Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Katika bible ukifuatilia utaona kuwa kitabu kiliandikwa kutoka mapokeo mawili,wale wa yuda waliokuwa wanamwamini yhweh ama jehova kwa kiswahili na wale wa ufalme wa israel waliokuwa wakimwamini EL,
walichofanya ni kuchanganya haya maandiko toka mapokeo mawili tofauti na hii ndo ikapelekea pawepo nacontradiction kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka cha mwisho ambazo hazina maelezo saahihi kama mtu hujui kuwa vitabu vilichanganywa,Mungu El akajikutaanawekwa kando na badala yake JEHOVA ndo akawa ndo Mungu wa wana wa israel,
ndo maana kuna mkanganyiko sana kwasababu jehova yumo akitoa amri zake za kuwafavour wayahudi na pia El nae yupo akitoa maelezo yake ya watu wote KUMWABUDU YEYE ALIYE JUU.ili mwisho wa siku atawapeleka huko juu MBINGUNI
 
Mungu hajaandika biblia hata kidogo,ni wehu kadhaa israel waliamka asubuhi wakasema eti "waliota" ndoto mungu kawafunulia ....yaani wanaona wakisema kweli tumeandika kwa utashi wetu hamtawaamini kirahisi,yaani hawa wehu hua nachoka nao kabisa"

mkristo jina.....................ila ukumbuke Mungu atawatenga mbuzi na kondoo siku ya mwisho. Mbuzi mkono wa kushoto na kondoo mkono wa kuume wa Mungu Baba, Mungu akusaidie maana ni kama ufahamu wako umepigwa ganzi usipate kuelewa ni nini yaliyo mapenzi ya Mungu. Na ujue wokovu watoka kwa Waisraeli kwanza ndiyo ukakufikia na wewe unayejiita mkristo usiyeonesha dalili ya uhai wa ukristo wako...........................usidhani Mungu ni msela kama unavyotaka kutuonesha hapa kwa kukiri ukristo na kutukana waliootumiwa na Mungu kuandika Biblia.

Mwisho kabisa, "..........WAABUDUO HALISI, WATAMWABUDU BABA KATIKA ROHO NA KWELI" Anasema Yesu Yohana 4:23.
Tubu na ukaokolewe
 
Wengi humu na historia inaonyesha waisreal wengi ni atheists ebu tujikumbushe vita ya dini iliyotokea ulaya na mashariki ya mbali wakati wa ukuaji wa uislamu
Na pia wakati wa utengano ndani ya kanisa katoliki uliosababisha ukatoliki wa ulaya Roman chinos ya papa na wa mashariki chini ya kiongoz wao akiitwa nadhan patriach
Ambapo mashariki wanatumia makanisa mengine lkn afrika hakuna but asia n meng na ndio maana kiongoz wa kanisa la mashariki hushiriki misa na papa ambao ni wayaud
Tujiulize je ni kwa nn nentanyau anaungwa mkono na kanisa katoliki?
Wayaud ni dini na dini hiyo n ukatoriki wa mashariki
 
mkristo jina.....................ila ukumbuke Mungu atawatenga mbuzi na kondoo siku ya mwisho. Mbuzi mkono wa kushoto na kondoo mkono wa kuume wa Mungu Baba, Mungu akusaidie maana ni kama ufahamu wako umepigwa ganzi usipate kuelewa ni nini yaliyo mapenzi ya Mungu. Na ujue wokovu watoka kwa Waisraeli kwanza ndiyo ukakufikia na wewe unayejiita mkristo usiyeonesha dalili ya uhai wa ukristo wako...........................usidhani Mungu ni msela kama unavyotaka kutuonesha hapa kwa kukiri ukristo na kutukana waliootumiwa na Mungu kuandika Biblia.

Mwisho kabisa, "..........WAABUDUO HALISI, WATAMWABUDU BABA KATIKA ROHO NA KWELI" Anasema Yesu Yohana 4:23.
Tubu na ukaokolewe
Emenena... wenye macho wasome na wenye masikio wasikie
 
Jamani ila kwa nini sijawai kuona vikundi vya kigsidi maatufu vikiishambulia israel direct??
 
Toka lini Mwarabu kampenda M-yahudi!! Hivyo wote wanaowapinga na kuzusha chuki dhidi ya Wayahudi ni walewale waliokunywa uji wa Mgonjwa
 
Pamoja na kufanya yote lakini;

1: Hakuwahi kutembelea concentration camp ambazo waisrael walitekwa kuteswa na kuuawa hata moja.

2.Mchumba Wake wa kwanza alikuwa muisrael lakini kwa kukosa ujasiri alikuwa anaogopa kumuongelesha mara kwa mara.

3. Daktari Myahudi aliihudumia familia yake bure kabisa kutokana na ukata wa familia yao. Hitler alihakikisha anamuhifadi hadi akamuita myahudi asiye na matatizo / a noble jew.

4: Mtu aliyempendekezea nembo/logo ile iliyotumika na Nazi au jeshi la Hitler alikuwa ni askari wa ujerumani mwenye asili ya uyahudi. Baada ya kugundua ni Muyahudi SS ambayo ni kama bunge la enzi za hitler walimuachia huru.

5: Kabla ya mauaji ya wayahudi, Hitler aliwapa nafasi waingereza na wamarekani kuwachukua wakimbizi wa Kiyahudi nchini mwao lakini walikataa.
Tehehe hii kwangu ni shule na home work.!! Sijawahi kujiuliza wala kudadisi hayo "uliyofunguka"
 
Evans with all due respect,yaani wewe unaamini Israel ni taifa la mungu zaidi kuliko Tanzania?Yaani haya mataifa mawili hayana usawa wowote kwa Mungu?Kwa kosa gani hasa Mtanzania alilomkosea huyo Mungu kiasi cha kumuweka daraja la chini namna hiyo?

Hii concept haingii akilini kabisa,put the book down and let us discuss this like civilized human beings

Haiwezekani ukanipa concept ya kibaguzi namna hiyo halafu nikuone wa maana,huo mstari wa kibaguzi namna kwenye biblia nitauruka kwa makusudi na alieuandika kwakweli atakua ana matatizo...huu ni unyama mbaya sana,kuambukiza wanadamu ubaguzi mbovu namna hii

Mkuu LebronWade unaitumia respect yako vibaya kwa watu wa aina hii ya evansGREATDeal .....wa kupuuza tu
 
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukimbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.

5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.

6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.

Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kibbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu,UN na Uingereza waliliona kama sio kitu.

9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.

Nimeishi ISRAEL MIAKA 6, Baadhi ya mambo uliyoandika hapo umetia chumvi. Hasa namba 9. Nikipata muda nitakuja tena kufafanua. Nimeishi nao, nazungumza kiyahudi kwa ufasaha kabisa na nimeishi Jerusalem (Magharibi), Acre (Mji wa Kihistoria), Negev (Nimeishi kule nikiwa jirani na waisraeli wa kiarabu wanaitwa BEDUINS) na Tel Aviv (Niliishi miaka 2).
 
Watu hawaelewi kuwa hapo zamani eneo hilo la caanan,watu waliabudu miungu mbalimbali,kuna kwa mfano baal,
pia kuna mumgu wa vita YHWEH,
Huyu akiiabudiwa katka nchi ya yuda,alikua ni mungu wa vita na ndio maana katika maandiko utakutwa anaitwa bwana wa majeshi,huyu ndo sisi twamfahamu kama JEHOVA.
Huyu akiaabudiwa sana katika ufalme wa yuda.

Pia alikuwepo EL,huyu alikuwa ni mungu wa milima,au maeneo yaliyo juu,huyu aliabudiwa na jamii mbalimbali hapo caanan ikiwemo ufalme wa israEl.
Alikuwa ni mungu wa milima ama miinuko,ilikua ni marufuku kujenga majengo marefu kwenda juu kwani ilionekana kama nikutaka kumfikia mungu El,ndo maana hata lile ghorofa la babeli ilikuja kuwa ishu,

huyu mungu El Ndo alionekana THe MOST HIGH.
Ili kumpata ilikua lazima kwenda mlimani,ndo maana hata moses akitaka kuongea na mungu ilikua lazima aende mlimani.
Hata yesu pia,alikuwa anapanda mlimani kuongea na mungu,

sijajua uhusiano wa EL na jina ALLAH,ila matamshi ka;ma yanakaribiana
uhakika nilio nao yesu hakupata kumtaja JEHOVA KAMWE
Kitu gani kilipelekea mpk kujengwa kwa mnara wa Babeli?

Na huo mnara wa Babeli ulijengwa baada ya gharika ya Nuhu au kabla?
 
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukimbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.

5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.

6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.

Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kibbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu,UN na Uingereza waliliona kama sio kitu.

9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.

Mkuu,
Nashauri jaribu kufanya chunguzi kabla hujapost kitu.
Ipo tofauti KUBWA kati ya a JEW na an Isralite. Nakuona unayatumia kama vile ni kitu kimoja. Mfano ni kuwa Albert Enstein alikuwa a JEW. Hakuwahi kuwa Isralite. Nabii Musa alikuwa an Isralite hakuwa a JEW. Netanyahu ni Jew sio Isralite. Ili kukusaidia ni kuwa Shk Hemed bin Jumaa bin Hemed alikuwa Mwislamu lakini hakuwa Mkuraishi. Kuna a specific group of people/NATION waliojulikana kama ISRALITES. Wewe hapo unaweza kuwa a JEW lakini sio MuIsralite.

Fuatilia kwanini Marehemu rais Nasser wa Misri aliwaambia walowezi wa Israel kuwa "mliondoka weusi, mmerudi WEUPE/You left black and returned White" (Google, Bing etc)
 
magroup ya kigaidi yalishawahi kuulizwa "Mbona isarel ipo karibu tu hapo lakini hamuishambulii?"

teh teh wakajibu "BADO HATUJAJIANDAA KUISHAMBULIA ISRAEL"

Chezea kifo ww,,hawa jamaa ukipigana nao,either ufe ww au wafe ww...hawakuachii hivihvi mapaka uombe POO.
 
Back
Top Bottom