Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Hello Jf
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu. Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani
Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja tupo nae karibu sana n mmama mtu mzima umri wa mama yangu!! Na mazoea yametokana na ukaribu na utegemezi nilio uweka wakt nanunua eneo hili naloishi hapa mtaani kwani ilinibidi niwe nawasiliana nae mara kwa mara kupata taarifa saahihi juu ya mmiliki wa mwanzo, migogoro ya eneo nk
Sasa amekua akiniita na kunishauri vitu mbalimbali!!Ikiwa pamoja na maneno yanayosikika mtaani. Kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu, hata vitu vya siri. Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa
Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi, nyumba wapi, Tunakula nini, nafanya kazi wapi, nimesafiri, nimerudi, yaan kila kitu, nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk
Nikimaanisha kila kitu eleweni achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao, naongelea mdomo, majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje. Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera
Nimekua nikisikia minong’ono kadhaa,mengine nakuta story sasa huyu mama jiran ndo atleast anakifua kuniambia baadhi ya mambo lakini wengine wananichora tu, kuna vitu majiran wanavijua mimi sivijui
Sasa najiuliza nimfanyaje nilishamuonya tukaishia kugombana si mara moja. Ukimwambia anakataa na hasa kulia mwisho tunagombana!
Je, wewe unafanyaje kama una mke wa hivi ndani?
Naomba mnisaidie kushauri
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu. Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani
Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja tupo nae karibu sana n mmama mtu mzima umri wa mama yangu!! Na mazoea yametokana na ukaribu na utegemezi nilio uweka wakt nanunua eneo hili naloishi hapa mtaani kwani ilinibidi niwe nawasiliana nae mara kwa mara kupata taarifa saahihi juu ya mmiliki wa mwanzo, migogoro ya eneo nk
Sasa amekua akiniita na kunishauri vitu mbalimbali!!Ikiwa pamoja na maneno yanayosikika mtaani. Kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu, hata vitu vya siri. Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa
Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi, nyumba wapi, Tunakula nini, nafanya kazi wapi, nimesafiri, nimerudi, yaan kila kitu, nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk
Nikimaanisha kila kitu eleweni achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao, naongelea mdomo, majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje. Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera
Nimekua nikisikia minong’ono kadhaa,mengine nakuta story sasa huyu mama jiran ndo atleast anakifua kuniambia baadhi ya mambo lakini wengine wananichora tu, kuna vitu majiran wanavijua mimi sivijui
Sasa najiuliza nimfanyaje nilishamuonya tukaishia kugombana si mara moja. Ukimwambia anakataa na hasa kulia mwisho tunagombana!
Je, wewe unafanyaje kama una mke wa hivi ndani?
Naomba mnisaidie kushauri