Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Zaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatu
Lkn kabla ya mda uliotegeshewa haujafika kimbunga toka ilipo Israeli kiliyavurumisha yale mabomu na kuleta madhara kwa nchi zilizotega hayo mabomu

Kama Israel isingekuwepo duniani Mungu angekuwa ametuhukum amini usiamini Israeli ndio pona ya ulimwengu huu
Daaaaa mkuu yaani unavyosema hivyo utadhani yenyewe ndo mungu ila elewa kuwa pia ndo nchi pekee iliyoanzisha ufrimason enzi za suleman kipindi hekalu lake linatengenezwa dhumuni kubwa ni kuendeleza mila na desturi za kishetani zilizokuwa zinatumika na nephilisms(wanephili ambao walitokana na malaika kuingiliana na binadamu na pia ndo nchi ambayo ililaaaaaniwa na mungu na pia ndo nchi ambayo itakuja kutawala dunia kwa kutumia huyo nabiii wa uwongo anayesubiriwa
 
Wajerumani walidhani wayahudi ni maadui zao The holocaust is not monocausal.
kwanza lazima tujue kuwa ukristo ni ant-judaism na ulaya yote hii ilitambulika sio tu ujerumani na austria na iikumbukwe wayahudi walikuwa wachache sana europe so they had lot to suffer wayahudi walikuwa hawana nchi, na walikuwa masikini kazi walizoruhusiwa kufanya ilikuwa banking and trading wote tunajua hivyo.

Kipindi kile cha french revolution na napoleonic war ujerumani walikuwa mashabiki wa napoleon na nchi nyingi zilizokuwa shabiki wa napoleon zilikuwa ni nchi za kidikteta baadae Germany, Austria,Spain,Portugal vile vile.

Wayahudi waliipenda hii idea watu wakawaona kuwa wako wrong side ikumbukwe napoleonic war pia ilikuwa ni ideological war.

To fight the French ideologie, you other alterative ideologies rise up. An ideology against the french revolutionaries became christianity. na hapa sasa ukristo ukawa more conservative than it was before. Especially the german protestants.

Ideology nyingine against the French was the idea of "Volk" - au tunaweza iita people - vs. nation. ambayo ilikuwa ina biologic background, excluding the yews. walivyopewa haki zao karne ya 19 ilkawa balaa waliendelea balaa. wakaenda na mazingira na ukuaji wa teknolojia kwa sababu ya akili zao . ikawafanya jamii za ulaya wawe jealous and anxious. wakaunda theory yao ya Darwin .

Mbaya zaidi wayahudi wakawa katika nchi nyingi ni politically leftwing. mfano mdogo tu ujeurmani Karl Marx was jewish, na wengine wasocial democrats walikuwa jewish. upande mwingine, makapitalist wengi walikuwa wayahudi. upeo wao ukawa ni influence, mfano Sigmund Freud na Albert Einstein. baadhi ya watu waliwaidentify wayahudi na modernity. na modernity ina bright side and a dark side ikumbukwe ikawafanya wayahudi kwa wajerumani wawe ni a symbol of the dark side of modernity.kama nilivyosema mwanzo wayahudi prefered left wing or d emocratic parties.

Baada ya WW1, the rightwing parties in Germany walisema wamesalitiwa na left wing parties hasa hasa wayahudi.

Ujerumani baada ya ww1 walikuwa na muunganiko wa ukristo na antjudaisim wivu kwa socialdarinism ukawaganda kupoteza vita na kusambaratika kwa idea ya VOLK chuki kwa wayahudi ikawajaa na tukiangalia mapinduzi ya vita za napolepnic watu walipigana wenyewe kama nchi vita kipindi kicho haikuwa ni vita za wafalme na maadui zao kama enzi za kina ceasar watu waliopitiwa na ideologie ya volk watu wote walipigana
men, woman, children, all became the enemy which is to fight.

Warfare katika ideologie ya nchi ilisambaa na haikuwa tena against army au against enemy, ikawa against civilians nchi nzima au watu wote kwa hiyo mifano yote hapo kama maandamano ya Atlanta of the Union army mauaji ya kimbari ya Armenians in WWI. kambi za mateso za waingereza kule buerwar, mabomu mijini kama (Guernica, Coventry, Dresden, Hiroshima) etc.

Wanationalsocialists waliita hii the battle of Verdun. ambayo ilitokea February and December 1916 about 750000 french and german soldiers walikufa hapa.

Kwa namna hii Germans regarded the jewish as the enemy, and the enemy is to exterminate.

Ndio maana kilichofuatia hapa ni kuwachinja na hitler aliwachinja kweli wengi wao aliwachinjia kijiji cha sobibor, Poland ambapo kulikuwa na extermination camp pale

Mzee,
Hivi kuna sehemu iliyokuwa na Wayahudi wengi duniani zaidi ya Europe?

Hivi kipindi cha French Revolution hadi Kufika the Battle of Water Loo kulikuwa na taifa la Ujerumani duniani?
 
Mtu ana uhuru wa kupenda anachotaka na sbabu zake. Mimi kiukweli naipenda israel the way ilivyo imara huku ikizungukwa na mataifa adui ya kiarabu na kuyathibit ipasavyo ikiwa na eneo dogo na watu wachache. Kuliko mataifa hayo. Ukisoma vita ya six day war au yom kipur utajikuta tu unatabasam na kujiuliza ingekuwa tz ingekuwa wapi?Nchi iliyoyapiga mataifa zaid ya sita ya kiarabu ndani ya muda mfupi mpaka waarabu kuchanganyikiwa. Naipenda Tanzania na naheshimu mtu anayeipenda nchi yoyote. Ooh naipenda israel pia na sijui dini yao. Ila najua uwezo wao na akili zao. Muisrael mmoja wanasema ni zaidi ya arabs 1000 zaman. Siku hizi wameondoa tarakimu moja so imekuwa at least 100 kutokana na mataifa meng kuwaomba waisrael wawaonee huruma arabs na akili zao za uuaji na ukatili
 
k

kama utakataa kuiamini biblia niwewe na MUNGU wako ndugu yangu,...kwani israel ndo wanawauwa palestina au wanapigana vita,..kwan waisrael hawauawi na wapalestina???????c wanauliwa vilevile vita ni kujitetea sasa kama israel wako vizuri kivita kuwashinda palestina we ndo usiamini bible,...may be unayako ndugu,....,..Alaf YESU alikuja kutoa tofauti ya kwamba hakuna zaidi ya mwenzake,...chamsingi wewe umwamini Yesu uokoke,...uishi maisha mema unakuwa mwana wa Mungu,....ila tulichokuwa tunazungumzia mwnzo ni historia na uteule wa Mungu juu ya taifa la israel...,,
Mwana Wa mungu? Hv mungu anawatoto wangap?
 
Ndiyo maana huna akili unajifunika manguo meusi gubigubi kama jini!!

Hahahaha ushawahi kumuona jini?
Ooh nimekumbuka dini yako inaabudu majini na mapepo.

Haya manguo meusi ndio stara ya mwanamke.
 
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukimbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.

5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.

6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.

Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kibbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu waliliona kama sio kitu.

9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
Kama ni nyumbani basi kwao ni Egypt ambako firauni aliwafanya watumwa na nabii mussa alaihi salaam ndio alie waokoa wana Israel.
 
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukimbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.

5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.

6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.

Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kibbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu waliliona kama sio kitu.

9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
Vip kuhusu uhusiano wetu(tz) na wao upo au ulikuepo?
 
we ndo umesema thats y nakuuliza
mbna unairuka point yako??

Kwani wewe unataka nini kwa mfano, wenzio wanadandia magari wewe unadandia maneno,
Mada ni UNAELEWA NINI JUU YA ISRAEL,
Nadhani ungejadili hilo kuliko kuingilia yasiyokuhusu.
 
Ndio.maana Tanzania tumelaaniwa kutokana na serikali yetu Kuvunja uhusiano na Israel na kukumbatia wapalestina
Habari njema ni kwamba uhusiano umerudishwa. Uwepo wa hii Thread hapa ni mpango wa Mungu wa Israel na Isaka!
Tuliaanza kuijadili kabla Israel haijasimika ubalozi wao hapa nchini.

Kumbe magu alikuwa kwenye process.
 
Kwani wewe unataka nini kwa mfano, wenzio wanadandia magari wewe unadandia maneno,
Mada ni UNAELEWA NINI JUU YA ISRAEL,
Nadhani ungejadili hilo kuliko kuingilia yasiyokuhusu.
basiiiii samahani mama/dada...calm down
 
Back
Top Bottom