Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
- Thread starter
- #21
Well sijawai mwaminisha hayo..na wlaa sijawai kujicommit kwake...ni vile ananipenda saanaHivi huyu ukimuacha si ndo mambo ya karma ama? HUTOKWEPA HILI hasa ikiwa ulimdanganya na kumuaminisha miaka yote hiyo kuwa yeye ni wako
Sent using Jamii Forums mobile app