Unaepuka vipi kuwa "Chikunde" ukiwa unadate na mtu mambo safi?

Unaepuka vipi kuwa "Chikunde" ukiwa unadate na mtu mambo safi?

Hii chikunde inatumika hadi kwa wanaume au ni wanawake tu
 
Siku nyingine tumekaa mezani mambo ni yale yale kikuku hiki hapa mara uma, nikajitahidi tu hivo hivo nikamuacha na nyama nyingi roho ikiniuma, kwakifupi nikiona dalili za kuwa chikunde nakataa mtoko muda ntakaoenda kutafuta wali maharage na chachandu naujua mwenyewe sitaki aibu!!!!
Haya mambo ya kisu na uma kama yakupa shida, we jifanye tu unajiskia kinyaa kutumia hizo kitu ambazo huna uhakika zimetumiwa na wangapi kabla yako! Ukijifanyisha, utajulikana tu kwamba huna huo utamaduni manake hata kama utaweza kula lakini staili ya ushikaji na movement ya mikono itatoa jibu kwamba wewe ni chikunde ndani ya sekunde tano tu!

Yote tisa, kumi ni pale ukosefu wa uzoefu utakaposababisha pande la kuku lichoropoke kutoka kwenye umma wakati lilishakaribia kabisa mdomoni na kufuatiwa na zile body movement utakazofanya kujaribu kuhakikisha pande halifiki chini wakati watoto wa kishua wakipata eksident kama hiyo huwa wanajitahidi kulikwepa lisiwachafue huku mwenzangu mimi unataka kujaribu kuli-arrest lisifike chini.
 
Acha unaweza jikuta umevimbiwa
Eeeh. Maana unavyokula tumbo linatamani zaidi. Jana nimepita ninaponunuaga dagaa nikakuta hawajafungua roho imeniumaaa maana nilikua nshapanga kupika mchicha wa Nazi Na dagaa mchele.
 
Huwa nampenda Sana ambaye ambaye anatukuza asili yake,. Mfano Masai huwa anakuwa hajui kitu na anajivunia kuto kujua. Na siyo ujuaji ambao mbele unaumbuka. Ukweli huku bongo kwenye hizi hotels mara nyingi nikifika naona mhudumu anaanza kunieleza Mambo ya beef beef mine huwa namwambia Mimi msukuma nieleze ugali maharage , nyama, msusa mlenda matembele nk hayo ma beef subiri waje wenyewe.
Na akileta visu vyake huwa namwambia nataka maji ninawe. Nakula kikwetu.
Unajua ukiwa na hela raha huogopi na una jeuri ya kulipa. Ila ukiwa unanunuliwa lazima umuonee aibu mlipaji
 
Haya mambo ya kisu na uma kama yakupa shida, we jifanye tu unajiskia kinyaa kutumia hizo kitu ambazo huna uhakika zimetumiwa na wangapi kabla yako! Ukijifanyisha, utajulikana tu kwamba huna huo utamaduni manake hata kama utaweza kula lakini staili ya ushikaji na movement ya mikono itatoa jibu kwamba wewe ni chikunde ndani ya sekunde tano tu!

Yote tisa, kumi ni pale ukosefu wa uzoefu utakaposababisha pande la kuku lichoropoke kutoka kwenye umma wakati lilishakaribia kabisa mdomoni na kufuatiwa na zile body movement utakazofanya kujaribu kuhakikisha pande halifiki chini wakati watoto wa kishua wakipata eksident kama hiyo huwa wanajitahidi kulikwepa lisiwachafue huku mwenzangu mimi unataka kujaribu kuli-arrest lisifike chini.
Hahahaha kwamba kuliarrest lisifike chini lol
 
Huwa nampenda Sana ambaye ambaye anatukuza asili yake,. Mfano Masai huwa anakuwa hajui kitu na anajivunia kuto kujua. Na siyo ujuaji ambao mbele unaumbuka. Ukweli huku bongo kwenye hizi hotels mara nyingi nikifika naona mhudumu anaanza kunieleza Mambo ya beef beef mine huwa namwambia Mimi msukuma nieleze ugali maharage , nyama, msusa mlenda matembele nk hayo ma beef subiri waje wenyewe.
Na akileta visu vyake huwa namwambia nataka maji ninawe. Nakula kikwetu.
Unajua ukiwa na hela raha huogopi na una jeuri ya kulipa. Ila ukiwa unanunuliwa lazima umuonee aibu mlipaji
Msusa ni nini?
 
Watu wengine hayo mauma na visu hata hatuelewagi kazi zake, Mimi mkono tuu unanifanyia kazi kwa weredi mkubwa
 
Kuna mwana siku nipo foleni dukani..nikaona kapimiwa miguu kama ndoo nzima. nikawa najiambia nikiwa nakula miguu si nitahisi nakula mkono wa binadamu.

Daah ila hongera kwao wamepewa roho nzuri ya kuingiza kila kisicho najisi.
Sipendi miguu ya kuku,kichwa,shingo,mgongo
Migui sitakagi hata kuiona nikiagiza kuku wanaitupa kabisa na kichwa sitaki viona
 
Back
Top Bottom