Unafanya nini mbwa wako kuwa mkali

Unafanya nini mbwa wako kuwa mkali

hahahaha

mkuu wewe ukipimwa mkojo huchomoki!!!

ata wewe ni teja pia ...unavuta kitu cha Ar
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo njia ya kuwavutisha ganja ilinishinda ndo maana nikaja na uzi huu kupata njia nyingine .
 
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?[emoji28] [emoji28]
Kwa kuanzia binafsi nimetumia mbinu tofauti tofauti hasa kwa mbwa wa kienyeji kama ifuatavyo:
1.Kumvutisha msheshe aka ganja na hapa unamwekea pia kwenye msosi.
2.Kumwekea nyigu kwenye banda wanamuuma kwa muda mrefu akitoka halo ni shida.

Kwa wafugaji wa mbwa nawe share hapa unafanya nini mbwa wako kuwa mkali zaidi ili kubadilishana uzoefu.

Aksante
Dah mkuu wewe hufai kufuga hata kunguni! kwa nini unampa mateso na stress mbwa wako hivyo?
Hao wanyama wengine ni family zetu na unatakiwa u mtreat like a son or daughter you love ,huo wako ninujinga na upuuzi.
Baada ya kutoa povu naanza kukuelekeza.
Kabla hujaamua ku keep a dog lazina ujiulize unamtaka kwa ajili gani.
1.Kuna mbwa mshikaji tu
2.Kuna mbwa wa ulinzi.
Kuna mbwa wa kuongozea njia hasa kwa walemavu wasioona.
3.kuna mbwa wa kuwindia
4.Kuna mbwa wa kusaidia kuchunga.

Kwa kila hitaji hapo juu kuna different breed of dog to choose from but majority ya mbwa wa kienyeji ni hunting dogs yaani wao ile natural insticts yao ya uwindaji ipo juu sana kuliko hawa breeds kutoka nje kumlazimisha kuwa mlinzi maguvu ni kumuonea ila naturally mbwa yeyote akiona stranger eneo la kujidai lazima atachonga mdomo tu huo ni ulinzi tosha.
ukitaka mbwa mguvu kamua mahela vuta G-Shepherd,Rottweller ,Pitt bull or Terrier Bull na kadhalika na aina hizo lazima ukawa train nenda tu pale polisi kikos cha mbwa wata mtrain mbwa wako utalipia ararudi home full discipline and full maujuzi ya ku deal na vibaka.
Nafunga kwa kurudia tena pets are family and treat them with love and respect!
See ya!
Animal lover
 
Hakikisha banda lake linakigiza muda wote mchana

Hakikisha anayempatia chakula mbwa wako ni mtu mmoja every day

Fanyasiku moja ya juma watu wote wafamilia kwa muda tofaut wawe wana mtembelea mbwa pale kwenye banda lake lenye kigiza fulani...
Uyo mbwa awe mkubwa mlishe vizuri,kisusio,ugal dagaa, nk

Nb Uyo ni mbwa wa ulinzi nyumbani sio wakucheka cheka na kutikisa mkia ovyo...
 
Mbwa ili wawe wakali fuga zaidi YA mmoja ILO ndilo suluhisho la mbwa wasio wakali... Mimi ninao watatu mmoja ni 8yrs, 4yrs na mwingine ni 4 monthly.... Huyu mkubwa abweki ovyo ni mzeee wa silent killer na akibweka sauti yake mzito na kuna jambo hapo... Huyu wa kati yeye ni kelele mingi akisikia geti limeguswa mtu kasema hodi yeye ni kubweka ni mkorofi by nature huyu hata akiona kunguru katua juu YA banda ni kubweka tu.... Huyu mdogo ni mzeee wa mishe mishe Usiku alali yeye ni kuzunguka akiona paka anabweka, upepo ukitingisha mauwa ni kubweka, mkisahau nguo viatu vya mgeni asubuhi mnakuta matambara... Ukali wa mbwa Mara nyingi ni nature wazazi wake na kujiamini kwa mbwa mwenyewe. Mm huyu mbwa wangu mkubw atishiki ukiinama uokote jiwe akimbii muda Wote mkia upo juuu ajui kufyta Sasa hole wako ukimbie.... Unapotaka kufuga mbwa usinunue mbw ni mbw uliza historia YA wazaz kama walikuw wakali wasikivu, awanyi kweny banda hovyo hovyo.Kuna mbwa wanatabia YA kulia wakiw Kwenye banda Mara nying hawa uwa mbwa Koko awa ndio inabidi muwaboost na bangi
Mkuu Mbwa wangu kaishiwa nguvu na baada ya siku km 3 hvi alikuwa hali...nikaanza kumpa uji akawa anakunywa kabisa...SASa nimekuja gudua miguu ya nyuma haifanyi kazi na imevimba...inayofanya kazi ni ya Mbele tu.
Na sasa anakunywa uji bila shida ila pia upumuaji wake siyo wa kawaida..
Tatizo litakuwa ni nn kwa uzoefu wako??
Ni aina ya Golden retriever.
 
Yeah in kweli mkuu hawa wa kwangu niliwapa mmea mixer ugoro wamekuwa shida mtaani ila nilitaka mbinu nyingine sababu zoezi la kuwavutisha linahitaji uwe mvutaji pia.
kumbe wanunuzi wa mimea mpo wengi humu
 
Dah....siyo kila mbwa ni mkali...inategemea na aina (breed) yake... tena mbwa mwenye woga na hofu ni hatari zaidi...kwani hung'ata ili aweze kukimbia...
Usiwe mvivu sana...🙂🙂🙂
Dog Breed Info Center®, DBIC
 
Mimi Mbwa wangu ni wakali ila wanajisaidia bandani kwa kweli wananikera sana, maana kila saa nne usiku nawafungulia mpk saa 12 ahsubuhi lakini bado wanajisaidia bandani na ni wakubwa sijui wataalamu mnashauri vp hapo ?
Ulitaka ajisaidie wap wakat umemfungia zaid ya masaa 12
 
Muwekee manyigu yamng'ate kwenye kennel yake atakuwa mkali mengine muwekee kwenye chakula manyigu Yale yenye chura
 
Mbwa kuwa mkali inategemea na Breed yake au nature ya kizazu chake.!! Kuna wengine unaweza wafungua bandani kila siku ilaa wakimuona mtu mgeni ndo kwanza wanamchekea.. Wengne wanashinda tu Nje lakini aiseeee Mtu akijichanganyaa shughuli anaipata... Mbwa wa hivyo hata wenyeji hawamzoei kishambaa... Ila pia matunzo ni muhimu akizoea sana watu anakuwa zoba kiasi flani..
 
Mimi Mbwa wangu ni wakali ila wanajisaidia bandani kwa kweli wananikera sana, maana kila saa nne usiku nawafungulia mpk saa 12 ahsubuhi lakini bado wanajisaidia bandani na ni wakubwa sijui wataalamu mnashauri vp hapo ?
Mkuu ihii tabia wewe ndio umeilea mwenyewe mbwa siku zote anafundishwa na ataelewa tuuuuu..... Sasa fanya hivi wakinya usifagie yatawanye mavi ndani YA banda akose pa kulala mfanyie kwa muda wa Wiki moja atakereka akikosa pa kulala, elewa mbwa apendi kulala sehemu chafu.... Baada YA Wiki safisha banda kwa maji Alafu anzisha kichapo unapowafungua ukikuta wamekunya mnusishe pale alipokunya uku unamchapa na kumsemesha asinye Kwenye banda. Endelea kufanya hivi Kila wanyapo Kwenye banda hadi watakapo Acha.... Elewa mbwa ni mnyama anaefundishika kwa urahisi
 
Mkuu Mbwa wangu kaishiwa nguvu na baada ya siku km 3 hvi alikuwa hali...nikaanza kumpa uji akawa anakunywa kabisa...SASa nimekuja gudua miguu ya nyuma haifanyi kazi na imevimba...inayofanya kazi ni ya Mbele tu.
Na sasa anakunywa uji bila shida ila pia upumuaji wake siyo wa kawaida..
Tatizo litakuwa ni nn kwa uzoefu wako??
Ni aina ya Golden retriever.
Huyo mtafute dakitari wa mbwa amekosa vitamini bila Shaka bado ni mdogo kiumri.. Kuna chanjo YA pavo uenda ikawa aujampatia.... Kiujumla mbwa inatakiwa hapate chanjo Kila baada YA miezi 3 minyoo na vitamini
 
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?[emoji28] [emoji28]
Kwa kuanzia binafsi nimetumia mbinu tofauti tofauti hasa kwa mbwa wa kienyeji kama ifuatavyo:
1.Kumvutisha msheshe aka ganja na hapa unamwekea pia kwenye msosi.
2.Kumwekea nyigu kwenye banda wanamuuma kwa muda mrefu akitoka halo ni shida.

Kwa wafugaji wa mbwa nawe share hapa unafanya nini mbwa wako kuwa mkali zaidi ili kubadilishana uzoefu.

Aksante
tangu lini mtu anayevuta bange akawa sawasawa,hapo kuna siku atakuvamia mpaka wewe
 
Sio kila mbwa ni mkali... Yani umeokota mbwa njian unatarajia awe mkali?? Sio tu unafuga mbwa kwa ili uonekane umefuga...

Google hawa wanyama...

1. German shefield..huyu ni common sana na hata wanajeshi wanawatumia, pia ni rahisi kuwafindisha.

View attachment 642311
View attachment 642308 View attachment 642309 View attachment 642310

url


2. Rottweiler. Hawa ni balaa tupu... Ukijichanganya kwenye anga zao wanaweza kukusambaratisha hata wewe mmiliki!!

View attachment 642317 View attachment 642318

3. Bull dog. Huyu nae ni balaa ingine, ana uwezo wa kuvuta hata gari dogo mwenyewe, ni mbwa mwenye nguvu sana!!

View attachment 642324 View attachment 642323 View attachment 642322


Rottweiler na pitbull hawapendi kuchanganywa na species nyingine, na ukijaribu kuwamix na mbwa wengine jua dhoruba itayotokea hapo wenda hata wewe utakimbia kwa uoga!!
7bd332a2528f02834bc9736c08aa2b8a.jpg
 
Back
Top Bottom