antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Simple, you just have to withhold sensitive information..Unafanyaje kama mkeo ni mbea kupitiliza?
Mkeo lazma awe anashabikia Yanga tu 😅 pole sana mkuu ndio tabia zao hao mashabiki wa utopolo😅!
Kumradhi, hivi wakati mnaanza kuishi pamoja hizo tabia za kwa mchambawima ulikuwa hujaziona au ulikuwa unapotezea tu.
sasa akili za mtu we unataka za nini, we tumia tu zako zinatoshaSawa Wanawake mko wengi,sema Wanawake wenye akili wako wachache sana,tena hata kwa tochi bado unaweza usiwaone hadi umshirikishe Mungu wako!!
Mmbea wa kwanza ni wewe mwenyewe!!! usimlaumu dada wa watu buuureee!!! !kwa kuwa aliye nunua kiwanja ni wewe au nani??? sasa km unajua ivo mkeo yeye alijuaje?? km chanzo cha habari siyo wewe?? sawa ni mmbeya kwa nini ulimshirikisha mmbeya??Hello Jf
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu. Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani
Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja tupo nae karibu sana n mmama mtu mzima umri wa mama yangu!! Na mazoea yametokana na ukaribu na utegemezi nilio uweka wakt nanunua eneo hili naloishi hapa mtaani kwani ilinibidi niwe nawasiliana nae mara kwa mara kupata taarifa saahihi juu ya mmiliki wa mwanzo, migogoro ya eneo nk
Sasa amekua akiniita na kunishauri vitu mbalimbali!!Ikiwa pamoja na maneno yanayosikika mtaani. Kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu, hata vitu vya siri. Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa
Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi, nyumba wapi, Tunakula nini, nafanya kazi wapi, nimesafiri, nimerudi, yaan kila kitu, nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk
Nikimaanisha kila kitu eleweni achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao, naongelea mdomo, majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje. Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera
Nimekua nikisikia minong’ono kadhaa,mengine nakuta story sasa huyu mama jiran ndo atleast anakifua kuniambia baadhi ya mambo lakini wengine wananichora tu, kuna vitu majiran wanavijua mimi sivijui
Sasa najiuliza nimfanyaje nilishamuonya tukaishia kugombana si mara moja. Ukimwambia anakataa na hasa kulia mwisho tunagombana!
Je, wewe unafanyaje kama una mke wa hivi ndani?
Naomba mnisaidie kushauri
Mu introduce kwa watu ambao wamefanikiwa mno zaidi yenu ili ajione kuwa yeye bado sana, na akue mada wanazoongea ni za kukuza kipato na mambo ya maendeleo, atajiona boya sana ataona bora atafute pesa na yeye maana hizo anazoringia nazo bado sana.Nimeongea nae sana !! shida ye anapenda kujikweza nakujikuta anaongea kila kitu kwa kila mtu
Hili nalo neno, wanawake upendo ni mdogo sana, anataka kumtoa mwenzake aolewe yeye.Mleta uzi kuwa makini na anayekusimulia.....????
Inaonekana mkeo anashinda nyumbani muda wote, jaribu kumtafutia kitu cha kumuweka busy
😂😂😂kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu, hata vitu vya siri. Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa
Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi, nyumba wapi, Tunakula nini, nafanya kazi wapi, nimesafiri, nimerudi, yaan kila kitu, nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk
Nikimaanisha kila kitu eleweni achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao, naongelea mdomo, majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje
Ipo moja isiyovumilika kabisa - UZINZI !..Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera
Teh teh 😂😂 hii kali aiseeWangu yeye tukirudi nyumbani jioni kila siku ana habari za watu mpya, sijui huko kazini hua anafanya kazi sangapi? Unaangalia mpira yupo pembeni mara zinaanza story za mama nani kafanya hiki yan mpaka game iishe bahati mbaya umefungwa unakua hoi kweri kweri
Atahamishia umbea ofisini [emoji23][emoji23][emoji23]
Za kwangu zikifeli,zita boostiwa na Nani Sasa!?sasa akili za mtu we unataka za nini, we tumia tu zako zinatosha
Ukute na ya home nayo anayapeleka kazini kwao!? Maana hawa watu hawatabiliki kabisa!!Wangu yeye tukirudi nyumbani jioni kila siku ana habari za watu mpya, sijui huko kazini hua anafanya kazi sangapi? Unaangalia mpira yupo pembeni mara zinaanza story za mama nani kafanya hiki yan mpaka game iishe bahati mbaya umefungwa unakua hoi kweri kweri