Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Nakazia baada ya kusafisha meno vizuri sugua ulimi gently japo Kwa sekunde 30.Sugua ulimi vizuri Mkuu....ulimi usiposuguliwa hutoa harufu mbaya sana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia baada ya kusafisha meno vizuri sugua ulimi gently japo Kwa sekunde 30.Sugua ulimi vizuri Mkuu....ulimi usiposuguliwa hutoa harufu mbaya sana....
Usijaribu kuweka sabuni mdomoniMaji ya limao/ndimu kunywa wakati wa kwenya kulala ama ukiamka asubuhi
Swaka baada ya mlo hasa wa usiku
Asubuhi tumia dawa ya meno pamoja na sabuni ya kuogea (paraza mswaki kwenye sabuni kisha dawa ya meno ije juu au dawa kwanza kisha sabuni
Kumbuka kunuka mdomo chanzo kikubwa sio meno bali ulimi.. Ulimi na kona za nyuma za fisi ndio huhifadhi bacteria wengi na mabaki ya chakula hivyo hakikisha kwenye kuswaka hayo maeneo unayapa kipaumbele kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ulikuwa unakaribia orgasm inakata siyo?Kuna watu wananuka mdomo jamani...
Acheni tu [emoji23][emoji23]
Hahaha kumbe walishakuonja mama aiseeehAlafu wanapenda deep kiss...
[emoji23][emoji23]
Njoo nikunuse na kukutibu kbsSijijui nanuka au nanukia dah[emoji3] unaweza hisi uko sawa kumbe watu wanakuvumilia tu, naombeni mtu aninuse[emoji2088]
Ahaha umechelewa mkuu, kuna mtu ameshaninusa tayari, kasema nanukia machungwa sasa sijui ni harufu nzuri or not😀🏃♀️Njoo nikunuse na kukutibu kbs
Kwa hiyo now ndo umefahamu kwanini anafanya hivyo baada ya kuupitia huu uzi?!😂Kuna nyumba niliishi maeneo ya kimara, mshua mmoja mpangaji mwenzangu alikua anapiga mswaki kama mpaka anataka kutapika.
Anatoa sauti kama anakabwa kisa kuzamisha mswaki mpaka kwenye kiungio cha ulimi na utumbo.
Mbaya zaidi dirishani kwangu ndio alikua anapenda kupigia mswaki mana kulikua na bomba la maji.
Aseeee😅Kuna nyumba niliishi maeneo ya kimara, mshua mmoja mpangaji mwenzangu alikua anapiga mswaki kama mpaka anataka kutapika.
Anatoa sauti kama anakabwa kisa kuzamisha mswaki mpaka kwenye kiungio cha ulimi na utumbo.
Mbaya zaidi dirishani kwangu ndio alikua anapenda kupigia mswaki mana kulikua na bomba la maji.
Kuna spray za mdomoni zina harufu tofauti hasa km mint ni nzuri sn kuna mwana nilimuagiza Malaysia. Inakuweka fresh kbs lkn muhimu kinywa kiwe kisafi kwa maana ya kuswaki na kusukutua ulimi ndipo una spray kila baada ya muda fulani.Salaam!
Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.
Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.
Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.
Does there any solution or medical care to carry out this problem.....
Mawazo yenu yanahitajika.
Pitia pia uzi wa mdau 👇Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauriMaji ya limao/ndimu kunywa wakati wa kwenya kulala ama ukiamka asubuhi
Swaka baada ya mlo hasa wa usiku
Asubuhi tumia dawa ya meno pamoja na sabuni ya kuogea (paraza mswaki kwenye sabuni kisha dawa ya meno ije juu au dawa kwanza kisha sabuni
Kumbuka kunuka mdomo chanzo kikubwa sio meno bali ulimi.. Ulimi na kona za nyuma za fisi ndio huhifadhi bacteria wengi na mabaki ya chakula hivyo hakikisha kwenye kuswaka hayo maeneo unayapa kipaumbele kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
na hizi ni tofauti na mouth washer zile hydrogen peroxide....this is very exclusive kusikia.Kuna spray za mdomoni zina harufu tofauti hasa km mint ni nzuri sn kuna mwana nilimuagiza Malaysia. Inakuweka fresh kbs lkn muhimu kinywa kiwe kisafi kwa maana ya kuswaki na kusukutua ulimi ndipo una spray kila baada ya muda fulani.
Ni kweli bongo sio popular sana, Ni tofauti inakuwa km kichupa kidogo cha kuspray, zipo kwa brand name tofauti lkn majority ina taste ya mint....unaeza spray kupoteza harufu ya pombe, sigara or any bad smell!!na hizi ni tofauti na mouth washer zile hydrogen peroxide....this is very exclusive kusikia.
Great mkuu nimekusoma.Ni kweli bongo sio popular sana, Ni tofauti inakuwa km kichupa kidogo cha kuspray, zipo kwa brand name tofauti lkn majority ina taste ya mint....unaeza spray kupoteza harufu ya pombe, sigara or any bad smell!!