Unafanyaje kama mkeo ni mbea kupitiliza?

Unafanyaje kama mkeo ni mbea kupitiliza?

Anahatarisha uhai wa familia huyo siyo mtu poa kabisa,inabidi uanze kuwa msiri Sasa na baadhi ya vitu,ila nafikiri ww hujaamua kukaa naye chini vizuri labda unamwambia juu juu tu...

kuhusu kumuweka busy inategemea na umbea wa huyo mwanamke ila Kama ni jinsi ulivyoelezea hapo Basi sijui ubize gani huo unamfaa Mana huko atafunzwa na walimwengu na kukuharibia Hadi na ww...kuwa Kama mwanaume.
 
Hello Jf
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu!!..

Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!!
Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani !!

Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja tupo nae karibu sana n mmama mtu mzima umri wa mama yangu!! Na mazoea yametokana na ukaribu na utegemezi nilio uweka wakt nanunua eneo hili naloishi hapa mtaani kwani ilinibidi niwe nawasiliana nae mara kwa mara kupata taarifa saahihi juu ya mmiliki wa mwanzo, migogoro ya eneo nk!

Sasa amekua akiniita na kunishauri vitu mbalimbali!!Ikiwa pamoja na maneno yanayosikika mtaani!!

kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu ,, hata vitu vya siri !!!… Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa!!

Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi,nyumba wapi,Tunakula nn, nafanya kazi wapi,nimesafiri,nimerudi, yaan kila kitu ,nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk

Nikimaanisha kila kitu eleweni…achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao!!..naongelea mdomo,majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje!
Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera

Nimekua nikisikia minong’ono kadhaa,mengine nakuta story sasa huyu mama jiran ndo atleast anakifua kuniambia baadhi ya mambo !!… lakini wengine wananichora tu,,,, kuna vitu majiran wanavijua mimi sivijui

Sasa najiuliza nimfanyaje nilishamuonya tukaishia kugombana si mara moja!!…
Ukimwambia anakataa na hasa kulia!!..mwisho tunagombana!!

Je ww unafanyaje kama una mke wa hivi ndani???

Naomba mnisaidie kushauri!!

swali

Wewe ulimsikia akiongea huo umbea una uhakika kama anaongea yeye??

Aliekwambia ni huyo mama au kuna wengine??

Kuwa makini sikuhizi mijimama inapenda kupelekewa moto huenda anakuvizia huyo mama kwaiyo anawachonganisha

Huyo mama nae hana kazi ya kufanya sasa anakwambia hivo ili nini umuache mkeo ama[emoji849][emoji849]
 
Hello Jf
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu!!..

Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!!
Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani !!

Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja tupo nae karibu sana n mmama mtu mzima umri wa mama yangu!! Na mazoea yametokana na ukaribu na utegemezi nilio uweka wakt nanunua eneo hili naloishi hapa mtaani kwani ilinibidi niwe nawasiliana nae mara kwa mara kupata taarifa saahihi juu ya mmiliki wa mwanzo, migogoro ya eneo nk!

Sasa amekua akiniita na kunishauri vitu mbalimbali!!Ikiwa pamoja na maneno yanayosikika mtaani!!

kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu ,, hata vitu vya siri !!!… Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa!!

Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi,nyumba wapi,Tunakula nn, nafanya kazi wapi,nimesafiri,nimerudi, yaan kila kitu ,nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk

Nikimaanisha kila kitu eleweni…achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao!!..naongelea mdomo,majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje!
Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera

Nimekua nikisikia minong’ono kadhaa,mengine nakuta story sasa huyu mama jiran ndo atleast anakifua kuniambia baadhi ya mambo !!… lakini wengine wananichora tu,,,, kuna vitu majiran wanavijua mimi sivijui

Sasa najiuliza nimfanyaje nilishamuonya tukaishia kugombana si mara moja!!…
Ukimwambia anakataa na hasa kulia!!..mwisho tunagombana!!

Je ww unafanyaje kama una mke wa hivi ndani???

Naomba mnisaidie kushauri!!
Pole, mambo ya ndoa yanahitaji hekima sana. Pa kuanzia, ulichagua Wasimamizi sahihi wa ndoa, anzia hapo tafadhali.
 
Aisee pole sana nahisi unavyoteseka. Maana familia nyingi siku zote zinahitaji usiri.Nadhani pia ni umri na elimu yake vitakuwa ni vya chini labda.Kwamba akikua atabadilika.sema kwa sasa kama itakufaa,ili kuepusha kuhujumiwa, jiwekee siri mwenyewe kwanza.Kwa ajili ya dharura unaweza chagua watu wako wa karibu uwe unawajulisha unakwenda wapi au una projects gani na wapi.Ili ikitokea unadondoka ghafla kuna wa kufuatilia issues zako.

Lakini wakati mwingine inawezekana unasababisha hayo yote, yaani anakosa muda wa kuwa nawe ili akusimulie vitu.maana anaonekana ni mke anayependa sana attention.Yaani apate mtu wa kumsikiliza
Hiyo point kabisa, wanawake wote wanapenda attention, na wanapenda kuongea mambo yao ya siri na watu wao wa karibu, sasa kama mume yuko karibu na mke basi ujue mume atapata taarifa zote maana mke hatapeleka nje ila atamsimulia mumewe.

Tujitahidi kuwapa muda wa kuwasikiliza, hakuna mwanamke ambaye hapendi kusiikilizwa hivyo tuwape muda tu wa kuwasikiliza hata kama anongea pumba wewe msikilize tuu ni dawa kwao
 
Hello Jf
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu!!..

Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!!
Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani !!

Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja tupo nae karibu sana n mmama mtu mzima umri wa mama yangu!! Na mazoea yametokana na ukaribu na utegemezi nilio uweka wakt nanunua eneo hili naloishi hapa mtaani kwani ilinibidi niwe nawasiliana nae mara kwa mara kupata taarifa saahihi juu ya mmiliki wa mwanzo, migogoro ya eneo nk!

Sasa amekua akiniita na kunishauri vitu mbalimbali!!Ikiwa pamoja na maneno yanayosikika mtaani!!

kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu ,, hata vitu vya siri !!!… Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa!!

Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi,nyumba wapi,Tunakula nn, nafanya kazi wapi,nimesafiri,nimerudi, yaan kila kitu ,nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk

Nikimaanisha kila kitu eleweni…achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao!!..naongelea mdomo,majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje!
Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera

Nimekua nikisikia minong’ono kadhaa,mengine nakuta story sasa huyu mama jiran ndo atleast anakifua kuniambia baadhi ya mambo !!… lakini wengine wananichora tu,,,, kuna vitu majiran wanavijua mimi sivijui

Sasa najiuliza nimfanyaje nilishamuonya tukaishia kugombana si mara moja!!…
Ukimwambia anakataa na hasa kulia!!..mwisho tunagombana!!

Je ww unafanyaje kama una mke wa hivi ndani???

Naomba mnisaidie kushauri!!

Hili swali ulipaswa kuuliza mkiwa wachumba, kwa sababu uliamua kwa hisia kumuoa kupitia kichwa cha chini, Sasa usijaribu kutumia akili kutatua, tumia kichwa hicho hicho cha chini.
 
Mpeleke ukraine, utanishukru badae
Hello Jf

Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu!!..

Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani !!
 
Hello Jf

Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu!!..

Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani !!
Mkuu pole halafu we usikia maneno kwa mtu mmoja tu chunguza mkanye mkeo
 
umbea ni asili ya mtu, mke wako kama hajarithi kwa mama yake itakuwa kwa baba yake. Mdomo wake ni mrefu automatically.

Tafuta dawa ya kmfanya bubu, asiongee milele, awe anawasiliana kwa kuandika tuu

Au usiwe unamwambia mambo yako. Akose cha kuropoka.
Hapo kwenye mdomo na mimi ndio nilikua nawaza hivyo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hello Jf

Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu!!..

Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani !!
Pole sana Mkuu, Naona umeoa Mwandishi wa hbr, yeye anaripotisha kila kitu.
 
Nimeongea nae sana !! shida ye anapenda kujikweza nakujikuta anaongea kila kitu kwa kila mtu
Au ametoka kwenye familia masikini sana,ambayo haijawai miliki hata kijiko,Sasa kaja kwako haamini alichokuta, ndiyo maana kawa kama Limbukeni sasa!?
 
Back
Top Bottom