Well sijawai mwaminisha hayo..na wlaa sijawai kujicommit kwake...ni vile ananipenda saanaHivi huyu ukimuacha si ndo mambo ya karma ama? HUTOKWEPA HILI hasa ikiwa ulimdanganya na kumuaminisha miaka yote hiyo kuwa yeye ni wako
Mkuu..sio kwamba unaingia kwenye mahusiano na mtu usiyempenda...sis watu wa matukio tunakutana na watu kila siku na mnajikuta tu mnahusiana...na sie wengne ishu ya kupenda ni deep sana...unakuta uko na bint mrembo sanaa ila unampenda kawaida tu..had wengne wanashangaa mkuu mbona bint mkal sana tatzo nn....Naomba kuuliza sababu za wewe kumuacha ni zipi. Inatafakarisha sana mtu unaingiaje kwenye mahusiano na mtu usiyempenda.
Napoleone , umekaa kwenye mahusiano na huyo Binti miaka karibia 4 unadhani kumuaminisha kuwa yeye ni wako inahitaji mtu awe kasoma hadi chuo kikuu?Well sijawai mwaminisha hayo..na wlaa sijawai kujicommit kwake...ni vile ananipenda saana
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahHii staili ya usimuliaji ni mbovu sana
Kabisa karma itahusika hapo...Keshaambiwa hayo yote...anasema sijamchoka ni vile tu upepo ni mbaya...imagine anajibu hvyo mkuu..namuonea huruma kinoma..sjui namfanyaje huyu....hiv huyu ukimuacha si ndo mambo ya karma ama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kibaya na kinachoumiza moyoni kama kucheza na feeling za mtu hasa feeling za kimapenzi.Napoleone , umekaa kwenye mahusiano na huyo Binti miaka karibia 4 unadhani kumuaminisha kuwa yeye ni wako inahitaji mtu awe kasoma hadi chuo kikuu?
Hata ningekuwa ni Mimi ningekuendea ukambani nakuloga hiko kidudu kinapotea kinafutika kama ufutio wa pensel inabakia alama tu ubaki unahadithia tu kuwa kilikuwa-ga hapa [emoji12]
Inaumiza sana , mapenzi si kitu kinaweza kushikika lakini maumivu yake ni makubwa sana mtu akicheza na hisia za mwenzie. Na hii si kwa binadamu tu, hadi wanyama hupiganaHakuna kitu kibaya na kinachoumiza moyoni kama kucheza na feeling za mtu hasa feeling za kimapenzi.
Hahahhahahahaha....hiv mfano ungekua wew..na umemchoka mtu..ungefanyaje...nipe ushaur..je..niwe nae tuu sabab nmempotezea muda..yaan nikubal niyale matapish yangu..amaNapoleone , umekaa kwenye mahusiano na huyo Binti miaka karibia 4 unadhani kumuaminisha kuwa yeye ni wako inahitaji mtu awe kasoma hadi chuo kikuu?
Hata ningekuwa ni Mimi ningekuendea ukambani nakuloga hiko kidudu kinapotea kinafutika kama ufutio wa pensel inabakia alama tu ubaki unahadithia tu kuwa kilikuwa-ga hapa [emoji12]
Noma sana mkuu..Siku zote Oa Mwanamke anayekupenda. Siye unayempenda. FULL STOP [emoji1630]. Utakumbuka Hii Statement
Yani mtu badala aseme "mimi nina mpenzi wangu ikawa hivi ikawa vile" anaanza "et kama wewe una mpenzi wako alafu moja mbili tatu"Hahahahah
Mwanzo mwa mahusiano kila mtu huwa huyo hot ila kadri mda unavyozid kwenda ndio utagundua ukwel wa mtu.1.Sabab za msingi ni kwamba kwanza she became fat..sipend fat pipo
I meet new pipo ambao ni hotter zaid yake
(Am being honest)
And vingne siwez sema hapa
2.hilo la kuwa na mwingne nisimchoke nadhan haliwezekan
3.sikuamua..tuliclick tu..sjawai mtamkia wala kuweka commitment yoyote nayeye
Tuna 3-4 yrs..well..alikua kama dem wa mpito tu..sikutegemea ntakaa nae muda mref..it was afta a break up na mtu wangu wa mda mref
4.nilijua ntakuja mwacha
5.nikiachana nae siend kokote nataka nifocus na mambo mengne..well na plan kutafta mwingne...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu..sio kwamba unaingia kwenye mahusiano na mtu usiyempenda...sis watu wa matukio tunakutana na watu kila siku na mnajikuta tu mnahusiana...na sie wengne ishu ya kupenda ni deep sana...unakuta uko na bint mrembo sanaa ila unampenda kawaida tu..had wengne wanashangaa mkuu mbona bint mkal sana tatzo nn....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa hii...nahis niwe nae tu na niwe na mwingne...unajua ndomana wenzetu muslim wanaruhusu wake wa4..hata mim naafiki hiliMdogo angu mwanamke aachwi ww piga tuu au tafuta pisi nyingine kuwa nayo usimwambie nakuacha wala nini mwanamke aachwi ww mpotezee tuu mlie buyu basi atajiongeza mwenyewe...