Unafanyaje inapotokea umemchoka mpenzi wako ila yeye bado anakupenda sana?

Unafanyaje inapotokea umemchoka mpenzi wako ila yeye bado anakupenda sana?

Una mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa

Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...

Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.

N.b

Ndugu yangu hapa anaomba ushauri

Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka
Nb yako haiendani na posts nyingine

It is you
 
N kweli kama mtu huna mapenz naye n her umuache, kuliko kupotezea mtu muda na kuendelea kucheza na hisia zake.



[emoji17] [emoji17]Lkn wanaume lah! Mungu awasaidie hapo utakuta ushakaa nae kwny mahusiano kama mke na mume kwa miaka hata 5 leo umemchoka, inaskitsha mnoo ndyo mana mnarogwa na wngne mnauliwa aki hamjali hisia za wengne [emoji17].
 
1.Sabab za msingi ni kwamba kwanza she became fat..sipend fat pipo

I meet new pipo ambao ni hotter zaid yake
(Am being honest)
And vingne siwez sema hapa
2.hilo la kuwa na mwingne nisimchoke nadhan haliwezekan
3.sikuamua..tuliclick tu..sjawai mtamkia wala kuweka commitment yoyote nayeye
Tuna 3-4 yrs..well..alikua kama dem wa mpito tu..sikutegemea ntakaa nae muda mref..it was afta a break up na mtu wangu wa mda mref
4.nilijua ntakuja mwacha
5.nikiachana nae siend kokote nataka nifocus na mambo mengne..well na plan kutafta mwingne...

Sent using Jamii Forums mobile app
Muache
Ila chozi lake UTALIPIA
 
Una mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa

Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...

Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.

N.b

Ndugu yangu hapa anaomba ushauri

Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka

Utamuacha ila utakuja kujuta. Hutawahi kumpata atakayekupenda kama huyo. Badala yake utawapata wakudanga na wachawi wakutupwa.

Utajuta. Labda kama una sababu maalumu ya kumuacha ila ukimuacha tu kwa sababu za kijinga, umchezee hisia zake na kumtupa itakula kwako. Iko siku utatamani umpate ila ndo hivyo utakuwa umeshapoteza.
 
Una mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa

Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...

Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.

N.b

Ndugu yangu hapa anaomba ushauri

Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka
Karma is real one day utarudi hapa, hujasema unakwazwa nini kwake, kupanga ni kuchagua na utavuna unachopanda kila la kheri
 
Una mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa

Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...

Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.

N.b

Ndugu yangu hapa anaomba ushauri

Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka
Mapenzi hayana kuchoka. Ukweli ni kwamba tayari una mahusiano mengine ndio maana umemchoka. Unapokwenda utakutana na tukio ambalo umelifanya huku unapotoka
 
Kama ni mwanamke we muache tu..vyovyote unavyojisikia...siku akikuchoka wewe utafrahi na show hatoona huruma
 
Napoleone , umekaa kwenye mahusiano na huyo Binti miaka karibia 4 unadhani kumuaminisha kuwa yeye ni wako inahitaji mtu awe kasoma hadi chuo kikuu?

Hata ningekuwa ni Mimi ningekuendea ukambani nakuloga hiko kidudu kinapotea kinafutika kama ufutio wa pensel inabakia alama tu ubaki unahadithia tu kuwa kilikuwa-ga hapa [emoji12]
Wewe jamaa katili sana, kwa mtu uliyempenda kweli unawezaje kumfanyia hayo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sad story ni pale unaamua kuishi nae huyo Dada halafu baadae anakuja kukusaliti.....

Mkuu kama humpendi kweli muache tu,,,maana yake utakuja kumtesa sana huko mbele ya safari...

Swala la Karma lipo pale pale,,, na halina taarifa huja ghafla tu..
Mbona kila mtu anasisitiza sana kuhusu karma, mnatutisha wengine tunaotaka kuacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom