Unafanyaje inapotokea umemchoka mpenzi wako ila yeye bado anakupenda sana?

Unafanyaje inapotokea umemchoka mpenzi wako ila yeye bado anakupenda sana?

Naomba kuuliza sababu za wewe kumuacha ni zipi. Inatafakarisha sana mtu unaingiaje kwenye mahusiano na mtu usiyempenda.
Mkuu..sio kwamba unaingia kwenye mahusiano na mtu usiyempenda...sis watu wa matukio tunakutana na watu kila siku na mnajikuta tu mnahusiana...na sie wengne ishu ya kupenda ni deep sana...unakuta uko na bint mrembo sanaa ila unampenda kawaida tu..had wengne wanashangaa mkuu mbona bint mkal sana tatzo nn....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well sijawai mwaminisha hayo..na wlaa sijawai kujicommit kwake...ni vile ananipenda saana

Sent using Jamii Forums mobile app
Napoleone , umekaa kwenye mahusiano na huyo Binti miaka karibia 4 unadhani kumuaminisha kuwa yeye ni wako inahitaji mtu awe kasoma hadi chuo kikuu?

Hata ningekuwa ni Mimi ningekuendea ukambani nakuloga hiko kidudu kinapotea kinafutika kama ufutio wa pensel inabakia alama tu ubaki unahadithia tu kuwa kilikuwa-ga hapa [emoji12]
 
Napoleone , umekaa kwenye mahusiano na huyo Binti miaka karibia 4 unadhani kumuaminisha kuwa yeye ni wako inahitaji mtu awe kasoma hadi chuo kikuu?

Hata ningekuwa ni Mimi ningekuendea ukambani nakuloga hiko kidudu kinapotea kinafutika kama ufutio wa pensel inabakia alama tu ubaki unahadithia tu kuwa kilikuwa-ga hapa [emoji12]
Hakuna kitu kibaya na kinachoumiza moyoni kama kucheza na feeling za mtu hasa feeling za kimapenzi.
 
Napoleone , umekaa kwenye mahusiano na huyo Binti miaka karibia 4 unadhani kumuaminisha kuwa yeye ni wako inahitaji mtu awe kasoma hadi chuo kikuu?

Hata ningekuwa ni Mimi ningekuendea ukambani nakuloga hiko kidudu kinapotea kinafutika kama ufutio wa pensel inabakia alama tu ubaki unahadithia tu kuwa kilikuwa-ga hapa [emoji12]
Hahahhahahahaha....hiv mfano ungekua wew..na umemchoka mtu..ungefanyaje...nipe ushaur..je..niwe nae tuu sabab nmempotezea muda..yaan nikubal niyale matapish yangu..ama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdogo angu mwanamke aachwi ww piga tuu au tafuta pisi nyingine kuwa nayo usimwambie nakuacha wala nini mwanamke aachwi ww mpotezee tuu mlie buyu basi atajiongeza mwenyewe...
 
1.Sabab za msingi ni kwamba kwanza she became fat..sipend fat pipo

I meet new pipo ambao ni hotter zaid yake
(Am being honest)
And vingne siwez sema hapa
2.hilo la kuwa na mwingne nisimchoke nadhan haliwezekan
3.sikuamua..tuliclick tu..sjawai mtamkia wala kuweka commitment yoyote nayeye
Tuna 3-4 yrs..well..alikua kama dem wa mpito tu..sikutegemea ntakaa nae muda mref..it was afta a break up na mtu wangu wa mda mref
4.nilijua ntakuja mwacha
5.nikiachana nae siend kokote nataka nifocus na mambo mengne..well na plan kutafta mwingne...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo mwa mahusiano kila mtu huwa huyo hot ila kadri mda unavyozid kwenda ndio utagundua ukwel wa mtu.

Unaposema ukiachana nae uendi popo unataka kufocus kwenye mambi yako unamaanisha nini? Kwan yeye ni kikwazo kinachokuzuia kusifocus kwenye mambo yako?
 
Mkuu..sio kwamba unaingia kwenye mahusiano na mtu usiyempenda...sis watu wa matukio tunakutana na watu kila siku na mnajikuta tu mnahusiana...na sie wengne ishu ya kupenda ni deep sana...unakuta uko na bint mrembo sanaa ila unampenda kawaida tu..had wengne wanashangaa mkuu mbona bint mkal sana tatzo nn....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sababu za kumuacha ni zipi?

Unaingiaje kwenye mahusiano kila siku ukiwa una mtu. Inaonesha unatamaa ya kila mwanamke, basi yafaa usitumie udhaifu wa mwanamke kupenda kuwapata. Ni vyema uweke wazi”mimi sitaki mahusiano nataka hang outs, kunyanduana na wewe”
 
Mdogo angu mwanamke aachwi ww piga tuu au tafuta pisi nyingine kuwa nayo usimwambie nakuacha wala nini mwanamke aachwi ww mpotezee tuu mlie buyu basi atajiongeza mwenyewe...
Nimependa hii...nahis niwe nae tu na niwe na mwingne...unajua ndomana wenzetu muslim wanaruhusu wake wa4..hata mim naafiki hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom