tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,315
Kuna mtu ukikaa nae safi tu, mzee mwenzangu enzi zetu nlikua fresh tu sioni noma niliwahi kula msosi mwingi zipu ya gauni ikakataa kufunga nashukuru ilikua usiku tukarudi home mbavu zipo nje.
Ishu ukutane na yule mtu unajivunga eti paja haumalizi japo ndo tatizo teh
hahahahaaa, nyinyi wa tungi, unapajua kishada, ni jirani tu na mwemberaduHe he he he
Mkuu na wewe wa tungi??
Unapajua mwembe radu??
Ha ha ha hahahahahaaa, nyinyi wa tungi, unapajua kishada, ni jirani tu na mwemberadu
Huyo nae ni chikunde tehBora kwny mambo ya kula kuna afadhali kuna kadada kamoja tulienda bagamoyo nikamuuliza unajua kuogelea akasema yupo vzr sn...tumeingia tu kwny pool akapiga vikombe vya maana nusu parapanda ilie mpk akapewa huduma ya kwanza na mtoko ukaishia hapo.
Huyo nae ni chikunde teh
Ewaaaaa ntakua comfortable coooz hayo ndo maeneo yangu (kwa sauti ya chikunde)Nachoshukuru mungu sijawahi kuwa na ukaribu na chikunde yoyote yule or mtu anayefake life..kwanza vyakula vya sehemu za hadhi na gharama kubwa sana huwa cjui navionaje havinishibishi alafu hata sio vitamu...madam Evelyn Salt ngoja cku nitakutoa out twende zetu tukale mihogo ya kukaanga or chips nyama choma za vibanda vyetu vya uswahilini ππ hope utakuwa comfortable na uta enjoy eeh
Dagaa mchele, kachumbali na mlenda pembeni Mkuu hiko chakula kitamu sana aisee.Acha kabisa aiseee.
Maisha ya uswazi ukiwa na buku 2 siku imepita.
Unanunua fungu moja la dagaa mchele unaligawa mara mbili, nusu unakula mchana nusu nyingine unamalizia jioni.
Ukiona vipi kama appetite imekata unaongezea na kachumbali silingi 400 tu inatosha,
Unanunua nyanya za mia 2 na kitunguu cha mia 1 na karoti moja ya 100 siku imepita.
Nimeyamisi sana hayo maisha aiseeee.
Niliwahi pia kukaa kule kinondoni shamba, nilikula sana utumbo wa kuku.
Jioni tunayoosha miguu kuelekea msasani kule kuosha macho kwa kuangalia machangu wakijiuza, ukichoka unarudi kulala geto.
Maisha ya uswazi safi sana.
Mkuu dagaa mchele Na hombo au mchicha wa Nazi ni vitamu asikwambie MTU. Mimi ikifika ijumaa natafuta zile dagaa ili jumamosi nijilie ugali Kwa raha. Jumamosi kula Nyama sijui samaki nakulaga basi tuu ila roho yangu iko Kwa dagaa mcheleHe he he he
Kuna mademu huwa wanazuga wa kishua sana kumbe tunakaa nao tu huku Tungi kigamboni.
Nimewahi kumuona mmoja yaani alikuwa anamhemyesha kibosile wa watu mpaka aibu.
Ajabu akitoka kudanga jioni tunabanana kwenye magenge yetu kutafuta dagaa mchele zile, analumangia na ugali mkavu siku inapita.
Ila nilienjoi sana kula chabo, maana alikuwa jamvi la wageni balaa na alikuwa hana hiyana.
Ukimuomba huduma anatoa, hata kwa mkopo.
Ila akikutana na mjinga mjinga anamshika masikio, jamaa lazima aamini ameopoa kitu kumbe yaliyomo hayamo.
Hahahahahahaaa.Acha kabisa aiseee.
Maisha ya uswazi ukiwa na buku 2 siku imepita.
Unanunua fungu moja la dagaa mchele unaligawa mara mbili, nusu unakula mchana nusu nyingine unamalizia jioni.
Ukiona vipi kama appetite imekata unaongezea na kachumbali silingi 400 tu inatosha,
Unanunua nyanya za mia 2 na kitunguu cha mia 1 na karoti moja ya 100 siku imepita.
Nimeyamisi sana hayo maisha aiseeee.
Niliwahi pia kukaa kule kinondoni shamba, nilikula sana utumbo wa kuku.
Jioni tunayoosha miguu kuelekea msasani kule kuosha macho kwa kuangalia machangu wakijiuza, ukichoka unarudi kulala geto.
Maisha ya uswazi safi sana.
Mbona Bonge LA msosi. Vichwa vya kuku ule Na tembele mbona vitamu Sana. IPO Siku mtaona dagaa Chakula cha watu wa uswahilini mkiendelea hiviMkuu vinaliwa tena sana tu.
Ikifika mida ya jioni unaona watu wanapita na masinia yamejaa miguu, utumbo na vipapatio kutokea Kisutu huko.
Hio ndio misosi yetu, ukipata na tembele ukakazia na maji ya Kandoro ya kutosha kinachofuata ni kuvua tu shati na kulala kibarazani kupata upepo safi kabisa huku unahemea juuu juu.
Wewe unaelewa Chakula kitamu sasaDagaa mchele, kachumbali na mlenda pembeni Mkuu hiko chakula kitamu sana aisee.