Inabidi tutoke Kwenye box kwanza,ili tuweze kumjua Myahudi ni nani.paulo ameandika vitabu vingi katika bible,..ikla hawamkubali,..so whats yo point ndugu.,,,,hapo ni kujua iko hivyo,..wewe unayeyakataa haya ni binadamu bt ukweli uko hivyo mkuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi tutoke Kwenye box kwanza,ili tuweze kumjua Myahudi ni nani.paulo ameandika vitabu vingi katika bible,..ikla hawamkubali,..so whats yo point ndugu.,,,,hapo ni kujua iko hivyo,..wewe unayeyakataa haya ni binadamu bt ukweli uko hivyo mkuuu
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).
2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.
3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukimbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.
4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.
5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.
6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.
7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.
8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.
Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kibbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu,UN na Uingereza waliliona kama sio kitu.
9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
hiyo namba 4 mkuu ngoja nishibe kwanza ...1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).
2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.
3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukimbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.
4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.
5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.
6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.
7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.
8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.
Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kibbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu,UN na Uingereza waliliona kama sio kitu.
9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
Umekaririshwa sana sio Rais ni PMRais wao yaani Rais Benjamin Natanyahu ni Rais pekee Duniani aliyerudia kuwaongoza Waisrael baada ya kipindi chake cha mwanzo kumalizika.Rais huyu anaongoza Duniani kwa kuwa na IQ kubwa inayofikia 180 units binadamu anayefuatia ana IQ 165 units.
Ur absolutely right, eti taifa teule!!! Upuuzi mtupuKwahiyo Mungu kateua taifa moja teule lisimamie mataifa mengine?
Taifa moja ni teule mengine ni uchafu?
Huwezi niaminisha kama wanadamu,Waisraeli ni wanadamu zaidi yetu mimi na wewe...
Biblia wameandika wao,unategemea nini?Acha slave mentality Mwafrika mwenzangu.
huyo netanyahu sio rais ni pm/prime ministerRais wao yaani Rais Benjamin Natanyahu ni Rais pekee Duniani aliyerudia kuwaongoza Waisrael baada ya kipindi chake cha mwanzo kumalizika.Rais huyu anaongoza Duniani kwa kuwa na IQ kubwa inayofikia 180 units binadamu anayefuatia ana IQ 165 units.
Jaribu tu kujipima iq yako alafu angalia impact ya uwepo wako duniani ukijilinganisha na waisrael wemwenyewe utajiona dhahiri you are of a very low standard human being. Kwani shida iko wapi kukubali tu ukweliEvans with all due respect,yaani wewe unaamini Israel ni taifa la mungu zaidi kuliko Tanzania?Yaani haya mataifa mawili hayana usawa wowote kwa Mungu?Kwa kosa gani hasa Mtanzania alilomkosea huyo Mungu kiasi cha kumuweka daraja la chini namna hiyo?
Hii concept haingii akilini kabisa,put the book down and let us discuss this like civilized human beings
Haiwezekani ukanipa concept ya kibaguzi namna hiyo halafu nikuone wa maana,huo mstari wa kibaguzi namna kwenye biblia nitauruka kwa makusudi na alieuandika kwakweli atakua ana matatizo...huu ni unyama mbaya sana,kuambukiza wanadamu ubaguzi mbovu namna hii
Mbona ametutenganisha (ametubagua) hata kwa rangi zetu tu. Au hata hilo huoni ?Imani gani Evans?Imani inayokuambia mungu ni mbaguzi namna hiyo si ya kweli......
Ndio maana unaambiwa imani unakua nayo wakati unasali,ila unapokua na wanadamu wenzako weka uanadamu mbele upuuzi mwingine nyuma...
Huwezi niambia niipende Israel zaidi ya Tanzania,huo ni uwehu seriously...na pia huwezi niambia taifa mungu alilonipa ni la daraja la chini mbele ya mungu huyo huyo wakati sijachagua kuzaliwa tanzania,ni taifa kanipa yeye,sasa ananibagua kivipi?
Hii biblia hawa wehu wamebadili vifungu makusudi kuleta huu ubaguzi wa kishetani kabisa...na aliebadili ningekua namjua ningemchoma mimi binafsi,huwezi jengesha chuki na ubaguzi huu kwa mataifa aliyoyajenga yeye yeye mungu mwenyewe
Ndugu yangu hebu epuka kutumia kichwa kwa kufuga nywele tu.... Israel ni miongoni mwa nchi zenye ubaguzi wa hali ya juu kwa ndugu zetu weusi walioenda kutafuta maisha huko....
Unaposema ni taifa la mungu sikuelewi... Angalia hii video halafu uone watu weusi wanavyobaguliwa na waisrael
ndiyo taifa kiboko ya magaidi na kuthibitisha hilo limezungukwa na nchi za kigaidi lakini wote wamesanda.ndio taifa lililosababisha dunia kukosa amani na ndio taifa waanzilishi wa Ugaidi
Rais wao yaani Rais Benjamin Natanyahu ni Rais pekee Duniani aliyerudia kuwaongoza Waisrael baada ya kipindi chake cha mwanzo kumalizika.Rais huyu anaongoza Duniani kwa kuwa na IQ kubwa inayofikia 180 units binadamu anayefuatia ana IQ 165 units.
Wewe lofa wa kisukuma,wenzio siyo wakristo kama unavyodhani,na wapo kwa sababu ya marekani tu,ka wilaya kale kazungukwe na mashababi bila msaada wa EU na amerika ?ndiyo taifa kiboko ya magaidi na kuthibitisha hilo limezungukwa na nchi za kigaidi lakini wote wamesanda.
Israel si ya mchezo-mchezo.
Mimi naamini Biblia. Hiyo ndiyo inayosema 'amlaanie Israel amelaaniwa' nikienda kinyume na Neno nitakufuru na unajuwa tena ukikifuru hata JF hutaiona [emoji23][emoji23][emoji23]Wewe lofa wa kisukuma,wenzio siyo wakristo kama unavyodhani,na wapo kwa sababu ya marekani tu,ka wilaya kale kazungukwe na mashababi bila msaada wa EU na amerika ?
1.Unataka kuniambia taifa la Israel halina watu wassup kielewa!Jaribu tu kujipima iq yako alafu angalia impact ya uwepo wako duniani ukijilinganisha na waisrael wemwenyewe utajiona dhahiri you are of a very low standard human being. Kwani shida iko wapi kukubali tu ukweli