KAFA.cOm
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 1,301
- 739
Hilter yenyewe myahudishukrani kwa elimu
kiboko ya hawa jamaa alikuwa hitler aliwachoma moto uchi vitoto vya israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilter yenyewe myahudishukrani kwa elimu
kiboko ya hawa jamaa alikuwa hitler aliwachoma moto uchi vitoto vya israel
Karibu tena mdada.waooh! very nice
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer,PHDs na Graduates (135 per 10,000).
2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 Alipewa ofa ya Urais wa israel lakini aliona akatae.
3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukumbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.
4;Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono waparestina na inahubiri israel ivunjwevunjwe kwa amani ili waparestina wabaki na nchi yao.
5:Baba wa taifa na mwanzilishi wa israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion
6:Jiji la yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.
7:Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.
Zaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatuNaipenda sana Israel,Ni taifa linalojivunia wanasayansi wake;Wapo imara kila kona;Ukiwachezea rafu wanakuadhibu bila mzahaa!;Waliomzunguka wote ni maadui na wa naiogopa Israel kuli IS.
kosa lililopelekea Hitler kuwachoma moto lilikuwa lipi maana naona unajustfy kuchomwa kwao
Nchi pekee ambayo katika shirika lake la ujasusi MOSSAD ina special killing squad (assasins ) linalojulikana kama KIDONS.
Zaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatu
Lkn kabla ya mda uliotegeshewa haujafika kimbunga toka ilipo Israeli kiliyavurumisha yale mabomu na kuleta madhara kwa nchi zilizotega hayo mabomu
Kama Israel isingekuwepo duniani Mungu angekuwa ametuhukum amini usiamini Israeli ndio pona ya ulimwengu huu
Mkuu naona huu Uzi watu wanakuja na hitikadi za dini zao lkn ukweli unabaki pale pale kuwa cc niwayaudi ndo maana tunachukiwa hata waungane awawezi Fanya kitu lile ni taifa la mungu tangu musa alipowaamisha kutoka kwa farao aliye watumikisha wayaudi kama watumwa nafikili kama umesoma kutoka utajua namanisha nn kwahyo hilo limekuwa taifa la watu makin hata hao wamarekani wanaomba ushauri kwao asante sana baba
ukio sahihi,...lile ni taifa la Mungu,...na Mungu alihaidi kuwa atakayelilaani Israel atalaaniwa na atakaelibariki,..nae atabarikiwa,...iko hivyoMkuu naona huu Uzi watu wanakuja na hitikadi za dini zao lkn ukweli unabaki pale pale kuwa cc niwayaudi ndo maana tunachukiwa hata waungane awawezi Fanya kitu lile ni taifa la mungu tangu musa alipowaamisha kutoka kwa farao aliye watumikisha wayaudi kama watumwa nafikili kama umesoma kutoka utajua namanisha nn kwahyo hilo limekuwa taifa la watu makin hata hao wamarekani wanaomba ushauri kwao asante sana baba
uko sahihi kabisa,...taifa teule lileeHeee kwa hyo israel na mungu wanafurahishwa na yanayoendelea zanzibar
Zaidi ya nchi NNE ziliitega Israel Na mabom makubwa kutoka kila upande mabom ambayo yangelipuka baada ya Massa matatu
Lkn kabla ya mda uliotegeshewa haujafika kimbunga toka ilipo Israeli kiliyavurumisha yale mabomu na kuleta madhara kwa nchi zilizotega hayo mabomu
Kama Israel isingekuwepo duniani Mungu angekuwa ametuhukum amini usiamini Israeli ndio pona ya ulimwengu huu
waliiomuua ni wale ambao hawakumwamini,...waliomwamini akina PAULO,..yohanna,.petro na wengine walimtangaza na hadi leo uwepo wake unatambulika,...na israel kwenyewe sio wote wanaoamini katika YESU,...na ambao hawaamini pia watahukumiwa piaUmenifanya nichekie tumboni, yesu/issa ni mjimbe wa mungu
Love Israel