Unafanya nini kuhakikisha kinywa chako hakitoi harufu mbaya?

Unafanya nini kuhakikisha kinywa chako hakitoi harufu mbaya?

Maji ya limao/ndimu kunywa wakati wa kwenya kulala ama ukiamka asubuhi
Swaka baada ya mlo hasa wa usiku
Asubuhi tumia dawa ya meno pamoja na sabuni ya kuogea (paraza mswaki kwenye sabuni kisha dawa ya meno ije juu au dawa kwanza kisha sabuni

Kumbuka kunuka mdomo chanzo kikubwa sio meno bali ulimi.. Ulimi na kona za nyuma za fisi ndio huhifadhi bacteria wengi na mabaki ya chakula hivyo hakikisha kwenye kuswaka hayo maeneo unayapa kipaumbele kikubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Usijaribu kuweka sabuni mdomoni
 
Hakikisha mswaki unapita kila sehemu ya mdomo bila kusahau ulimi

Kwa wale wenye meno yaliyotoboka hakikisha unasafisha hilo eneo vizuri kabisa

Ukiweka dawa kwenye mswaki mara ya kwanza ukimaliza sukutua osha mswaki weka tena dawa rudia alafu rudia tena

Kuna ambao wanasema harufu huanzia ndani tumboni jitahidi kunywa maziwa mtindi maji mengi pia tafuna gum za mint
 
Kuna dogo anatoa harufu mbaya mdomoni hadi anakera leo naenda kumpa muongozo.
 
Kuna nyumba niliishi maeneo ya kimara, mshua mmoja mpangaji mwenzangu alikua anapiga mswaki kama mpaka anataka kutapika.

Anatoa sauti kama anakabwa kisa kuzamisha mswaki mpaka kwenye kiungio cha ulimi na utumbo.

Mbaya zaidi dirishani kwangu ndio alikua anapenda kupigia mswaki mana kulikua na bomba la maji.
 
Kuna nyumba niliishi maeneo ya kimara, mshua mmoja mpangaji mwenzangu alikua anapiga mswaki kama mpaka anataka kutapika.

Anatoa sauti kama anakabwa kisa kuzamisha mswaki mpaka kwenye kiungio cha ulimi na utumbo.

Mbaya zaidi dirishani kwangu ndio alikua anapenda kupigia mswaki mana kulikua na bomba la maji.
Kwa hiyo now ndo umefahamu kwanini anafanya hivyo baada ya kuupitia huu uzi?!😂
 
Kuna nyumba niliishi maeneo ya kimara, mshua mmoja mpangaji mwenzangu alikua anapiga mswaki kama mpaka anataka kutapika.

Anatoa sauti kama anakabwa kisa kuzamisha mswaki mpaka kwenye kiungio cha ulimi na utumbo.

Mbaya zaidi dirishani kwangu ndio alikua anapenda kupigia mswaki mana kulikua na bomba la maji.
Aseeee😅
 
Salaam!

Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.

Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.

Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.

Does there any solution or medical care to carry out this problem.....

Mawazo yenu yanahitajika.
Kuna spray za mdomoni zina harufu tofauti hasa km mint ni nzuri sn kuna mwana nilimuagiza Malaysia. Inakuweka fresh kbs lkn muhimu kinywa kiwe kisafi kwa maana ya kuswaki na kusukutua ulimi ndipo una spray kila baada ya muda fulani.
 
Maji ya limao/ndimu kunywa wakati wa kwenya kulala ama ukiamka asubuhi
Swaka baada ya mlo hasa wa usiku
Asubuhi tumia dawa ya meno pamoja na sabuni ya kuogea (paraza mswaki kwenye sabuni kisha dawa ya meno ije juu au dawa kwanza kisha sabuni

Kumbuka kunuka mdomo chanzo kikubwa sio meno bali ulimi.. Ulimi na kona za nyuma za fisi ndio huhifadhi bacteria wengi na mabaki ya chakula hivyo hakikisha kwenye kuswaka hayo maeneo unayapa kipaumbele kikubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Pitia pia uzi wa mdau 👇Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri
 
Kuna spray za mdomoni zina harufu tofauti hasa km mint ni nzuri sn kuna mwana nilimuagiza Malaysia. Inakuweka fresh kbs lkn muhimu kinywa kiwe kisafi kwa maana ya kuswaki na kusukutua ulimi ndipo una spray kila baada ya muda fulani.
na hizi ni tofauti na mouth washer zile hydrogen peroxide....this is very exclusive kusikia.
 
na hizi ni tofauti na mouth washer zile hydrogen peroxide....this is very exclusive kusikia.
Ni kweli bongo sio popular sana, Ni tofauti inakuwa km kichupa kidogo cha kuspray, zipo kwa brand name tofauti lkn majority ina taste ya mint....unaeza spray kupoteza harufu ya pombe, sigara or any bad smell!!
 
Ni kweli bongo sio popular sana, Ni tofauti inakuwa km kichupa kidogo cha kuspray, zipo kwa brand name tofauti lkn majority ina taste ya mint....unaeza spray kupoteza harufu ya pombe, sigara or any bad smell!!
Great mkuu nimekusoma.
 
Back
Top Bottom