Mzungu_bahili
Senior Member
- Oct 24, 2019
- 174
- 420
Duuh hatari mkuuHuwa nashindwa kuelewa hili tatizo husababishwa na nini, yaani unakwenda kwenye duka la mtu kununua kitu kama pikipiki au tv lakini mtu yule unaona kabisa kama anaumia roho kukuuzia kitu kile.hii husababishwa na nini wakuu?