To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Siasa ni mchezo mchezo mchafuHiyo ndiyo siasa katika maana halisi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa ni mchezo mchezo mchafuHiyo ndiyo siasa katika maana halisi.....
Mangula alilishwa sumu , Magufuli alilishwa sumu na Makonda juzi kakimbia jukwaa kuogopa sumu , sasa upunguani wangu sijui uko wapi yaani ?Wewe ni punguani sana.
Shetani yuko midomoni mwa waumini tangu babu yako hajazaliwa naye anapewa promo ?Makonda yupo midomonimwenu 24/7 mnampa promo kizembezembe sana.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Anayekuambia kwamba wewe punguani hajatumia busara ulichokisema ndicho wanachokisema wenyewe huko ndio maana mimi nimetumia lugha ya tafswida kwamba kuna sura za kisiasa za aina tatu (FISI, CHUI na SIMBA sasa utajua ni yupi kati ya hao mwenye sifa ya kuweza kumwekea mwingine sumu (ni sharti awe mbnafsi, mwenye wivu)Mangula alilishwa sumu , Magufuli alilishwa sumu na Makonda juzi kakimbia jukwaa kuogopa sumu , sasa upunguani wangu sijui uko wapi yaani ?
Hakika wewe ni malaya wa fikra pevuHumu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC.
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani?
View attachment 2898805
Atakuambia Rais ni Chadema.Dereva aliyesababisha ajali yake akafungwa jela , baada ya muda mfupi akaachiwa kwa msamaha wa Rais
Unajua vijana wengi humu hawa wapya wa ccm wanaojiita Chawa hawajui kabisa mambo ya nchi hii yalikotokea , wala hawataki kujifunza , ni wajinga sana !
Waka edit hata chats fake za Whatsapp kwamna Chongolo ametuma uume wake kwa demu. Bashite hovyo sana,.Humu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC.
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani?
View attachment 2898805
Sijui kiwango chako cha uweledi katika Organizational Management, lakini nikwambie tu, kwa bosi wako kukukoromea kazini haimaanisha hakioendi au anakuchukia.Humu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC.
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani?
View attachment 2898805
Labda kama humjui Makonda , huyu alisema Riziwani anauza unga akashindwa kuthibitisha , hiyo ndio organization Management ?Sijui kiwango chako cha uweledi katika Organizational Management, lakini nikwambie tu, kwa bosi wako kukukoromea kazini haimaanisha hakioendi au anakuchukia.
Ahahahahaha!Labda kama humjui Makonda , huyu alisema Riziwani anauza unga akashindwa kuthibitisha , hiyo ndio organization Management ?
Hii kitu chadema walitupiga na kitu kizito sitaisahau hadi kifo. Na hapo ndipo nilipochukia upinzani wa hawa jamaa.Unafiki kwenye siasa ndio mahala pake mwembe yanga tulitangaziwa Lowassa ni fisadi namba moja Chadema wakatuletea tumchague awe raisi na deki wakampigia hapo vipi!
Makonda mnafiki sana hakumpenda Chongolo toka Chongolo akiwa Dc kinondoni na yeye RC wa DarHumu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC.
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani?
View attachment 2898805
Kwanini unaumia sana na mambo ya CCM? Huo muda wa kufuatilia mambo ya wanaCCM si ungeutumia kujenga chama chenu?Humu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC.
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani?
View attachment 2898805
Kila watanzania wanapokumbuka hii ishu wanaishia kukiadhibu CHADEMA kwenye sanduku la kura..Unafiki kwenye siasa ndio mahala pake mwembe yanga tulitangaziwa Lowassa ni fisadi namba moja Chadema wakatuletea tumchague awe raisi na deki wakampigia hapo vipi!
Hapa pia naijenga ChademaKwanini unaumia sana na mambo ya CCM? Huo muda wa kufuatilia mambo ya wanaCCM si ungeutumia kujenga chama chenu?
Kwani hivi sasa Lowassa yuko Chama gani ?Kila watanzania wanapokumbuka hii ishu wanaishia kukiadhibu CHADEMA kwenye sanduku la kura..