Unafiki mkubwa wa baadhi ya watanzania

Unafiki mkubwa wa baadhi ya watanzania

Mi naitwa Lamomy huyo kkoo anaipenda kuitaja kisa aliomba kibarua dukani kwangu nikamnyima, sipendi watu wenye tabia za kina Aggrey vijana wa kigamboni maweni..!!

Anipumzishe wakati mi ndo namuenyesha muda wote anashinda kuripoti nipewe ban 😹😹😹
Na huu mwaka hatopumua mpk aache tabia za kichogo 👇 umeona shughuli zao kigamboni
Aseeh Ila humu washikaji wana nongwa vibaya mno...... Sikuwah kuamini
 
unafiki zaidi ni watu kujifanya hawajaona point kuu ya muanzisha uzi, na kubaki kujadili kuhusu dagaa....🧐🤔🙄
 
Back
Top Bottom