Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unadakiwa vitu vya watu wengine usivyovielewa undani wake!!!! Hivi unapowaona hawa watu wakitupiana maneno unafikiri huwa wanamaanisha?Humu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani ?
View attachment 2898805
Chadema: Lowasa ni Fisadi list of shameHumu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani ?
View attachment 2898805
Na sumu wanazolishana nazo ni za umoja ?Unadakiwa vitu vya watu wengine usivyovielewa undani wake!!!! Hivi unapowaona hawa watu wakitupiana maneno unafikiri huwa wanamaanisha?
CCM in sura tatu ndani yao na huzitumia kadri ya mazingira ya kisiasa yanavyobadilika; ukiendelea kufuatilia hivi vitu utapotezwa njia halafu unabaki kuzomewa. Ya Ngoswe mwachie Ngoswe
Nakumbuka Chadema Walisema kuwa kama CCM wanaona Lowasa ni fisadi na aliiba wampeleke mahakamani! Lakini wakasahau ya mwembe yangaHumu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani ?
View attachment 2898805
Chacha wangwe alihoji mambo akaondoshwa!Na sumu wanazolishana nazo ni za umoja ?
Nimekupa dondoo ndani ya CCM kuna sura tatu za wanyama (FISI, CHUI, na SIMBA)Na sumu wanazolishana nazo ni za umoja ?
Kwani siasa ni uadui? Si huwa wanasema ni kuwa na mitizamo tofauti?Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu, ungelijua hilo usingeanzisha huu uzi.
in politics there is no permanent enemy, Lazima ujue na kufahamu hilo ticha 🐒Humu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani ?
View attachment 2898805
Dereva aliyesababisha ajali yake akafungwa jela , baada ya muda mfupi akaachiwa kwa msamaha wa RaisChacha wangwe alihoji mambo akaondoshwa!
Wewe ni punguani sana.Na sumu wanazolishana nazo ni za umoja ?
Huyu kalio ndiye alimtengenezea Chongolo ile ajali ya kisiasaHumu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani ?
View attachment 2898805