Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Unaweza kuua nchi kweli!!?? mikelele kila kukicha kwamba mmeonewa, acha JPM akaze tu maana hakuna namna.
Kabla ya muungano wetu isingewezekana kuwauwa watanzania kwasababu Tanzania haikuwepo. Labada watanganyika maana nchi hiyo ya Tanganyika ilikuwepo. Ukiacha mambo ya kiimani watu huitwa kwa kunasibishwa na taifa lao. Yaani Waganda ni wa nchi ya Uganda au Watanzania ni wa nchi inaiyotwa Tanzania. Hivyo nilisema kwa misingi hii si ile ya kufumba macho na kulazimisha ubongo wa wengine kuamini yale yalio nje ya logic
 
Rais wao yaani Rais Benjamin Natanyahu ni Rais pekee Duniani aliyerudia kuwaongoza Waisrael baada ya kipindi chake cha mwanzo kumalizika.Rais huyu anaongoza Duniani kwa kuwa na IQ kubwa inayofikia 180 units binadamu anayefuatia ana IQ 165 units.
netanyahu ni waziri mkuu..rais yupo ila si mtendaji na hana mamlaka makubwa kama waziri mkuu
 
Israel anaweza kuishambulia nchi yoyote na umoja wa mataifa usiseme chochote....
 
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukimbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.

5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.

6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.

Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kibbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu,UN na Uingereza waliliona kama sio kitu.

9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
Nieleweshe kidogo hapa unaposema wanaamini "Israel ni damu popote walipo nyumbani kwanza" asante.
 
Zaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatu
Lkn kabla ya mda uliotegeshewa haujafika kimbunga toka ilipo Israeli kiliyavurumisha yale mabomu na kuleta madhara kwa nchi zilizotega hayo mabomu

Kama Israel isingekuwepo duniani Mungu angekuwa ametuhukum amini usiamini Israeli ndio pona ya ulimwengu huu
Hata ukisoma kitabu cha Yoshua na kitabu cha Waamuzi unaona wazi Mungu anawapigania kwa namna ya kipekee kabisa. Anayebisha haya hana uelewa wa mambo makubwa na ya ndani zaidi.
 
HAWA JAMAA WAKO TAYARI KUFANYA CHOCHOTE ILI WAENDELEE KUWEPO.SISHANGAI UNAWEZA KUWA SAHIHI KABISA
Na wanafanya hivyo kwa sababu wasiowapenda ni wengi. Sasa hivi hakuna taifa linaweza kuwagusa. Ukigusa unanata. Hata huyu mmarekani ambaye wengi husema anamlinda Israeli ingawa ni vice versa.
 
umepotea ndugyu,.....kwahiyo unashawishi tusiamini ktk Mungu sio,....dini zoote zimeletwa na wageni,..na dini zimekuja na maandiko na maandiko yanatusaidia kuishi ktk misingi haswa tusitende dhambi,..sasa ww ndudu yangu utakuwa shetani basiiiii,...hutaki tuamini uwepo wa Mungu,...doohh

Wapo wanao amini katika hizo Dini na matendo yao yasifanane au kuendana na hizo Dini ,pia wapo wasio amini ktk hizo Imani na wakaishi kibinadamu na Binadamu wengine.

Inawezekana wew ndio umeseti Akili yako kuwa hauwezi kuishi Maisha ya Kibinadamu bila ya kuwa na Dini..

Binadamu wa leo unakuwa na mawazo mgando namna hii?..
 
Ndio.maana Tanzania tumelaaniwa kutokana na serikali yetu Kuvunja uhusiano na Israel na kukumbatia wapalestina
Mods mnisamehe

Tanzania haijalaaniwa kalaaniwa msenge huyu tuuuuuuu
 
Kuna mpango wa Mungu uliofichama tangu mwanzo kupitia waisrael yaani dunia kulombolewa kuwa huru kupitia israel.
Waliikataa injili licha ya yesu kupitia kwao lakini dunia nzima tumefanyika kuwa waisrael kwa njia nyingi.
Ikaandikwa ewe Israel, atalaaniwa atakesema umelaaniwa na atabarikiwa yeyote atakayesema israel umebarikiwa(mwanzo ).
Baraka humfikia kila binadamu lakini lazima zipitie kwanza kwa mmoja kisha awe kama supplier kwa wote. Biblia ni pana na fasihi nzito.
 
Huo uteulie ulisoma wapi? au ulihubiriwa na akofu/mchungaji/nabii? acheni kujitoa ufahamu, hiyo Israeli mnayo iabudu ndo Inayo ongoza kwa kuwabagua Waafrica, soma historia ya Ubaguzi wa rangu kule Africa kusini ujue mchango wa Israeli ulikuwa ni upi, acheni
Taifa teule, hebu tujiulize kwann mungu alimteua ibrahim peke yake kutoka miongoni mwa ndg zke kutoka ktk taifa lake, kwanin asiteue taifa zima maana wote ni watu wake mungu?
Kwanin mungu anafunga agano na ibrahim juu ya kizazi cha ibrahim ilihali kuna wanadamu wengne? TenA anasema israel ni mzaliwa wang wakwanza ukimbalik nitakubarik na ukimlaani nitakulaani.
Mung anawapigania waisrael ktkt ya wamisri huku akiwapiga wamisr kwa mapigo tisa ilihali wamisr ni watu wamung kama waisrael?
Kuna uhusiano gani kati ya mungu na taifa la israel?
kuna wakati mungu alitaka kulifuta taifa la israel wakati musa alipokwenda kusali mliman,wana wa israel wakachonga sanam wakaanza kuibudu, mung akamwambia musa nitawafuta hawa wanawaisrael kwa kuwa wamenitenda uovu halafu nitakuinulia uzao wewe musa,
Musa akamwambia mungu kumbuka agano ulifunga na ibrahim, mung akaghail asiwatende mabaya.
Uteule wa israel si kwa matendo yao bali uteule ulianzia pale mung alipomteua ibrahim babu yao na isak na yakobo na kufunga agano nao kutoka ktkt ya wanadam weng walioumbwa na mungu.
BAbu waisrael ni ibrahim ktk damu lakin cc Watu wa mataifa mengne ibrahim ni babu yetu ktk imani.
 
Back
Top Bottom