Unafanyaje kama mkeo ni mbea kupitiliza?

Unafanyaje kama mkeo ni mbea kupitiliza?

Kawaida ya wanawake wa Pwani. Ungetuuliza kabla haujaona km ni vizuri kuoa mwanamke wa Pwani. Wewe ukaamua kuoa kimya kimya tu!!
kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu ,, hata vitu vya siri !!!… Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa!!
 
Mtafutie kitu Cha kumuweka bize, ataacha automatically.
 
Yap!...huenda hii njia ikafanya kazi tena iwe kazi ya kutoka nyumbani na kurudi baadae (ikibidi japo sio lazima).

Ila kumbuka hata huko kazini anaweza kuendeleza gurudumu la umbea.

Huko atasutwa na kuchambwa hatorudia tena [emoji3][emoji3]
 
Hello Jf
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu!!..

Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!!
Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani !!

Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja tupo nae karibu sana n mmama mtu mzima umri wa mama yangu!! Na mazoea yametokana na ukaribu na utegemezi nilio uweka wakt nanunua eneo hili naloishi hapa mtaani kwani ilinibidi niwe nawasiliana nae mara kwa mara kupata taarifa saahihi juu ya mmiliki wa mwanzo, migogoro ya eneo nk!

Sasa amekua akiniita na kunishauri vitu mbalimbali!!Ikiwa pamoja na maneno yanayosikika mtaani!!

kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu ,, hata vitu vya siri !!!… Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa!!

Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi,nyumba wapi,Tunakula nn, nafanya kazi wapi,nimesafiri,nimerudi, yaan kila kitu ,nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk

Nikimaanisha kila kitu eleweni…achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao!!..naongelea mdomo,majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje!
Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera

Nimekua nikisikia minong’ono kadhaa,mengine nakuta story sasa huyu mama jiran ndo atleast anakifua kuniambia baadhi ya mambo !!… lakini wengine wananichora tu,,,, kuna vitu majiran wanavijua mimi sivijui

Sasa najiuliza nimfanyaje nilishamuonya tukaishia kugombana si mara moja!!…
Ukimwambia anakataa na hasa kulia!!..mwisho tunagombana!!

Je ww unafanyaje kama una mke wa hivi ndani???

Naomba mnisaidie kushauri!!
Daah kama anaongea yote basi kabla hujapata ufumbuzi wa hilo tatizo peleka moto ili akasimulie vile unasimamia ukucha, maana ni fedheha sana ukiwa na show mbovu halafu wife ni redio free inashika AM na FM
 
Kama unampenda, zoea tu. Nawajua watu wa Kisiju, Maneromango, Rufiji, Chalinze... Ndivyo walivyo. Kama haumpendi, tafuta mwingine. Asitoke Pwani.

Zaidi ni pichu mkononi. Huyo mama mtu mzima atakuwa amesikia kitu kuhusu ili ila hawezi kukueleza. Mtu anayesimulia mambo yenu ya chumbani, atakuwa anagawa kirahisi sana. Kama anaanza kuongea jinsi mlivyolala kwa masela, unafikiri hayo maongezi yataishia wapi?
Huo nao ni ushauri?
 
Yap!...huenda hii njia ikafanya kazi tena iwe kazi ya kutoka nyumbani na kurudi baadae (ikibidi japo sio lazima).

Ila kumbuka hata huko kazini anaweza kuendeleza gurudumu la umbea.
Tabia ni kama ngozi....

Aisee! Eti akiliwa papuchi anaenda kuhadithia! Baadhi ya mambo fanya kimya kimya bila kumtaarifu. Inawezekana kabisa siku umehifadhi fedha nyingi akaenda kutangaza nje na kusababisha kuvamiwa
 
Mtafutie kazi ya kufanya mkeo,inaonekana ni Mama wa nyumbani tu.
 
Back
Top Bottom