Unafanyaje pale usingizi unapokataa kuja?

Unafanyaje pale usingizi unapokataa kuja?

Nasikiliza dira ya dunia na duniani leo youtube, ikipita 1hr hiyo bado, nacheki Maury show hukohuko youtube. Hapo lazima nitalala.
 
Tangu saa tatu najigeuza geuza hapa. Hamna hata dalili ya usingizi. Nashuhudia masaa yanakata tuu na kusikilizia kelele za mbwa wakibweka nje.

Unapokosa usingizi unatumia mbinu gani kujibembeleza hadi usinzie? Nipeni mbinu.

Asante.
Jf ni kila kitu, kuna uzi wa kubembeleza usingizi, jf usiku wa manane
 
Nasikiliza dira ya dunia na duniani leo youtube, ikipita 1hr hiyo bado, nacheki Maury show hukohuko youtube. Hapo lazima nitalala.
Hapo inabidi uwe na bando la kutosha sasa.
Sisi MB za kuunga unga haitufai.
 
Tangu saa tatu najigeuza geuza hapa. Hamna hata dalili ya usingizi. Nashuhudia masaa yanakata tuu na kusikilizia kelele za mbwa wakibweka nje.

Unapokosa usingizi unatumia mbinu gani kujibembeleza hadi usinzie? Nipeni mbinu.

Asante.
chukua kitunguu swaumu..menya mbegu zake kama 4 hv then ziweke chini ya mto...utaniletea jibu kesho
 
Back
Top Bottom