Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Yule ana mtoto wa form three?? 😹😹Wanasema gay lakin ana mtoto mkubwa 4m 3 yup so sijui
Mbona anaonekana mdogo?
Atakuwa anajifichia humo ili kutuzuga waungwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ana mtoto wa form three?? 😹😹Wanasema gay lakin ana mtoto mkubwa 4m 3 yup so sijui
Hivi unamaanisha mboga mbogaaaaa, au mboga mbogaaaaa..!!??Mboga Ile Ile mapishi tofautiii..... Mwingine kachemsha chuku chukuu, mwingine Katia hamira, mwingine kaweka nazi, mdalasini ...
Afu anatokea mtu eti hataji dagaa wa ziwa nyasa kuwa ni watamuNalijua mkuu😋😋
NDio hapo sasa,.Afu anatokea mtu eti hataji dagaa wa ziwa nyasa kuwa ni watamu
Aseeh Ila humu washikaji wana nongwa vibaya mno...... Sikuwah kuaminiMi naitwa Lamomy huyo kkoo anaipenda kuitaja kisa aliomba kibarua dukani kwangu nikamnyima, sipendi watu wenye tabia za kina Aggrey vijana wa kigamboni maweni..!!
Anipumzishe wakati mi ndo namuenyesha muda wote anashinda kuripoti nipewe ban 😹😹😹
Na huu mwaka hatopumua mpk aache tabia za kichogo 👇 umeona shughuli zao kigamboni
Kuna watoto wa uja nan wanasemaYule ana mtoto wa form three?? 😹😹
Mbona anaonekana mdogo?
Atakuwa anajifichia humo ili kutuzuga waungwana
Tusengefu..!!! 😀😀😀NDio hapo sasa,.
Ukiachana na wale wakubwa kuna tule tunakua tudogo tudogo tweupe ni tutam sana aisee☺️☺️
Tusengefu..!!! 😀😀😀NDio hapo sasa,.
Ukiachana na wale wakubwa kuna tule tunakua tudogo tudogo tweupe ni tutam sana aisee☺️☺️
Ni maumivu makali mnoInasikitisha sana
Dagaa mchele ndio dagaa wa taifa ni watam mnoDagaa wote watamu inategemea na unavyowaandaa
Sana kiukweliDagaa mchele ndio dagaa wa taifa ni watam mno
Mwenyewe nipo Mwanza majuzi nimenunua ndoo nzima ya wa bukoba Mana hawana michanga.Bora hata wa Bukoba kuliko hao wa mwanza
Sana unaweza kula ugali sinia zima peke yako.Sana kiukweli
Mida ya saa saba mchana kwa saa za afrika mashariki 😜😜Sana unaweza kula ugali sinia zima peke yako.