Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mkuu ungekuwa karibu ningekuchapa HEINEKEN baridi sana!😅 Hio ndio kanuniSiku zote Oa Mwanamke anayekupenda. Siye unayempenda. FULL STOP [emoji1630]. Utakumbuka Hii Statement
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ungekuwa karibu ningekuchapa HEINEKEN baridi sana!😅 Hio ndio kanuniSiku zote Oa Mwanamke anayekupenda. Siye unayempenda. FULL STOP [emoji1630]. Utakumbuka Hii Statement
3-4 yrs now[emoji44].ukimuacha huyo msichana believe me hutakaa upate furaha huko unakotaka kwenda.Huyu bint nilikutana nae kwenye party..tuka click tuu..sikutongoza wala kufanya chochote...tukawa friends then tukaanza mahusiano..inaenda 3-4 yrs nw...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu zako hazina kichwa wala miguu..!1.Sabab za msingi ni kwamba kwanza she became fat..sipend fat pipo
I meet new pipo ambao ni hotter zaid yake
(Am being honest)
And vingne siwez sema hapa
2.hilo la kuwa na mwingne nisimchoke nadhan haliwezekan
3.sikuamua..tuliclick tu..sjawai mtamkia wala kuweka commitment yoyote nayeye
Tuna 3-4 yrs..well..alikua kama dem wa mpito tu..sikutegemea ntakaa nae muda mref..it was afta a break up na mtu wangu wa mda mref
4.nilijua ntakuja mwacha
5.nikiachana nae siend kokote nataka nifocus na mambo mengne..well na plan kutafta mwingne...
Sent using Jamii Forums mobile app
Simtishi
Inaonekana una uzoefu kwenye eneo hilo, ebu tueleze kidogo athari za kumpiga chini mwenza anayekupenda kwa dhati.Simtishi
Wote tunajua maisha yanavyokuwa
Huu uzi tuukumbukeInaonekana una uzoefu kwenye eneo hilo, ebu tueleze kidogo athari za kumpiga chini mwenza anayekupenda kwa dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app
I see him coming to welcome us to his beautiful wedding with his beautiful wife.Huu uzi tuukumbuke
A year or so baada ya huyu kijana kumtelekeza huyu binti...
Of course it can come to that...I see him coming to welcome us to his beautiful wedding with his beautiful wife.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa atatubu alipokosea , na maisha yatarudi back to normal, with happy ending.Of course it can come to that...
But will it be a happy life?.will she be a good wife...who knows?
Malipo ni hapahapa duniani
We always confess our sins...Jamaa atatubu alipokosea , na maisha yatarudi back to normal, with happy ending.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah umeniogofya, nikipiga hesabu ya raia niliokatisha nao mahusiano.We always confess our sins...
But some consequences still linger in our lives
Mfano umezini ukapata HIV..confession inaondoa ugonjwa?ama una mtt hukutarajia confession itampoteza?
You will be forgiven..ndio principle ya Mungu
But.....the other woman prays too...akimwambia Mungu am not happy with this...4 yrs of my life...what about me?....who knows Mungu atajibuje?.
Anaweza mpa kusamehe na kusahau...or otherwise atakavyoona sawa...to every action.......
Normal?.,Happy endings huh..?.who knows about the future?will it be so?our wishes arent enough
Mungu anamsikia kila mtu...
Unavyopimia wengine nawe utapimiwa..
If he cant be held responsible kwanini anahangaika kumuacha?si amuache tuu km hamna consequences?
It goes both ways to the Man and the Woman...4 yrs in anyones life cant js be thrown away like that...
Ila ndo maisha...
We evolve we grow
Tunapanga ila na Mungu nae anapanga qadr zetu
Mungu ni mwingi wa rehemaDaaaah umeniogofya, nikipiga hesabu ya raia niliokatisha nao mahusiano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimewasamehe walionitenda, naamini na mimi niliowatenda wata find place in their hearts to forgive me.Mungu ni mwingi wa rehema
Ombea uliowaumiza wapoe machungu moyoni mwao
Cz their pain is valid ht mbele za Mungu...
It depends with the damage done na strength ya mtu upande wa pili...Mimi nimewasamehe walionitenda, naamini na mimi niliowatenda wata find place in their hearts to forgive me.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaah haya mambo inaonekana ukimchafulia mtu file, lazima file lako nalo lipitiwe na wachafuzi wengine.It depends with the damage done na strength ya mtu upande wa pili...
Ndo mana tunaambiwa tafuteni kuwa na amani na watu wote....
Janja janja hizi...ipo day...
I had a man miaka ya nyuma..good intentions and all bado tukaachana basi kinyonge nikakubali japo moyoni i was not happy..nikawa kimya tu maisha yanaendelea
Yule kijana alikua mfanyabiashara sijui nini kilikua kinaendelea upande wake
Ila one day out of the blue alinipigia simu na kuniomba msamaha iwapo nna lolote moyoni mwangu dhidi yake....i did have a grudge...bt my heart melted..and i forgave...simply bcz he asked..and nilipona moyoni abt him...nikakubali yaishe haikuwa rizq yetu...
Still separate ways..but alipitia yapi hadi kudhani maybe he just needs my forgiveness?..
Sm things still linger in our lives...
Na nishawahi muomba msamaha mtu pia...all my rlships after him were not working...
After a while..ndio upepo wa mahusiano on my side ukatulia...
So moral of the story is
Dont take peoples feelings for granted...
Ndo mana watu wanaamini in Karma....Daaaaah haya mambo inaonekana ukimchafulia mtu file, lazima file lako nalo lipitiwe na wachafuzi wengine.
BTW are u with someone now ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila big boys wanafaidi sana maisha hakiyananiNdo mana watu wanaamini in Karma....
Hata Mungu works like that.....refer 'kisasi ni cha Mungu na atalipa'...
Good intentions good deeds zinasaidia
Even if you lose...atleast u had good intentions/deeds...
Yah niko nabambam with the big boy[emoji28]
Mchana mwema jmn
Karma is a bitch, just make sure that bitch is beautifulHakuna cha karma wala mjomba wake na Karma
Huwez force kudumu na Mtu...
Lazima ifikie point Watu wakubaliane na Ukweli...
Sisi wanaume huruma yetu hutuponza!
Angekua yeye hapo na dharau juu.