mseminari mdogo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 228
- 146
Nilikuwa sifahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi wa maliza ni Agano la MunguHAWA JAMAA WAKO TAYARI KUFANYA CHOCHOTE ILI WAENDELEE KUWEPO.SISHANGAI UNAWEZA KUWA SAHIHI KABISA
TanganyikaSasa wewe unadhani ni taifa gani ambalo haliwezi kufanya chochote ili 'liendelee kuwepo'?
Umesahau kumalizia pia ni best terrorist trainers pia.Ndo taifa pekee lenye best fed and well trained terrorist organization duniani....aka mosad
Ndugu yangu hebu epuka kutumia kichwa kwa kufuga nywele tu.... Israel ni miongoni mwa nchi zenye ubaguzi wa hali ya juu kwa ndugu zetu weusi walioenda kutafuta maisha huko....
Unaposema ni taifa la mungu sikuelewi... Angalia hii video halafu uone watu weusi wanavyobaguliwa na waisrael
Hivi kwanini wakristo baadhi mnatuaibisha kiasi hiki? Kama Mungu kupitia biblia amelichagua taifa hili liwe teule kwa kuua wapalestina huko mashariki ya kati naomba niwe wa kwanza kutoiamini biblia. Ninachojua ni kuwa biblia ni kitabu kitakatifu ila kwa upuuzi wa wakristo wachache kama ninyi mnatafsiri ovyo bila kutumia akili.point ni hii,...unaifahamu asili ya israel????,..asili ni yakobo ambaye ni mtoto isaka,..isaka ni mtoto wa ibrahim,..Mungu alianza kusema na Ibrahim,,ntakufanya uwe taifa kubwa,.Mungu pia akasema na isaka pia kwa hizo habari,..na baadae Yakobo,..Mungu akasema nae ntatiza ahadi yangu niliyosema,..Mungu akamwambia yakobo utaitwa israel,...tangu pale ndo israel ikazaliwa,...hiyo fact ya kwanza,..2.akamwambia litabarikiwa taifa lako na atakaye lilaani nae ntamlaani na atakaelibariki nae ntambariki,..uwezi kujilinganisha Tz na israel WAKATI Mungu anasema na waasisi wa taifa husika,..alafu ukizungumzia spiritual issues ni mambo tafauti na utaifa,...hope ur christian soma bible deeply bt usisome uwe mbishi huwz kuambua kitu bt soma indeep upate knowledge ikusaidie maishani mwako
kwaiyo sisi mataifa mengine ni ya shetani..?[/QUOTE]Israel ni Taifa la Mungu na hakuna haja ya kuwa chukia...... habari njema ni kwamba kwa njia ya sadaka ya Imani ya Ibrahimu wote tumefunguliwa milango kuwa sawa sawa na maneno yako. Hata biblia inasema hivyo kwamba wote tumehesabiwa haki ktkt kristo Yesu ila hatuzuii physical existence ya Israel na nchi yao waliyopimiwa
Katika Ulimwengu Wa Leo,Kesho na hata Milele Taifa la kwanza ambalo lisipendwe #Asraeli,I'm sure kabisa nakuambia.Kwaio #Asraeli ni Taipha la @Mungu?Asraeli ni nchi ya kwanza kusapoti ushoga duniani nani watetezi wakuu Wa ushoga popote pale duniani.Haya niambie wapi **MUNGU%% karuhusu ushog...kwaiyo sisi mataifa mengine ni ya shetani..?
Sasa wewe unadhani ni taifa gani ambalo haliwezi kufanya chochote ili 'liendelee kuwepo'?
Katika Ulimwengu Wa Leo,Kesho na hata Milele Taifa la kwanza ambalo lisipendwe #Asraeli,I'm sure kabisa nakuambia.Kwaio #Asraeli ni Taipha la @Mungu?Asraeli ni nchi ya kwanza kusapoti ushoga duniani nani watetezi wakuu Wa ushoga popote pale duniani.Haya niambie wapi **MUNGU%% karuhusu ushog...kwaiyo sisi mataifa mengine ni ya shetani..?
kama utakataa kuiamini biblia niwewe na MUNGU wako ndugu yangu,...kwani israel ndo wanawauwa palestina au wanapigana vita,..kwan waisrael hawauawi na wapalestina???????c wanauliwa vilevile vita ni kujitetea sasa kama israel wako vizuri kivita kuwashinda palestina we ndo usiamini bible,...may be unayako ndugu,....,..Alaf YESU alikuja kutoa tofauti ya kwamba hakuna zaidi ya mwenzake,...chamsingi wewe umwamini Yesu uokoke,...uishi maisha mema unakuwa mwana wa Mungu,....ila tulichokuwa tunazungumzia mwnzo ni historia na uteule wa Mungu juu ya taifa la israel...,,Hivi kwanini wakristo baadhi mnatuaibisha kiasi hiki? Kama Mungu kupitia biblia amelichagua taifa hili liwe teule kwa kuua wapalestina huko mashariki ya kati naomba niwe wa kwanza kutoiamini biblia. Ninachojua ni kuwa biblia ni kitabu kitakatifu ila kwa upuuzi wa wakristo wachache kama ninyi mnatafsiri ovyo bila kutumia akili.
Carbon dioxide... Sifa za hewa ukaa hiyo siwezi kukuuliza swali la ziada maana najua matokeo yake. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][/QUOTE]Katika Ulimwengu Wa Leo,Kesho na hata Milele Taifa la kwanza ambalo lisipendwe #Asraeli,I'm sure kabisa nakuambia.Kwaio #Asraeli ni Taipha la @Mungu?Asraeli ni nchi ya kwanza kusapoti ushoga duniani nani watetezi wakuu Wa ushoga popote pale duniani.Haya niambie wapi **MUNGU%% karuhusu ushog...
a??
watu mnashindwa kuelewa,...kuwa taifa la Mungu sawa kwa historia kutokea yakobo,...na ahadi za Mungu,...ila kwayeyote ambaye hatatenda mapenzi ya Mungu na kufata njia na mambo ya dunia hiii,...atahukumiwaa2.,,..iko hivyo,..sio kuwa muisraeli bas wewe ni mbinguni moja kwa moja,..haipo hivyo,..israel kuna watu wanaabudu sanamu,...watahukumiwa,..MUNGU anataka tutende matendo mema na tuache dhambi,...christian israel ni 2% tu,...wengine wanaabudu sanamu,baali,jua,na uchafu mwingi unafanyika,..wasiotenda matendo ya MUNGU Watahukumiwaaa2,...nop matter what,..[/QUOTE]Carbon dioxide... Sifa za hewa ukaa hiyo siwezi kukuuliza swali la ziada maana najua matokeo yake. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndugu yangu hebu epuka kutumia kichwa kwa kufuga nywele tu.... Israel ni miongoni mwa nchi zenye ubaguzi wa hali ya juu kwa ndugu zetu weusi walioenda kutafuta maisha huko....
Unaposema ni taifa la mungu sikuelewi... Angalia hii video halafu uone watu weusi wanavyobaguliwa na waisrael
Sasa ndugu ubaguzi ni tabia ya mtu, kwani wale ccm zanzibar walivyowabagua wale machotara ndo zanzibar wote ni wabaguzi??? Hebu kuleta sababu nyepesi nyepesi
Wewe ni mpumbavu. Kukupuuza ndo adhabu inayokufaa.k
kama utakataa kuiamini biblia niwewe na MUNGU wako ndugu yangu,...kwani israel ndo wanawauwa palestina au wanapigana vita,..kwan waisrael hawauawi na wapalestina???????c wanauliwa vilevile vita ni kujitetea sasa kama israel wako vizuri kivita kuwashinda palestina we ndo usiamini bible,...may be unayako ndugu,....,..Alaf YESU alikuja kutoa tofauti ya kwamba hakuna zaidi ya mwenzake,...chamsingi wewe umwamini Yesu uokoke,...uishi maisha mema unakuwa mwana wa Mungu,....ila tulichokuwa tunazungumzia mwnzo ni historia na uteule wa Mungu juu ya taifa la israel...,,
Ipo movie ya sobibor na great escape inatoa taswra ya hayo uliyosemaWajerumani walidhani wayahudi ni maadui zao The holocaust is not monocausal.
kwanza lazima tujue kuwa ukristo ni ant-judaism na ulaya yote hii ilitambulika sio tu ujerumani na austria na iikumbukwe wayahudi walikuwa wachache sana europe so they had lot to suffer wayahudi walikuwa hawana nchi, na walikuwa masikini kazi walizoruhusiwa kufanya ilikuwa banking and trading wote tunajua hivyo.
Kipindi kile cha french revolution na napoleonic war ujerumani walikuwa mashabiki wa napoleon na nchi nyingi zilizokuwa shabiki wa napoleon zilikuwa ni nchi za kidikteta baadae Germany, Austria,Spain,Portugal vile vile.
Wayahudi waliipenda hii idea watu wakawaona kuwa wako wrong side ikumbukwe napoleonic war pia ilikuwa ni ideological war.
To fight the French ideologie, you other alterative ideologies rise up. An ideology against the french revolutionaries became christianity. na hapa sasa ukristo ukawa more conservative than it was before. Especially the german protestants.
Ideology nyingine against the French was the idea of "Volk" - au tunaweza iita people - vs. nation. ambayo ilikuwa ina biologic background, excluding the yews. walivyopewa haki zao karne ya 19 ilkawa balaa waliendelea balaa. wakaenda na mazingira na ukuaji wa teknolojia kwa sababu ya akili zao . ikawafanya jamii za ulaya wawe jealous and anxious. wakaunda theory yao ya Darwin .
Mbaya zaidi wayahudi wakawa katika nchi nyingi ni politically leftwing. mfano mdogo tu ujeurmani Karl Marx was jewish, na wengine wasocial democrats walikuwa jewish. upande mwingine, makapitalist wengi walikuwa wayahudi. upeo wao ukawa ni influence, mfano Sigmund Freud na Albert Einstein. baadhi ya watu waliwaidentify wayahudi na modernity. na modernity ina bright side and a dark side ikumbukwe ikawafanya wayahudi kwa wajerumani wawe ni a symbol of the dark side of modernity.kama nilivyosema mwanzo wayahudi prefered left wing or d emocratic parties.
Baada ya WW1, the rightwing parties in Germany walisema wamesalitiwa na left wing parties hasa hasa wayahudi.
Ujerumani baada ya ww1 walikuwa na muunganiko wa ukristo na antjudaisim wivu kwa socialdarinism ukawaganda kupoteza vita na kusambaratika kwa idea ya VOLK chuki kwa wayahudi ikawajaa na tukiangalia mapinduzi ya vita za napolepnic watu walipigana wenyewe kama nchi vita kipindi kicho haikuwa ni vita za wafalme na maadui zao kama enzi za kina ceasar watu waliopitiwa na ideologie ya volk watu wote walipigana
men, woman, children, all became the enemy which is to fight.
Warfare katika ideologie ya nchi ilisambaa na haikuwa tena against army au against enemy, ikawa against civilians nchi nzima au watu wote kwa hiyo mifano yote hapo kama maandamano ya Atlanta of the Union army mauaji ya kimbari ya Armenians in WWI. kambi za mateso za waingereza kule buerwar, mabomu mijini kama (Guernica, Coventry, Dresden, Hiroshima) etc.
Wanationalsocialists waliita hii the battle of Verdun. ambayo ilitokea February and December 1916 about 750000 french and german soldiers walikufa hapa.
Kwa namna hii Germans regarded the jewish as the enemy, and the enemy is to exterminate.
Ndio maana kilichofuatia hapa ni kuwachinja na hitler aliwachinja kweli wengi wao aliwachinjia kijiji cha sobibor, Poland ambapo kulikuwa na extermination camp pale
aya nashukuruuWewe ni mpumbavu. Kukupuuza ndo adhabu inayokufaa.