Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Mkuu naona huu Uzi watu wanakuja na hitikadi za dini zao lkn ukweli unabaki pale pale kuwa cc niwayaudi ndo maana tunachukiwa hata waungane awawezi Fanya kitu lile ni taifa la mungu tangu musa alipowaamisha kutoka kwa farao aliye watumikisha wayaudi kama watumwa nafikili kama umesoma kutoka utajua namanisha nn kwahyo hilo limekuwa taifa la watu makin hata hao wamarekani wanaomba ushauri kwao asante sana baba
 
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer,PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 Alipewa ofa ya Urais wa israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukumbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4;Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono waparestina na inahubiri israel ivunjwevunjwe kwa amani ili waparestina wabaki na nchi yao.

5:Baba wa taifa na mwanzilishi wa israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion

6:Jiji la yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7:Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8.Ni taifa ambalo lina siku maalumu ya kitaifa inaitwa Yom Kipur ambayo siku hyo ikifika watu wote ndani ya nchi wanaacha shughuli zao zote isipokua kitengo maalumu cha jeshi,na wanakwenda kwenye masinagogi yao kwa ajili ya kuomba toba na maombi maalumu kwa MUNGU.na hyo siku ndiyo Israel iliwahi kuvamiwa na majeshi ya Misri kuipigania sinai mwaka 1973.siku hyo inaendelea ndani ya Israel mpaka leo
 
Mkuu soma biblia inamajibu yote ilikuwa ivo inamaana kama asingekufa kwa ajiri ya dhambi zetu tusingekuwa tumesamehewa dhambi zetu na yeye aliyajua hayo kuwa atakufa msarabani ili tukombolewe kupitia yeye amina
 
Naipenda sana Israel,Ni taifa linalojivunia wanasayansi wake;Wapo imara kila kona;Ukiwachezea rafu wanakuadhibu bila mzahaa!;Waliomzunguka wote ni maadui na wa naiogopa Israel kuli IS.
Zaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatu
Lkn kabla ya mda uliotegeshewa haujafika kimbunga toka ilipo Israeli kiliyavurumisha yale mabomu na kuleta madhara kwa nchi zilizotega hayo mabomu

Kama Israel isingekuwepo duniani Mungu angekuwa ametuhukum amini usiamini Israeli ndio pona ya ulimwengu huu
 
Huwezi ukaharibu mji kabsa unless utumie nuclear.

Hata gaza licha ya kumiminiwa mabomu usiku na mchana haikuharibiwa yote,

kwamba jerusalem iliharibiwa ni ulongo na hekaya tu,jeshi la mikuki na mapanga haliwezi kuteketeza kabisa mji,labda kama kilikua na ukubwa wa mtaa mmoja
 
kosa lililopelekea Hitler kuwachoma moto lilikuwa lipi maana naona unajustfy kuchomwa kwao

Wajerumani walidhani wayahudi ni maadui zao The holocaust is not monocausal.
kwanza lazima tujue kuwa ukristo ni ant-judaism na ulaya yote hii ilitambulika sio tu ujerumani na austria na iikumbukwe wayahudi walikuwa wachache sana europe so they had lot to suffer wayahudi walikuwa hawana nchi, na walikuwa masikini kazi walizoruhusiwa kufanya ilikuwa banking and trading wote tunajua hivyo.

Kipindi kile cha french revolution na napoleonic war ujerumani walikuwa mashabiki wa napoleon na nchi nyingi zilizokuwa shabiki wa napoleon zilikuwa ni nchi za kidikteta baadae Germany, Austria,Spain,Portugal vile vile.

Wayahudi waliipenda hii idea watu wakawaona kuwa wako wrong side ikumbukwe napoleonic war pia ilikuwa ni ideological war.

To fight the French ideologie, you other alterative ideologies rise up. An ideology against the french revolutionaries became christianity. na hapa sasa ukristo ukawa more conservative than it was before. Especially the german protestants.

Ideology nyingine against the French was the idea of "Volk" - au tunaweza iita people - vs. nation. ambayo ilikuwa ina biologic background, excluding the yews. walivyopewa haki zao karne ya 19 ilkawa balaa waliendelea balaa. wakaenda na mazingira na ukuaji wa teknolojia kwa sababu ya akili zao . ikawafanya jamii za ulaya wawe jealous and anxious. wakaunda theory yao ya Darwin .

Mbaya zaidi wayahudi wakawa katika nchi nyingi ni politically leftwing. mfano mdogo tu ujeurmani Karl Marx was jewish, na wengine wasocial democrats walikuwa jewish. upande mwingine, makapitalist wengi walikuwa wayahudi. upeo wao ukawa ni influence, mfano Sigmund Freud na Albert Einstein. baadhi ya watu waliwaidentify wayahudi na modernity. na modernity ina bright side and a dark side ikumbukwe ikawafanya wayahudi kwa wajerumani wawe ni a symbol of the dark side of modernity.kama nilivyosema mwanzo wayahudi prefered left wing or d emocratic parties.

Baada ya WW1, the rightwing parties in Germany walisema wamesalitiwa na left wing parties hasa hasa wayahudi.

Ujerumani baada ya ww1 walikuwa na muunganiko wa ukristo na antjudaisim wivu kwa socialdarinism ukawaganda kupoteza vita na kusambaratika kwa idea ya VOLK chuki kwa wayahudi ikawajaa na tukiangalia mapinduzi ya vita za napolepnic watu walipigana wenyewe kama nchi vita kipindi kicho haikuwa ni vita za wafalme na maadui zao kama enzi za kina ceasar watu waliopitiwa na ideologie ya volk watu wote walipigana
men, woman, children, all became the enemy which is to fight.

Warfare katika ideologie ya nchi ilisambaa na haikuwa tena against army au against enemy, ikawa against civilians nchi nzima au watu wote kwa hiyo mifano yote hapo kama maandamano ya Atlanta of the Union army mauaji ya kimbari ya Armenians in WWI. kambi za mateso za waingereza kule buerwar, mabomu mijini kama (Guernica, Coventry, Dresden, Hiroshima) etc.

Wanationalsocialists waliita hii the battle of Verdun. ambayo ilitokea February and December 1916 about 750000 french and german soldiers walikufa hapa.

Kwa namna hii Germans regarded the jewish as the enemy, and the enemy is to exterminate.

Ndio maana kilichofuatia hapa ni kuwachinja na hitler aliwachinja kweli wengi wao aliwachinjia kijiji cha sobibor, Poland ambapo kulikuwa na extermination camp pale
 
Nchi pekee ambayo katika shirika lake la ujasusi MOSSAD ina special killing squad (assasins ) linalojulikana kama KIDONS.


nina wasiwasi na hapo kwenye red hata hivyo wale wapumbavu wa black septemba wanawajua hawa jamaa
 
Zaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatu
Lkn kabla ya mda uliotegeshewa haujafika kimbunga toka ilipo Israeli kiliyavurumisha yale mabomu na kuleta madhara kwa nchi zilizotega hayo mabomu

Kama Israel isingekuwepo duniani Mungu angekuwa ametuhukum amini usiamini Israeli ndio pona ya ulimwengu huu

Heee kwa hyo israel na mungu wanafurahishwa na yanayoendelea zanzibar
 
Mkuu naona huu Uzi watu wanakuja na hitikadi za dini zao lkn ukweli unabaki pale pale kuwa cc niwayaudi ndo maana tunachukiwa hata waungane awawezi Fanya kitu lile ni taifa la mungu tangu musa alipowaamisha kutoka kwa farao aliye watumikisha wayaudi kama watumwa nafikili kama umesoma kutoka utajua namanisha nn kwahyo hilo limekuwa taifa la watu makin hata hao wamarekani wanaomba ushauri kwao asante sana baba

Hivi bado kuna watanzania bado wana haya mawazo magando yaliyojaa ujinga wa zama za mawe za kati.... Kwa taarifa yako ukristo israel n 2% tu ya waisraeli... Soma hapa Religion in Israel - Wikipedia, the free encyclopedia

Ili ujue ujue hili taifa lina wenye nalo kidin na sio ukristo wala uislam....

Hebu niambie mungu alikuwa wapi hitler alivyowateketeza....
 
Mkuu naona huu Uzi watu wanakuja na hitikadi za dini zao lkn ukweli unabaki pale pale kuwa cc niwayaudi ndo maana tunachukiwa hata waungane awawezi Fanya kitu lile ni taifa la mungu tangu musa alipowaamisha kutoka kwa farao aliye watumikisha wayaudi kama watumwa nafikili kama umesoma kutoka utajua namanisha nn kwahyo hilo limekuwa taifa la watu makin hata hao wamarekani wanaomba ushauri kwao asante sana baba
ukio sahihi,...lile ni taifa la Mungu,...na Mungu alihaidi kuwa atakayelilaani Israel atalaaniwa na atakaelibariki,..nae atabarikiwa,...iko hivyo
 
Zaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatu
Lkn kabla ya mda uliotegeshewa haujafika kimbunga toka ilipo Israeli kiliyavurumisha yale mabomu na kuleta madhara kwa nchi zilizotega hayo mabomu

Kama Israel isingekuwepo duniani Mungu angekuwa ametuhukum amini usiamini Israeli ndio pona ya ulimwengu huu

Mkuu naona unaota...kwanza stori ni ya uongo na Mungu hana mahusiano ya upendeleo na watu au kundi maalumu la jamii inayoitwa Wayahudi..

Hizi ni kool-Aid watu mnakunywa...Dunia nzima ni ya mungu na watu wote wana-matter kwa mungu the same way,acheni kuota
 
Umenifanya nichekie tumboni, yesu/issa ni mjimbe wa mungu
waliiomuua ni wale ambao hawakumwamini,...waliomwamini akina PAULO,..yohanna,.petro na wengine walimtangaza na hadi leo uwepo wake unatambulika,...na israel kwenyewe sio wote wanaoamini katika YESU,...na ambao hawaamini pia watahukumiwa pia
 
Back
Top Bottom