Unafanyaje kama mkeo ni mbea kupitiliza?

Na wewe kama si mmbea, umeyajuaje hayo? Kazi kutega misikio kuletewa umbeya na wamama wa jirani wote ngoma droo
 
Kawaida ya wanawake wa Pwani. Ungetuuliza kabla haujaona km ni vizuri kuoa mwanamke wa Pwani. Wewe ukaamua kuoa kimya kimya tu!!
Hakuna sehemu aliyosema ni mwanamke wa Pwani.

Acha kukariri au kulisha watu matango pori.
 
Huyo mtembezee bakora za kiutu uzima huku unamkanya hakika ataacha shida nyie vijana wala chips ubavu wa kuunganisha kwenu ni mzigo
 
Ongea na mshenga..ikiwezekana apelekwe kwa ma aunt zake wafanye kitu.

Ila tabia Kama ngozi aisee 🤣🤣 pole
 
Ongea na mshenga..ikiwezekana apelekwe kwa ma aunt zake wafanye kitu.
Ila tabia Kama ngozi aisee [emoji1787][emoji1787] pole
Hahahah iyo avatar bwana [emoji1], [emoji208]
 
Kabla ya kumuoa alikuaje?

Mtafutie shughuli ya kufanya mbali na hapo, atoke hapo nyumbani, na uendelee kumuonya ataacha

Asipoacha mpe mimba nyingi sana za kufululiza, akija kustuka ameshazeeka na amechelewa kufanya umbea

Narudia MPE mimba za kutosha asitoke ndani.
 
Kwani Ndugu ulimuokota tu Barabarani huyo mkeo ukaoa.!? Hizo tabia ungezijua mapema Wakati wa Uchumba ungejua Ungemuepukaje.
 
umbea ni asili ya mtu, mke wako kama hajarithi kwa mama yake itakuwa kwa baba yake. Mdomo wake ni mrefu automatically.

Tafuta dawa ya kmfanya bubu, asiongee milele, awe anawasiliana kwa kuandika tuu

Au usiwe unamwambia mambo yako. Akose cha kuropoka.
 
Eti technique ya kumkipu busy!!!!!, kumbe bado hujakutana na wanawake wanaongea mpaka wanasahau kupika? au mwanamke anaenda sokoni asubuhi anarudi jioni, kuna watu wanaongea hatareee,

sasa mwanamke wa dizaini hiyo kuna uwezekano hata ukimfungulia kazi akawa anachelewa kufika kazini kisa ya umbea au hata akifika kazini akafungua duka na kuacha wazi, ili akapige umbea kwenye maduka ya watu na wateja wakampita.

Hapo utakua umemkipu busy au ndo umempa uhuru wa kusambaza umbea?
 
Uyo mwanamke ni public informer sema kaa nae chini na umuambie aache mambo yakiwaki👂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…