Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Na hawasemiWengine mpaka kichapo wanapewa 😄
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hawasemiWengine mpaka kichapo wanapewa 😄
Ova
Mimi nyumba ndogo ilitak kuninyanyasa kwa maneno makali na maagizo yasiyo na mbele wala kichwa.Ukatili wa majumbani huwa hususani kwa wanawake ila pia sasa kuna tatizo la unyanyasaji kwa wanaume ni tatizo kubwa lakini mara nyingi halionekani, hasa kwa sababu ya jinsi wanavyokuwa wanaonekana katika jamii kwamba wanaume wanapaswa kuwa na nguvu, kujitegemea, na kushughulikia matatizo yao wenyewe.
Dhana hizi zinafanya iwe vigumu kwa wanaume kukubali kuwa ni waathiriwa na kufanyiwa ukatili katika majumbani kwao, jambo ambalo linaweza kusababisha matatizo makubwa ya afya ya akili kama vile msongo wa mawazo, wasiwasi, na hisia za upweke.
Tatizo hili linadhoofishwa na ukosefu wa rasilimali na mifumo ya msaada inayolengwa kwa wanaume. Huduma nyingi za ukatili wa majumbani zinawalenga sana wanawake, na kuwaacha wanaume bila na hio sauti ya kusema matatizo hayo. Zaidi na hayo, wanaume mara nyingi wanakutana na unyanyapaa wa kijamii na kutoaminika wanapojaribu kuripoti unyanyasaji, jambo ambalo linakatisha tamaa wengi kutafuta msaada.
Kuripoti kwa uchache ni tatizo kubwa, kwani wanaume wanaogopa kutoaminika, kudharauliwa, au kukutana na upendeleo wa kisheria na kitaasisi ambao unaweza kufanya iwe vigumu kupata maagizo ya ulinzi au ulinzi wa watoto wao. Msongo na kutegemea kuvumilia ukatili bila msaada wa kutosha vinaweza kusababisha athari za muda mrefu kwa afya ya akili, na kuzidisha athari kwa maisha yao kwa ujumla.
Ikiwa unaishi katika mazingira ambapo unashuhudia masuala kama haya katika mazingira yako, ungewashauri wanaume wafanye nini ili kukabiliana na hali hii?
===================================
Domestic violence against men is a significant but often hidden issue, primarily due to societal expectations that men should be strong, self-reliant, and able to handle their problems independently. These stereotypes make it difficult for men to admit they are victims of abuse, leading to severe mental health issues such as depression, anxiety, and feelings of isolation.
The problem is suppressed by the lack of resources and support systems tailored for men. Many domestic violence services and shelters are geared towards women, leaving men with fewer options for help. Additionally, men often face social stigma and disbelief when they do try to report abuse, which discourages many from seeking assistance.
Underreporting is a significant issue, as men fear not being believed, being mocked, or facing legal and institutional biases that can make it harder to obtain protection orders or custody of their children. The stress and trauma of enduring domestic abuse without adequate support can lead to long-term mental health consequences, worsening the overall impact on their lives.
If you're leaving in a environment where you witnesses such issues on your environment, what would you recommend Men to do so as to deal with this situation?
Alidanganywa na mganga baada ya kukuwekea madawa akamuaminisha anaweza kukufanya chochote.Mimi nyumba ndogo ilitak kuninyanyasa kwa maneno makali na maagizo yasiyo na mbele wala kichwa.
Klichompata hata yeye haelewi ilikuwaje!
Naweza kukubaliana na wewe, mimi nilimdrop kama kaa la moto na nikakaa kimya sasa naelekea maka wa tatu!Alidanganywa na mganga baada ya kukuwekea madawa akamuaminisha anaweza kukufanya chochote.
Kiredio kibovu ndani kinanipigia kelele niendelelee kukasikiliza?, muache achonge mdomo kama chiriku na kesho tena.
I think the culture has framed men as strong and non-feeling creatures in a way that saying “ Am harassed by my wife” is a greatest weakness to reveal to the public.Ukatili wa majumbani huwa hususani kwa wanawake ila pia sasa kuna tatizo la unyanyasaji kwa wanaume ni tatizo kubwa lakini mara nyingi halionekani, hasa kwa sababu ya jinsi wanavyokuwa wanaonekana katika jamii kwamba wanaume wanapaswa kuwa na nguvu, kujitegemea, na kushughulikia matatizo yao wenyewe.
Dhana hizi zinafanya iwe vigumu kwa wanaume kukubali kuwa ni waathiriwa na kufanyiwa ukatili katika majumbani kwao, jambo ambalo linaweza kusababisha matatizo makubwa ya afya ya akili kama vile msongo wa mawazo, wasiwasi, na hisia za upweke.
Tatizo hili linadhoofishwa na ukosefu wa rasilimali na mifumo ya msaada inayolengwa kwa wanaume. Huduma nyingi za ukatili wa majumbani zinawalenga sana wanawake, na kuwaacha wanaume bila na hio sauti ya kusema matatizo hayo. Zaidi na hayo, wanaume mara nyingi wanakutana na unyanyapaa wa kijamii na kutoaminika wanapojaribu kuripoti unyanyasaji, jambo ambalo linakatisha tamaa wengi kutafuta msaada.
Kuripoti kwa uchache ni tatizo kubwa, kwani wanaume wanaogopa kutoaminika, kudharauliwa, au kukutana na upendeleo wa kisheria na kitaasisi ambao unaweza kufanya iwe vigumu kupata maagizo ya ulinzi au ulinzi wa watoto wao. Msongo na kutegemea kuvumilia ukatili bila msaada wa kutosha vinaweza kusababisha athari za muda mrefu kwa afya ya akili, na kuzidisha athari kwa maisha yao kwa ujumla.
Ikiwa unaishi katika mazingira ambapo unashuhudia masuala kama haya katika mazingira yako, ungewashauri wanaume wafanye nini ili kukabiliana na hali hii?
===================================
Domestic violence against men is a significant but often hidden issue, primarily due to societal expectations that men should be strong, self-reliant, and able to handle their problems independently. These stereotypes make it difficult for men to admit they are victims of abuse, leading to severe mental health issues such as depression, anxiety, and feelings of isolation.
The problem is suppressed by the lack of resources and support systems tailored for men. Many domestic violence services and shelters are geared towards women, leaving men with fewer options for help. Additionally, men often face social stigma and disbelief when they do try to report abuse, which discourages many from seeking assistance.
Underreporting is a significant issue, as men fear not being believed, being mocked, or facing legal and institutional biases that can make it harder to obtain protection orders or custody of their children. The stress and trauma of enduring domestic abuse without adequate support can lead to long-term mental health consequences, worsening the overall impact on their lives.
If you're leaving in a environment where you witnesses such issues on your environment, what would you recommend Men to do so as to deal with this situation?
Wengine mpaka kichapo wanapewa 😄
Ova
What would you recommend for them to be heard?I think the culture has framed men as strong and non-feeling creatures in a way that saying “ Am harassed by my wife” is a greatest weakness to reveal to the public.
We expect that men are always strong so if they are victimized by men their wifes , we think thay have something wrong and very uncommon.
Dealing with domestic violence depends much on the situation, in some areas, if you start to interfere, you will be labeled as “ hypocrite”
All in all the domestic violence is real for men but it is unheard
kwa uchumi huu, hutaki mke atakaye kukusaidia katika issue za maisha... Maana hapo unaamnisha awe mama wa nyumbani, majukumu utaweza?Tena mke awe TRA,sjui bandari Ana kanafasi vijeuri sana
Ova
Inategemea na mwanamkeK
kwa uchumi huu, hutaki mke atakaye kukusaidia katika issue za maisha... Maana hapo unaamnisha awe mama wa nyumbani, majukumu utaweza?
Usisubiri kuwa na pesa ndio uache kunyanyasika. Hii ni mindset ya kike.Dawa pekee ni kupambana mwanaume uwe na financial freedom ndio suluhisho.
Kunyanyaswa mwanaume kunatokana ukiwa umepigika, lakini ukiwa upo vizuri huo muda wa kunyanyaswa unatoka wapi? Chukuwa totoz nje piga rudi nyumbani lala, muache achonge mdomo kama chiriku na kesho tena.
Aahh sijui hii inakuaje. Ila binafsi mwaka flan niliyumba kidogo baada ya kuavhana na mfumo wa ajira ma kuingia kwenye ujasiriamali.Inategemea na mwanamke
Mara nyingi mwanamke akimZidi
Kipato mwanaume huwa ni shida
Nyumban kwa moto
Ova
Inatokeaga sana hiyoAahh sijui hii inakuaje. Ila binafsi mwaka flan niliyumba kidogo baada ya kuavhana na mfumo wa ajira ma kuingia kwenye ujasiriamali.
Hinestly hiki ndio kipindi ambacho kwa mara ya kwanza nilimtandika sana wife tena kichapo haswa maana alianza kuleta dharau kisa income imeyumba na yeye akawa ndio kama provider home.
Nilimnyuka haswa, wala sikutaka kuleta unyonge na nikamwambia kama unataka taraka hata sasa hiv sema nikupe , usiniletee mambo yaki ya vijiweni kwemu huko hapa nyumban.
Adabu ikarud mahala pake
Mpaka anyamazena kesho tena
Kwa kifupi KATAA NDOADawa pekee ni kupambana mwanaume uwe na financial freedom ndio suluhisho.
Kunyanyaswa mwanaume kunatokana ukiwa umepigika, lakini ukiwa upo vizuri huo muda wa kunyanyaswa unatoka wapi? Chukuwa totoz nje piga rudi nyumbani lala, muache achonge mdomo kama chiriku na kesho tena.
Kwa first world sawa, hawana ulimbukeni wa pesa wamezaliwa pesa ni kawaida, lakini hawa wa dunia ya tatu ni mtihani.K
kwa uchumi huu, hutaki mke atakaye kukusaidia katika issue za maisha... Maana hapo unaamnisha awe mama wa nyumbani, majukumu utaweza?
Asiponyamaza naenda tena KIMBO KAna kesho tena
What if hii ni mentality ya jamii kuwa mwanamke akiwa anamzidi mwanaume anakuwa na shida?Inategemea na mwanamke
Mara nyingi mwanamke akimZidi
Kipato mwanaume huwa ni shida
Nyumban kwa moto
Ova