[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] anakufungisha, kwanza unawezaje kuwa na type hiyo aiseeAu waifu mwenyewe anaweza kubanwa sana na umbea, akaupeleka mwenyewe Ubalozini kwa miguu... Waifu wa aina hiyo ni noma sana...
ππnahisi kama vile umemuoa Ex wangu.
Kama anaitwa Aisha basi ndiye huyo!!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaMtafutie kikundi cha ngoma uwalipe pesa halafu waje hapo kwako siku moja ili kumsuta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nahisi kama vile umemuoa Ex wangu.
Kama anaitwa Aisha basi ndiye huyo!!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtafutie kikundi cha ngoma uwalipe pesa halafu waje hapo kwako siku moja ili kumsuta.
Daah kama anaongea yote basi kabla hujapata ufumbuzi wa hilo tatizo peleka moto ili akasimulie vile unasimamia ukucha, maana ni fedheha sana ukiwa na show mbovu halafu wife ni redio free inashika AM na FM
π€£π€£π€£π€£nahisi kama vile umemuoa Ex wangu.
Kama anaitwa Aisha basi ndiye huyo!!.
Unajua kumkalisha mtu mzima na kumuonya mambo ya kitoto hii kitu inahitaji uwe na kipaji maalum [emoji1][emoji1][emoji1]Kazi unayo.Kaa naye umueleze anavyokukwaza,kukuanika,kuhatarisha familia na kukuaibisha kwa majirani.
Anayoyafanya ni tabia mbaya kabisa.Atakukosesha hata majirani wa kuongea nao.Anza kwa kuongea naye.
breg
Huu ni ushauri mzuri kabisa, hawa wakisutwa mtaani kwa umbea huwa wananyong'onyea na kuwa wapole..hahahahaMtafutie kikundi cha ngoma uwalipe pesa halafu waje hapo kwako siku moja ili kumsuta.
Soma uzi vizuri, π[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]atwambie kwanza mkewe anaujuzi gani
πππππΎBora wewe mke wako ni mbea.
Mke wangu ni muongo muongo, mtaani kila mtu anafahamu na kila jumapili yupo dhehebu jipya.
piga chini huyo....