Unajua nini haya maisha bora mtu akuambie ukweliSijijui nanuka au nanukia dah😀 unaweza hisi uko sawa kumbe watu wanakuvumilia tu, naombeni mtu aninuse🏃♀️
Sukutua kwa kiingereza ni nini?I drink a litre of water and like i sukutua my mouth
i dont know how to spell it in english can you help me mr...?Sukutua kwa kiingereza ni nini?
Uwe unaandika kwa kiswahili kujiepushia aibu zisizo za lazimai dont know how to spell it in english can you help me mr...?
sawaUwe unaandika kwa kiswahili kujiepushia aibu zisizo za lazima
Denda zitawaponza[emoji855] watu wameoza meno balaa[emoji849]
😂😂😂😜Haaa haaa Wabovu wa Meno tokea utotoni