Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Watu hamtoi upenyo ๐๐"LADHA"โ๏ธ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hamtoi upenyo ๐๐"LADHA"โ๏ธ
Cha msingi huwa ni 2000 iishe๐๐๐ mbona mambo mengi ivyo
Wadau wa kurusha vocha hawajaamka wamuwezeshe ๐น๐นKaishiwa Embii nini, mbona Hajibu kama Ibrahim
Ikizid makosa ๐Cha msingi huwa ni 2000 iishe
Inaelekea kindi unakuwa ulikuwa mkorofi sana ๐Wadau wa kurusha vocha hawajaamka wamuwezeshe ๐น๐น
Hapo yupo njiani kuja kkoo kuvizia WiFi za bure ๐น๐คฃ
๐น๐น๐น Mimi nakupokea km ulivyokujaInaelekea kindi unakuwa ulikuwa mkorofi sana ๐
Ushakuwa uncle T au sio ๐๐๐๐น๐น๐น Mimi nakupokea km ulivyokuja
Nini kimetokea sioni kitu mkuu ๐๐๐๐๐๐
Halafu yule nikimuonaga nahisi km udugu wangu vile ana mineno ๐น๐น๐นUshakuwa uncle T au sio ๐๐๐
Kama anavyosema mwanetu wa kariakoo ๐๐๐๐๐๐๐ na Rasta zake za afu 7Unafki mwingine eti rudini bongo kumenoga .
Ondoa upumbavu wako hapa. Kwenye Kiswahili hakuna neno "RADHA" bali kuna neno LADHA. Kama huwezi kutofautisha "R" na "L" huwezi kuwa na akili ya kuleta mada JF yenye mashiko1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA
WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE
2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled
3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
kuna mmoja anasema mwezie hana samsingi ๐๐Halafu yule nikimuonaga nahisi km udugu wangu vile ana mineno ๐น๐น๐น
Hivi wana ugomvi gani na gigy??
Kabisa ๐Watapata wanachokitafuta
Kidampa hatimaye ushapata WiFi ya bure ๐น๐น๐นNini kimetokea sioni kitu mkuu ๐๐๐๐๐๐
๐น๐น๐น Mi nikajua wamebebeana madanga.!!kuna mmoja anasema mwezie hana samsingi ๐๐
Hapana gigy ndio alimuanza mwenzie kuwa et uncle T hana pesa kumbe gigy ana daiwa wigi la 5m ndio ugomvi ulipo anzia๐น๐น๐น Mi nikajua wamebebeana madanga.!!
Ahah vidonda vya tumbo vili mkimbiaUmenikumbusha tukiwa chuo kuna msela alikuwa anabana matumizi kwa kula dagaa almost kila siku aliishia kupata appenditis.
Ila ni watamu na wana afya sana.
Mbona huyo Vincenzo Jr yeye anakomaa aende Paris na wale wazungu wake ๐น๐น๐นUnafki mwingine eti rudini bongo kumenoga .
Uzi wako nadhani ulidhamiria kutoa ujumbe namba 2 izo nyingine ulikuwa unazuga.1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA
WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE
2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled
3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.