Unafiki mkubwa wa baadhi ya watanzania

Unafiki mkubwa wa baadhi ya watanzania

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA

WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE

2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled

3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
 
1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA

WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE

2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled

3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
Dagaa wote watamu inategemea na unavyowaandaa
 
1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA

WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE

2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled

3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
Wanasiasa kusalimia salamu za dini kila mahali.
 
1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA

WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE

2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled

3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
“RADHA”
 
Back
Top Bottom