Unaenda kumchangia mtu kwenye biashara yake lakini bado anakuwa na wivu

Unaenda kumchangia mtu kwenye biashara yake lakini bado anakuwa na wivu

Ubovu wa gari au mwingiliano wa Mboga za kusini na mfupa wa sindano
 
Unaenda stationary kuscan salary slip dada wa watu akiona mshahara wenye sifuri nane anatoa huduma huku amevuta mdomo
Masikini sisi ikiwemo wewe na Mimi ni watu wajinga Sana mtu kutokuchangamkia huwezi,kujua anapitia Nini kwa akili yake.
 
Masikini sisi ikiwemo wewe na Mimi ni watu wajinga Sana mtu kutokuchangamkia huwezi,kujua anapitia Nini kwa akili yake.
Hapana mkuu hii kitu nimekutana nayo sana zaidi ya mara moja ndio maana nimekuja kuandika.....
 
Sio kama anaumia bali kuna wengine hawana zile sura za kuwavutia watu kwenye biashara
Unakuta mtu anakufurahia utafikiri anakujua kumbe anabembeleza ununue tu
Usikariri sura ukasema anaona vibaya
Sasa mtu kafungua duka la nini kwa mawazo yako hayo
 
Haya mambo yakuhisi hisi si mazuri mkuu,unataka toka unakaribishwa dukani mtu awe anatabasamu tu Hadi unaondoka??,Pengine Jana yake mwenzio kafumania,wewe ukiona kakunja uso Unadhani kakuonea wivu.
 
Huwa nashindwa kuelewa hili tatizo husababishwa na nini, yaani unakwenda kwenye duka la mtu kununua kitu kama pikipiki au tv lakini mtu yule unaona kabisa kama anaumia roho kukuuzia kitu kile.hii husababishwa na nini wakuu?
Tanzania swala la customer ni tatizo sana yaani sehemu zote watoa huduma wanashida ya kuwasiliana na kumhudumia mteja sijui ndio afya ya akili hyo.
 
Back
Top Bottom