Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
teule kwa lipi labda?taifa teule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teule kwa lipi labda?taifa teule
Uwiiiii kwaio suala la kukutengenezea Ukimwi na Ebola na internet explorer ambavo ni hatari kwa life lako we unaona poooooooooaaaaa na kurizika.tukiacha mambo ya udini.
we need to appreciate their innovation na mambo mengi mazuri walio nayo.
Tusiwe na Total Chuki wakati huohuo unatumia simu zimetengenezwa nao, unatumia JF ambayo source code wao, kila kitu ni chao. kwa hili watendee haki. Kidini baki na msimamo wako
Uwiiiii kwaio suala la kukutengenezea Ukimwi na Ebola na internet explorer ambavo ni hatari kwa life lako we unaona poooooooooaaaaa na kurizika.Kapimwe kwanza akili India.tukiacha mambo ya udini.
we need to appreciate their innovation na mambo mengi mazuri walio nayo.
Tusiwe na Total Chuki wakati huohuo unatumia simu zimetengenezwa nao, unatumia JF ambayo source code wao, kila kitu ni chao. kwa hili watendee haki. Kidini baki na msimamo wako
Kwahiyo kuipenda Israel ni kumaanisha kuwa Maandiko sio ya kweli??!!Kuichukia Israel ni kumaanisha yaliyoandikwa katika biblia ni kweli mtupu ......kuchukiwa na mataifa
Aisee! Hili swali ni zuri sana mkuu. Sidhani kama huyu mdini atakujibuKwahiyo kuipenda Israel ni kumaanisha kuwa Maandiko sio ya kweli??!!
Wanaoamini ktk uwepo wake na historia yake kutoka yakobo hadi real israel,..ndo watakaoipenda,...actually mtu asiyeamini uwepo wa Yesu hawez kuipenda israel,..najua ninyi nyote hamuamini uwepo wa Yesu,..thats yKwahiyo kuipenda Israel ni kumaanisha kuwa Maandiko sio ya kweli??!!
we jamaaa,..unaamini uwepo wa YESU?Aisee! Hili swali ni zuri sana mkuu. Sidhani kama huyu mdini atakujibu
Yesu ni msela aliyekuwepo tu miaka mingi iliyopita.we jamaaa,..unaamini uwepo wa YESU?
[QUOTE="LebronWade,.ninachoamini binadamu wote ni sawa mbele ya mungu,hamna wa daraja ya juu au chini,mtu utahukumiwa kutokana na matendo yake hamna upendeleo,hizi zingine ni propaganda zao za kujipendelea kwanza wao ndio wameiandika biblia kwa mikono yao,lazima wajipendelee
ni kweli, ila sio nchi pekee yenye kitengo hicho.Nchi pekee ambayo katika shirika lake la ujasusi MOSSAD ina special killing squad (assasins ) linalojulikana kama KIDONS.
kama unaamini hivyo,...hamna haja kukuelekeza,...naamini ukweli unaujua ila umeufanya moyo wako kuwa mgumu,..MUNGU akusaidie,..Yesu ni msela aliyekuwepo tu miaka mingi iliyopita.
Kikubwa yeye alikuwa amejitambua/anajua vizuri kutumia nguvu yake ya ndani. Alifia India miaka hiyo, ila wajanja wakatengeneza vitabu na kuudanganya ulimwengu kuwa alifia Israel na kufufuka eti
Anisaidie kufanyaje?kama unaamini hivyo,...hamna haja kukuelekeza,...naamini ukweli unaujua ila umeufanya moyo wako kuwa mgumu,..MUNGU akusaidie,..
kuelewa na kuamini uwepo wake,..kujua uwepo wake inahitaji neema sana,,,....Anisaidie kufanyaje?
TANGANYIKASasa wewe unadhani ni taifa gani ambalo haliwezi kufanya chochote ili 'liendelee kuwepo'?
Kwahiyo kuipenda Israel ni kumaanisha kuwa Maandiko sio ya kweli??!!
Hata nikifafanua huwezi ukanielewa
Hahahahahah inaonekana huielew bibilia umekarrsha aya wwMkuu soma biblia inamajibu yote ilikuwa ivo inamaana kama asingekufa kwa ajiri ya dhambi zetu tusingekuwa tumesamehewa dhambi zetu na yeye aliyajua hayo kuwa atakufa msarabani ili tukombolewe kupitia yeye amina
tehtehteh ...eeerh. aiseeKenge wewe