African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 817
- 1,470
- Thread starter
- #61
Fanya project kubwa kaka then tafuta muwekezajiKitandani tu , dah yan ctengenezi pesa kabisa, tupeani ma ujanja bro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya project kubwa kaka then tafuta muwekezajiKitandani tu , dah yan ctengenezi pesa kabisa, tupeani ma ujanja bro.
😅 siyo IT, ni embedded designerAhhaha IT mkali sana.
Hapana , ni Angular front end, backend FirebaseUko moto mzee.. hii ni node js?
ya kijijini siyo ?Mkuu kwanini usiniundie simple Android apk kwa ajili ya web yangu
Na mm nataka kujua. Asanteanayeweza kunifafanulia ni nini hii coding, na inakazi zipi anifafanulie kidogo nielewe.
coz kuna siku nilikuwa kwenye mwendo kasi kuna kijana alikuwa na simu yake anafanya vitu kama hivyo.
nilitamani kufahamu na ikiwezekana nijifunze coz mimi mda mwingi nipo free.
msaada please.
Fanya project kubwa kaka then tafuta muwekezaji
Dah, umenitia hasira yan namiliki mfumo ya mamilion , inaozea kwenye hard drive , I need to b like u broHapa nipo zangu kwenye mtumbwi wa kizungu nakula kipupwe na jua la manjano nikiwa naelekea zangu Dar mji wa mahangaiko.
Je wewe unacode ukiwa kwenye mazingira gani?
View attachment 2677434
View attachment 2677418 View attachment 2677416
Yap ndicho nilichomaanisha native sio leo maana nipo kwenye mpango baadae niunde API alafu nitakutafuta kwa dauya kijijini siyo ?
haina noma tutasawazisha hili, ila siundi ki-native, nai wrap up kwa web view
ntahitaji icon ntakutumia resolution specs, etc
Angalia fursa za biashara bado opportunities zipoDah, umenitia hasira yan namiliki mfumo ya mamilion , inaozea kwenye hard drive , I need to b like u bro
Hapana wanaotumia html ndio IT
View attachment 2678151Kitandani 2 hakuna pesa, vp unapiga mchongo? Tupe ma ujanja
Pain 🥲View attachment 2678214
Michongo ipo kama unajua assembly kazi na mipunga ipo watu ndo hamna.
Kama unajua basic za assembly (especially NASM structure) njo PM Hahauta kosa hata u-intern
Concept za assembly nazijua, ni kucheza na bytes, registers, memory address, na flags . Ni lijifunza assembly nikutumia ARM simulator, NASM nadhani concept za assembly hazitofautiani sana, vp unaproject tupige kazi?View attachment 2678214
Michongo ipo kama unajua assembly kazi na mipunga ipo watu ndo hamna.
Kama unajua basic za assembly (especially NASM structure) njo PM Hahauta kosa hata u-intern
Tuna design system ya hardware ambayo tunajaribu kupunguza computation time. Mfano unatumia Tensorflow C, baadhi ya function za badala ya kua interpret kwenda C alafu Assembly na kua binary. Tunachukua function tuna i-difine kwenye assemby, ikiwa una run hiyo function haipiti tena kwenye C moja kwa moja inaenda kwenye Assembly inafata machine.Concept za assembly nazijua, ni kucheza na bytes, registers, memory address, na flags . Ni lijifunza assembly nikutumia ARM simulator, NASM nadhani concept za assembly hazitofautiani sana, vp unaproject tupige kazi?
Kwanini usitumie machine language moja kwa moja 🤔Tuna design system ya hardware ambayo tunajaribu kupunguza computation time. Mfano unatumia Tensorflow C, baadhi ya function za badala ya kua interpret kwenda C alafu Assembly na kua binary. Tunachukua function tuna i-difine kwenye assemby, ikiwa una run hiyo function haipiti tena kwenye C moja kwa moja inaenda kwenye Assembly inafata machine.
Kama unaa project za assembly tuone sample
Urahisi, time consuming and headache.Kwanini usitumie machine language moja kwa moja 🤔
Hapana cna project ya assembly kwa sababu sina hardware tofauti na simu ya android na laptop. Kutengeneza software kwa kutumia assembly kwa hizi hardware ni pointless, Ila uwezo wa kuandika software kwa hardware yeyote ninao. Nikipata hardware yenyewe na dev tools husikaTuna design system ya hardware ambayo tunajaribu kupunguza computation time. Mfano unatumia Tensorflow C, baadhi ya function za badala ya kua interpret kwenda C alafu Assembly na kua binary. Tunachukua function tuna i-difine kwenye assemby, ikiwa una run hiyo function haipiti tena kwenye C moja kwa moja inaenda kwenye Assembly inafata machine.
Kama unaa project za assembly tuone sample
processors/microC za PIC, ATmega, etc zina run assembly vizuri kabisa na zinauzwa bei poaNikipata hardware yenyewe na dev tools husika