sasa unaenda kusali ili iweje,...kanisani zinatumika biblia,..wewe walioandika,..yani wameshushiwa maandiko na Mungu unawaita wehu,...take care ndugu,...Mungu aliwatumia manabii wake kuandika bible,...ukianglia paulo anawaonya wayahudi yaani waisrael kuwa wasijione bora kuliko wengine,...katika warumi kuanzia sura ya3,..kawaambia wasijione bora kuliko wengine na Mungu ni wa haki,..wewe leo mitume wa Mungu unawaita wehuu,..angalia kijana usiwe na kiburi cha uzima,...hukumu ipo,...leo hii unawatukana mitume wa Mungu,...,,...Mungu akusamehe hujui utendalo,...unaenda kusali nini sasa weweeeee,..kama huamini ktk bible,...