Unafiki mkubwa wa baadhi ya watanzania

Unafiki mkubwa wa baadhi ya watanzania

1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA

WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE

2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled

3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
Ondoa upumbavu wako hapa. Kwenye Kiswahili hakuna neno "RADHA" bali kuna neno LADHA. Kama huwezi kutofautisha "R" na "L" huwezi kuwa na akili ya kuleta mada JF yenye mashiko
 
Nini kimetokea sioni kitu mkuu ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Kidampa hatimaye ushapata WiFi ya bure ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Wewe una sura baya na body yako mbaya umebongeka hata gym imegoma mi sikutaki paka mkorogo labda wengine watahamasika ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ
 
1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA

WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE

2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled

3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
Uzi wako nadhani ulidhamiria kutoa ujumbe namba 2 izo nyingine ulikuwa unazuga.
Ila kweli Radio station zooteee, wasani woteee Eti ni wana FISIEM Wabongo unafiki wao ni wa level ya juu mno yote hayo ni Njaa kali mtaani
 
Back
Top Bottom