Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Unalazimisha niwe wa kiume??Unafiki wa tatu na ujinga ni humu watoto wa kiume kujifanya mademu wakiongozwa na kariakoo finest
Ungekufa au sio 😂😂Ningeshangaa January ipite bila kujadili dagaa na uzuri wake🙌
Vincenzo Jr 🥱Kwahiyo Unalazimisha niwe wa kiume??
Wewe itabidi niombe namba kwenye timu ya kina @dr mariposa nikujig jig hata na dildo uridhike 😹😹😹
Sema una sura gumu na body lako lenye kitambi km Aggrey hapo ndo nachoka ila ntajitahidi 😹😹
Huyo ananipenda kweli anajua mi naweza kuwa basha wake, kumbe mwenzie nikikojoa chini nachimba kishimo..!!
Alikuwa anauliza jina lako la instagramHuyo ananipenda kweli anajua mi naweza kuwa basha wake, kumbe mwenzie nikikojoa chini nachimba kishimo..!!
Mtafutieni muwekezaji atulize mshono 😹😹
Sasa huo no unafiki au uongo?1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA
WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE
2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled
3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
Ngoja ifike tarehe 20 utaona maharage nayo yakiingia kwenye mjadalaUngekufa au sio 😂😂
+Ugali+Maziwa Mtindi Bariidii...!!😋😋😋Sijaona dagaa wabaya daga wazuri sana ila una wapikaje mkuu dagaa watamu sana ukipika na ugali pilipili kwa uwingi
😹😹 Wapi huko?Alikuwa anauliza jina lako la instagram
😂😂😂 mbona mambo mengi ivyoNgoja ifike tarehe 20 utaona maharage nayo yakiingia kwenye mjadala
Mi dagaa nanunua wale walioandaliwa nawachanganya na karoti,hoho,kitunguu maji na Carly powder limao kwa mbali napika na kaugali siku imeisha
Pwani tamu zaid hasaa ukila macho yake1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA ,3KIGOMA
WALE WA KIGOMA HAWANA RADHA YEYOTE
2.Unafiki wa pili ni Kwa watumishi wengi wa UMMA na WASANII wote kuwa CCM aisee hili ni sio tu unafiki ni ujinga we need to be free in this world than being controlled
3.watanzania wote kuamini kuwa ili uwe mtanzania lazima ushabikie Simba na yanga.
Hii nayo ipo vzr sana+Ugali+Maziwa Mtindi Bariidii...!!😋😋😋
"LADHA"☑️“RADHA”
Kaishiwa Embii nini, mbona Hajibu kama Ibrahim😹😹 Wapi huko?
Huyo kidampa kazi yake kuzamia pm kuteta watu..!! Akijibebisha ukimkataa anaanza kukuripoti mi simpendi ana michezo ya kina toboa tobo 😹🤣🤣