ana damu ya kiyahudiHilter yenyewe myahudi
Hata ukisoma kitabu cha Yoshua na kitabu cha Waamuzi unaona wazi Mungu anawapigania kwa namna ya kipekee kabisa. Anayebisha haya hana uelewa wa mambo makubwa na ya ndani zaidi.Zaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatu
Lkn kabla ya mda uliotegeshewa haujafika kimbunga toka ilipo Israeli kiliyavurumisha yale mabomu na kuleta madhara kwa nchi zilizotega hayo mabomu
Kama Israel isingekuwepo duniani Mungu angekuwa ametuhukum amini usiamini Israeli ndio pona ya ulimwengu huu
Angalau kwa sasa tuangalie kwa nini palestina vs israel?Wanawapa kichapo kitakatifu wapalestina huko
Mwambie afufuke toka jehanamuShukrani kwa elimu.
Kiboko ya hawa jamaa alikuwa Hitler, aliwachoma moto uchi vitoto vya Israel..
Na wanafanya hivyo kwa sababu wasiowapenda ni wengi. Sasa hivi hakuna taifa linaweza kuwagusa. Ukigusa unanata. Hata huyu mmarekani ambaye wengi husema anamlinda Israeli ingawa ni vice versa.HAWA JAMAA WAKO TAYARI KUFANYA CHOCHOTE ILI WAENDELEE KUWEPO.SISHANGAI UNAWEZA KUWA SAHIHI KABISA
Nani analibeba Mzee.ndiyo taifa linaloishi kwa kubebwa na kulialia sana.
na ndiyo taifa lisilo na eneo la hata nchi moja ya ardhi halali
umepotea ndugyu,.....kwahiyo unashawishi tusiamini ktk Mungu sio,....dini zoote zimeletwa na wageni,..na dini zimekuja na maandiko na maandiko yanatusaidia kuishi ktk misingi haswa tusitende dhambi,..sasa ww ndudu yangu utakuwa shetani basiiiii,...hutaki tuamini uwepo wa Mungu,...doohh
Mods mnisameheNdio.maana Tanzania tumelaaniwa kutokana na serikali yetu Kuvunja uhusiano na Israel na kukumbatia wapalestina
Taifa teule, hebu tujiulize kwann mungu alimteua ibrahim peke yake kutoka miongoni mwa ndg zke kutoka ktk taifa lake, kwanin asiteue taifa zima maana wote ni watu wake mungu?Huo uteulie ulisoma wapi? au ulihubiriwa na akofu/mchungaji/nabii? acheni kujitoa ufahamu, hiyo Israeli mnayo iabudu ndo Inayo ongoza kwa kuwabagua Waafrica, soma historia ya Ubaguzi wa rangu kule Africa kusini ujue mchango wa Israeli ulikuwa ni upi, acheni