Unafiki: Aliyemdhalilisha Chongolo Kinondoni leo kawa Mtetezi wake!

Unafiki: Aliyemdhalilisha Chongolo Kinondoni leo kawa Mtetezi wake!

Wewe acha kuishi na yaliyopita.Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu.Kitu hujui Makonda alikuwa team Membe balaa,baadae akawa kwa Magu. Sasa anamtetea Samia. Dunia hii ukiishi kwa kuchukia watu mazima, utakufa maskini.
 
Wewe acha kuishi na yaliyopita.Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu.Kitu hujui Makonda alikuwa team Membe balaa,baadae akawa kwa Magu. Sasa anamtetea Samia. Dunia hii ukiishi kwa kuchukia watu mazima, utakufa maskini.
Alivyomkata mtama Warioba alikuwa Team nani ?
 
Trivial matter...

Kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu. Naamini hata huko CHADEMA mambo ni yale yale.

Unashangaa ya Makonda na Chongolo mbona hushangai ya Makonda na Gwajiboy? Hawa walipapurana kweli kweli lakini leo ni washikaji tu...

Kama na haya mambo madogo yanakusumbua mpaka kuyaanzishia uzi basi bado sana kuzielewa siasa na wanasiasa!
special mental case
 
Humu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC.

Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani?

View attachment 2898805
Mm nilifikiri ww huwa unaongelea mambo ya CDM. Haya ya watu wa CCM ya nn wakati hupo CDM? Kwa hiyo Chongolo anakuuma sana? Hii nchi ngumu sana.
 
Humu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC.

Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani?

View attachment 2898805
Maandalizi ya maandamano yenu yakoje huko mikoani!!

Achana na habari za Makonda na Chongolo hazikuhusu!! Maandamano yakidoda kwa ajili ya maandalizi duni mtamsingizia nani tena?
 
Dereva aliyesababisha ajali yake akafungwa jela , baada ya muda mfupi akaachiwa kwa msamaha wa Rais
Pengine ulikuwa kinda wakati Chaha Wangwe anauawa kwa kupigwa risasi na Timu Mbowe!! Gari halikupinduka liligeuzwa!!

Wangwe kilimponza kiti Cha Chama!! Zito aliponea chupuchupi lakini Sumu Bado inamtafuna usoni, kazeeka kuliko Mwinyi
 
Mm nilifikiri ww huwa unaongelea mambo ya CDM. Haya ya watu wa CCM ya nn wakati hupo CDM? Kwa hiyo Chongolo anakuuma sana? Hii nchi ngumu sana.
Mimi naongelea mambo ya siasa na wanasiasa
 
Back
Top Bottom