Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TutotoEasy.....Piga simu saa 9 usiku..asipopokea..msindikize na Text ndeefuuu ya kutoheshimu calls zako..then mnaPart Ways kirahisi tu.
Nb yako haiendani na posts nyingineUna mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa
Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...
Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.
N.b
Ndugu yangu hapa anaomba ushauri
Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka
Yani thread zake ni ujivuni kuhusu mapenzi mpk 🤮🤮🤮🤮🤮Na utoto mwingi pia,angalia tu anavyojieleza ndiyo utajua huyu ni mvulana na si mwanaume.
Kweli pole zao aiseee.Wanawake wanaotoka na mtu anayetumia hii ID, wako na kazi kubwa mno.
Huyu ni mtu
- Ana kiburi
-Ana majivuno
-Anapenda attention
-Anajiamini hana Kasoro
Basi tu alimraaadi yani.
Pole zao sana .
Muache1.Sabab za msingi ni kwamba kwanza she became fat..sipend fat pipo
I meet new pipo ambao ni hotter zaid yake
(Am being honest)
And vingne siwez sema hapa
2.hilo la kuwa na mwingne nisimchoke nadhan haliwezekan
3.sikuamua..tuliclick tu..sjawai mtamkia wala kuweka commitment yoyote nayeye
Tuna 3-4 yrs..well..alikua kama dem wa mpito tu..sikutegemea ntakaa nae muda mref..it was afta a break up na mtu wangu wa mda mref
4.nilijua ntakuja mwacha
5.nikiachana nae siend kokote nataka nifocus na mambo mengne..well na plan kutafta mwingne...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii staili ya usimuliaji ni mbovu sana
Una mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa
Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...
Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.
N.b
Ndugu yangu hapa anaomba ushauri
Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka
Karma is real one day utarudi hapa, hujasema unakwazwa nini kwake, kupanga ni kuchagua na utavuna unachopanda kila la kheriUna mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa
Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...
Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.
N.b
Ndugu yangu hapa anaomba ushauri
Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka
Mapenzi hayana kuchoka. Ukweli ni kwamba tayari una mahusiano mengine ndio maana umemchoka. Unapokwenda utakutana na tukio ambalo umelifanya huku unapotokaUna mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa
Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...
Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.
N.b
Ndugu yangu hapa anaomba ushauri
Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka
Teh teh teh...mshauri kamanda cha kufanya maana yupo njia panda.Na utoto mwingi pia,angalia tu anavyojieleza ndiyo utajua huyu ni mvulana na si mwanaume.
Hivi Karma ipo ?Hivi huyu ukimuacha si ndo mambo ya karma ama? HUTOKWEPA HILI hasa ikiwa ulimdanganya na kumuaminisha miaka yote hiyo kuwa yeye ni wako
Wewe jamaa katili sana, kwa mtu uliyempenda kweli unawezaje kumfanyia hayo ?Napoleone , umekaa kwenye mahusiano na huyo Binti miaka karibia 4 unadhani kumuaminisha kuwa yeye ni wako inahitaji mtu awe kasoma hadi chuo kikuu?
Hata ningekuwa ni Mimi ningekuendea ukambani nakuloga hiko kidudu kinapotea kinafutika kama ufutio wa pensel inabakia alama tu ubaki unahadithia tu kuwa kilikuwa-ga hapa [emoji12]
Mbona kila mtu anasisitiza sana kuhusu karma, mnatutisha wengine tunaotaka kuacha.Sad story ni pale unaamua kuishi nae huyo Dada halafu baadae anakuja kukusaliti.....
Mkuu kama humpendi kweli muache tu,,,maana yake utakuja kumtesa sana huko mbele ya safari...
Swala la Karma lipo pale pale,,, na halina taarifa huja ghafla tu..