evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,333
huwezi kuelewa ukiwa nje ya imani yetu,..ila ndo iko hivyo,......Mkuu naona unaota...kwanza stori ni ya uongo na Mungu hana mahusiano ya upendeleo na watu au kundi maalumu la jamii inayoitwa Wayahudi..
Hizi ni kool-Aid watu mnakunywa...Dunia nzima ni ya mungu na watu wote wana-matter kwa mungu the same way,acheni kuota
Mkuu naona unaota...kwanza stori ni ya uongo na Mungu hana mahusiano ya upendeleo na watu au kundi maalumu la jamii inayoitwa Wayahudi..
Hizi ni kool-Aid watu mnakunywa...Dunia nzima ni ya mungu na watu wote wana-matter kwa mungu the same way,acheni kuota
yale yaliandikwa yatatokea ndugu,...kama mdau wa bible,....ktk ezekiel yameandikwa yoteHivi bado kuna watanzania bado wana haya mawazo magando yaliyojaa ujinga wa zama za mawe za kati.... Kwa taarifa yako ukristo israel n 2% tu ya waisraeli... Soma hapa Religion in Israel - Wikipedia, the free encyclopedia
Ili ujue ujue hili taifa lina wenye nalo kidin na sio ukristo wala uislam....
Hebu niambie mungu alikuwa wapi hitler alivyowateketeza....
ukio sahihi,...lile ni taifa la Mungu,...na Mungu alihaidi kuwa atakayelilaani Israel atalaaniwa na atakaelibariki,..nae atabarikiwa,...iko hivyo
Naona ni kwa jinsi gani fikra za muafrika bado hazijakwamka... Mzungu hana hizi fikra za israel n taifa la mungu na nchi yake kama ufaransa au uingereza sio taifa la mungu....
Otherwise hutumia concept hizi kutunyonya kwa ujing wetu
Wake up guys
huwezi kuelewa ukiwa nje ya imani yetu,..ila ndo iko hivyo,......
Hivi bado kuna watanzania bado wana haya mawazo magando yaliyojaa ujinga wa zama za mawe za kati.... Kwa taarifa yako ukristo israel n 2% tu ya waisraeli... Soma hapa Religion in Israel - Wikipedia, the free encyclopedia
Ili ujue ujue hili taifa lina wenye nalo kidin na sio ukristo wala uislam....
Hebu niambie mungu alikuwa wapi hitler alivyowateketeza....
point ni hii,...unaifahamu asili ya israel????,..asili ni yakobo ambaye ni mtoto isaka,..isaka ni mtoto wa ibrahim,..Mungu alianza kusema na Ibrahim,,ntakufanya uwe taifa kubwa,.Mungu pia akasema na isaka pia kwa hizo habari,..na baadae Yakobo,..Mungu akasema nae ntatiza ahadi yangu niliyosema,..Mungu akamwambia yakobo utaitwa israel,...tangu pale ndo israel ikazaliwa,...hiyo fact ya kwanza,..2.akamwambia litabarikiwa taifa lako na atakaye lilaani nae ntamlaani na atakaelibariki nae ntambariki,..uwezi kujilinganisha Tz na israel WAKATI Mungu anasema na waasisi wa taifa husika,..alafu ukizungumzia spiritual issues ni mambo tafauti na utaifa,...hope ur christian soma bible deeply bt usisome uwe mbishi huwz kuambua kitu bt soma indeep upate knowledge ikusaidie maishani mwakoEvans with all due respect,yaani wewe unaamini Israel ni taifa la mungu zaidi kuliko Tanzania?Yaani haya mataifa mawili hayana usawa wowote kwa Mungu?Kwa kosa gani hasa Mtanzania alilomkosea huyo Mungu kiasi cha kumuweka daraja la chini namna hiyo?
Hii concept haingii akilini kabisa,put the book down and let us discuss this like civilized human beings
Haiwezekani ukanipa concept ya kibaguzi namna hiyo halafu nikuone wa maana,huo mstari wa kibaguzi namna kwenye biblia nitauruka kwa makusudi na alieuandika kwakweli atakua ana matatizo...huu ni unyama mbaya sana,kuambukiza wanadamu ubaguzi mbovu namna hii
yale yaliandikwa yatatokea ndugu,...kama mdau wa bible,....ktk ezekiel yameandikwa yote
umepotea ndugyu,.....kwahiyo unashawishi tusiamini ktk Mungu sio,....dini zoote zimeletwa na wageni,..na dini zimekuja na maandiko na maandiko yanatusaidia kuishi ktk misingi haswa tusitende dhambi,..sasa ww ndudu yangu utakuwa shetani basiiiii,...hutaki tuamini uwepo wa Mungu,...doohhDaudi upo sahihi kabisa...hizi dini wamezijenga hawa weupe ili wajiweke daraja la juu...na nasikia walibadili vifungu makusudi kuweka ubaguzi wao wazi....
Sasa unakuta mndengereko hapa badala ya kumsaidia mndengereko mwenzake anakimbilia kumwabudu Myahudi eti dini ndio imemwamuru,huu ni wehu
point ni hii,...unaifahamu asili ya israel????,..asili ni yakobo ambaye ni mtoto isaka,..isaka ni mtoto wa ibrahim,..Mungu alianza kusema na Ibrahim,,ntakufanya uwe taifa kubwa,.Mungu pia akasema na isaka pia kwa hizo habari,..na baadae Yakobo,..Mungu akasema nae ntatiza ahadi yangu niliyosema,..Mungu akamwambia yakobo utaitwa israel,...tangu pale ndo israel ikazaliwa,...hiyo fact ya kwanza,..2.akamwambia litabarikiwa taifa lako na atakaye lilaani nae ntamlaani na atakaelibariki nae ntambariki,..uwezi kujilinganisha Tz na israel WAKATI Mungu anasema na waasisi wa taifa husika,..alafu ukizungumzia spiritual issues ni mambo tafauti na utaifa,...hope ur christian soma bible deeply bt usisome uwe mbishi huwz kuambua kitu bt soma indeep upate knowledge ikusaidie maishani mwako
ISRAEL NI TAIFA TEULE ALILOLICHAGUA MUNGU.Toka amewatoa mikonon mwa Wamisri
ndiyo taifa linaloishi kwa kubebwa na kulialia sana.
na ndiyo taifa lisilo na eneo la hata nchi moja ya ardhi halali
mimi sikatai,...kama mtu anambagua mwenzie si binaadamu huyo nae atahukumiwa2,...Mungu apingani na maandiko yake,...bible ktk mithali inasema asiye na akili humdharau mwenzie,........na sinamaana muisrael akifanya dhambi hatohukumiwa BIG NOOOO.,,,,,,,....hukumu ya Mungu ni haki,..ukienenda Mungu anavyotaka hutohukumiwa,..iko hivyo hata kwa waisraeli,..wanaofanya hukumu iko palepale,...na sio waisrael wote wabaguzi,..muisrael aliyeokoka hawez kufanya dhambi..,,ya dharauNdugu yangu hebu epuka kutumia kichwa kwa kufuga nywele tu.... Israel ni miongoni mwa nchi zenye ubaguzi wa hali ya juu kwa ndugu zetu weusi walioenda kutafuta maisha huko....
Unaposema ni taifa la mungu sikuelewi... Angalia hii video halafu uone watu weusi wanavyobaguliwa na waisrael
Ukisema ni atheist halafu upande mwingine inafahamika Gulion alikuwa Zionist leader naona kama unachanganya mambo...huko kwingine sina shida nako hapo tu...IBARIKIWE ISRAEL,BLESSED BE THE LAND OF ISRAEL1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer,PHDs na Graduates (135 per 10,000).
2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 Alipewa ofa ya Urais wa israel lakini aliona akatae.
3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukumbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.
4;Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono waparestina na inahubiri israel ivunjwevunjwe kwa amani ili waparestina wabaki na nchi yao.
5:Baba wa taifa na mwanzilishi wa israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion
6:Jiji la yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.
7:Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.
Updates
8: ni Benjamin Ben Gulion founder wa israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa LA negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.
Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kubbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kulimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima kanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu waliliona kama sio kitu.
9: karibu uchumi Wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chamani chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi popole alipo nyumbani kwanza
lete tafti upewe tafti,.....kejeli haisaidiiiEndelea kutumia kichwa kwa kufugia nywele