Unafanya coding ukiwa kwenye mazingira gani?

Unafanya coding ukiwa kwenye mazingira gani?

noma saaaaana.... halafu kuna mtu anakaa anasema eti bongo hakuna wakali wa IT
 
M nafanya coding nkiwa nausubiria ungo wa mzungu

google1.jpg
 
Pigeni kazi wakuu. Jamaa huna wasiwasi na kuweka jina lako kamili hadharani?
 
Tuna design system ya hardware ambayo tunajaribu kupunguza computation time. Mfano unatumia Tensorflow C, baadhi ya function za badala ya kua interpret kwenda C alafu Assembly na kua binary. Tunachukua function tuna i-difine kwenye assemby, ikiwa una run hiyo function haipiti tena kwenye C moja kwa moja inaenda kwenye Assembly inafata machine.

Kama unaa project za assembly tuone sample
Kwanini msidesign kwa C??? There's a way of optimizing C code ikarun very faster kuliko kucode kwa assembly ambayo ni architecture dependent?
C can be faster kama wewe ni programmer mzuri. though assembly is fast but lazima urisk portability na development time mkuu
 
Urahisi, time consuming and headache.
Assembly ni bora in urahisi, pia sio ngumu sana na kichwa hakiumi mara kwa mara. africa hii ya akina samia, ruto na musseven unapata wapi staff wa binary??
Assembly ni more time consuming kuliko kutumia C, Mimi nimedevelop program kwa ARM assembly instructions it is very hard you have to do all the optimizations zinazofanywa no compiler wewe mwenyewe, kama hauko familiar na architecture husika you can't write efficient code it is better utumie C brother,
 
processors/microC za PIC, ATmega, etc zina run assembly vizuri kabisa na zinauzwa bei poa
Bafredo Electronics Ubungo wanazo, jaribu kuwagugo
Processor yoyote ile inaweza kurun assembly Instructions sio hizo tu, alafu mwamba kasema yeye yuko familiar na ARM instructions ATmega imebase na AVR, PIC sijawahi kutumia but sio ARM pia
 
Concept za assembly nazijua, ni kucheza na bytes, registers, memory address, na flags . Ni lijifunza assembly nikutumia ARM simulator, NASM nadhani concept za assembly hazitofautiani sana, vp unaproject tupige kazi?
Huyo mwamba nahisi ni x86 ile, assembly instructions zake ni tofauti na ARM kaka,
Pia kuandika assembly instructions sio tu kucheza na bytes, registers and staffs kuna reset routine/sequence na hii ndiyo most complicated part it includes mambo kama ku initialize memory segments zile kama Heap, stack,.data,.text,.bss, interrupt vector table, kuinitialize stackpointer and staffs otherwise program utakayoandika ukienda kuiport kwenye device haitorun kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom