Unafanyaje kama mkeo ni mbea kupitiliza?

Unafanyaje kama mkeo ni mbea kupitiliza?

Sawa Wanawake mko wengi,sema Wanawake wenye akili wako wachache sana,tena hata kwa tochi bado unaweza usiwaone hadi umshirikishe Mungu wako!!
sasa akili za mtu we unataka za nini, we tumia tu zako zinatosha
 
Hello Jf

Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu. Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani

Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja tupo nae karibu sana n mmama mtu mzima umri wa mama yangu!! Na mazoea yametokana na ukaribu na utegemezi nilio uweka wakt nanunua eneo hili naloishi hapa mtaani kwani ilinibidi niwe nawasiliana nae mara kwa mara kupata taarifa saahihi juu ya mmiliki wa mwanzo, migogoro ya eneo nk

Sasa amekua akiniita na kunishauri vitu mbalimbali!!Ikiwa pamoja na maneno yanayosikika mtaani. Kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu, hata vitu vya siri. Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa

Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi, nyumba wapi, Tunakula nini, nafanya kazi wapi, nimesafiri, nimerudi, yaan kila kitu, nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk

Nikimaanisha kila kitu eleweni achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao, naongelea mdomo, majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje. Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera

Nimekua nikisikia minong’ono kadhaa,mengine nakuta story sasa huyu mama jiran ndo atleast anakifua kuniambia baadhi ya mambo lakini wengine wananichora tu, kuna vitu majiran wanavijua mimi sivijui

Sasa najiuliza nimfanyaje nilishamuonya tukaishia kugombana si mara moja. Ukimwambia anakataa na hasa kulia mwisho tunagombana!

Je, wewe unafanyaje kama una mke wa hivi ndani?

Naomba mnisaidie kushauri
Mmbea wa kwanza ni wewe mwenyewe!!! usimlaumu dada wa watu buuureee!!! !kwa kuwa aliye nunua kiwanja ni wewe au nani??? sasa km unajua ivo mkeo yeye alijuaje?? km chanzo cha habari siyo wewe?? sawa ni mmbeya kwa nini ulimshirikisha mmbeya??

Km una boxer mbili siyo rahisi kuzisahahu ivo chanzo ni wewe!!.... nunua nyingi mpaka achanganyikiwe! wkt mwingine tembea bila chupi ili umchanganye! hawa ke mnawasingiziaga sana!.......huyo aliye kuletea habari nataka umle yeye umri si hoja!!!!

wewe ndo wakulaumu ulitongozaje mmbea?? mpaka ukazaa nae??? pia usiangalie umbea tu KIsmart cha mapene anacho??? au ndo mikosi mkosi na wewe??.......
 
Nimeongea nae sana !! shida ye anapenda kujikweza nakujikuta anaongea kila kitu kwa kila mtu
Mu introduce kwa watu ambao wamefanikiwa mno zaidi yenu ili ajione kuwa yeye bado sana, na akue mada wanazoongea ni za kukuza kipato na mambo ya maendeleo, atajiona boya sana ataona bora atafute pesa na yeye maana hizo anazoringia nazo bado sana.
 
kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu, hata vitu vya siri. Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa

Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi, nyumba wapi, Tunakula nini, nafanya kazi wapi, nimesafiri, nimerudi, yaan kila kitu, nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk

Nikimaanisha kila kitu eleweni achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao, naongelea mdomo, majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje
😂😂😂
Huyo siyo 'nshomile' kweli?
Hata ukimgegeda anaenda kusimulia majirani!!!
Kwa kuwa kila kitu anasimulia, ww acha kumwambia kila kitu hadi atakapokuhakikishia ameacha.

..Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera
Ipo moja isiyovumilika kabisa - UZINZI !
 
Mkuu pole ndio Mambo ya ndoa jaribu kumkeep busy.

Wewe mke wako ana tabia hiyo kuna wengine Wana wake warembo lakini unakuta hajui kupika unaishia kupenda vyakula vya mitaani au kwa ndani mchafu na hataki kurekebishwa.
 
Wangu yeye tukirudi nyumbani jioni kila siku ana habari za watu mpya, sijui huko kazini hua anafanya kazi sangapi? Unaangalia mpira yupo pembeni mara zinaanza story za mama nani kafanya hiki yan mpaka game iishe bahati mbaya umefungwa unakua hoi kweri kweri
Teh teh 😂😂 hii kali aisee
 
Wangu yeye tukirudi nyumbani jioni kila siku ana habari za watu mpya, sijui huko kazini hua anafanya kazi sangapi? Unaangalia mpira yupo pembeni mara zinaanza story za mama nani kafanya hiki yan mpaka game iishe bahati mbaya umefungwa unakua hoi kweri kweri
Ukute na ya home nayo anayapeleka kazini kwao!? Maana hawa watu hawatabiliki kabisa!!
 
Back
Top Bottom