Unafanya nini mbwa wako kuwa mkali

Unafanya nini mbwa wako kuwa mkali

Usimpe chakula cha maana ila uwe unampa mataputapu ukichanganya na gondo kidogo. Mataputapu yatamfanya ajisikie tumbo kushiba, wakati gongo linapekenya ubongoni kuhitaji chakula chenye nguvu. Mchanganyiko huo ni hatari sana.
 
Sio kila mbwa ni mkali... Yani umeokota mbwa njian unatarajia awe mkali??

Google hawa wanyama...

1. German shefield..huyu ni common sana na hata majeshi wanawatumia, pia ni rahisi kuwafindisha.

2. Rottweiler. Hawa ni balaa tupu... Ukijichanganya kwenye anga zao wanakusambaratisha!!

3. Bull dog. Huyu nae ni balaa ingine, ana uwezo wa kuvuta hata gari dogo mwenyewe, ni mbwa mwenye nguvu sana!!

Rottweiler na pitbull hawapendi kuchanganywa na species nyingine, na ukijaribu kuwamix na mbwa wengine jua dhoruba itayotokea hapo wenda hata wewe utakimbia kwa uoga!!
Na mbwa tunaowaona sana mtaani je wanaitwaje??
 
Mbwa ili wawe wakali fuga zaidi YA mmoja ILO ndilo suluhisho la mbwa wasio wakali... Mimi ninao watatu mmoja ni 8yrs, 4yrs na mwingine ni 4 monthly.... Huyu mkubwa abweki ovyo ni mzeee wa silent killer na akibweka sauti yake mzito na kuna jambo hapo... Huyu wa kati yeye ni kelele mingi akisikia geti limeguswa mtu kasema hodi yeye ni kubweka ni mkorofi by nature huyu hata akiona kunguru katua juu YA banda ni kubweka tu.... Huyu mdogo ni mzeee wa mishe mishe Usiku alali yeye ni kuzunguka akiona paka anabweka, upepo ukitingisha mauwa ni kubweka, mkisahau nguo viatu vya mgeni asubuhi mnakuta matambara... Ukali wa mbwa Mara nyingi ni nature wazazi wake na kujiamini kwa mbwa mwenyewe. Mm huyu mbwa wangu mkubw atishiki ukiinama uokote jiwe akimbii muda Wote mkia upo juuu ajui kufyta Sasa hole wako ukimbie.... Unapotaka kufuga mbwa usinunue mbw ni mbw uliza historia YA wazaz kama walikuw wakali wasikivu, awanyi kweny banda hovyo hovyo.Kuna mbwa wanatabia YA kulia wakiw Kwenye banda Mara nying hawa uwa mbwa Koko awa ndio inabidi muwaboost na bangi
 
Atajisaidia usiku utakapo mfungulia.mbwa hawez jisaidia bandan kwake.ukimtoa atatafuta sehemu yake anapojisaidia afukue atupe mzigo
Afukue kwani amekuwa paka? Nnavyojua kufukua ni tabia ya paka labda kama utamfundisha
 
Yeah in kweli mkuu hawa wa kwangu niliwapa mmea mixer ugoro wamekuwa shida mtaani ila nilitaka mbinu nyingine sababu zoezi la kuwavutisha linahitaji uwe mvutaji pia.

hahahaha

mkuu wewe ukipimwa mkojo huchomoki!!!

ata wewe ni teja pia ...unavuta kitu cha Ar
 
Mimi Mbwa wangu ni wakali ila wanajisaidia bandani kwa kweli wananikera sana, maana kila saa nne usiku nawafungulia mpk saa 12 ahsubuhi lakini bado wanajisaidia bandani na ni wakubwa sijui wataalamu mnashauri vp hapo ?
 
Back
Top Bottom